Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Wanangu sana eeh ebu nielekezeni chimbo (Lodge) zuri lililojificha kama upo maeneo ya Banana, kuna namba A flan hv nataka nikamkande by jion leo. OVER!!!
 
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasiraa, jamaa ake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga.

Mimi niliona status demu flani ninaemkubali kaandika i need somebody to talk to aisee nikampigia video call kumbe alikuwa analiaa nkamwambia upo wapi?? Akasema yupo hostel anaugulia maumivu bwana ake kamla rafika ake na ana ushahidi aisee nkamwambia pole sana.

Vipi tutoke bhasi ukapoteze mawazo kidogo? Akasema twende tu me nshachoka kuumizwa. Aisee ile siku sikuamini nilihisi ni ndoto japo baada ya tukio akaniblock kisa nilimpost demu wangu. Na yeye akampost jamaa eti ili anikomoe nkasema wanawake bhana.

Je, vipi ushawahi kula tamu kiutani utani tu? Mlidumu kama wapenzi baada ya kumla?
kaka huu uzi wako si wa kitoto ... yn huu ni uzi kama uzi
 
Hahahaaaa......
Uko wapi?

Home

Una fanya nini?

Nipo tu nasoma soma

Una kitabua cha Shigongo?

Kipi?

Kile ulichokuja nacho library siku ile?


OOOH kile cha stephanie nnacho ndio nakisoma hapa


AAAH jamani namimi nlikua nataka nkisome D

Njoo tusome wote kama unataka

Poa nakuja

BAADA YA NUSU SAA

Hodiiii

Pitaaa sukuma

mambo D

Poa tu niaje?

Fresh nambie

Karibu sana za kupotea

Nzuri we ndo umepotea bwanaa

Aaah mi nipo tu

unaangaliaga katuni na wewe?

Ndio nacheki sana tu ndio starehe yangu na vitabu

Hii katuni inaitwaje?

Sing

nsimulie basi ikoje koje

Nkamsimulia kidogo then nkamwacha akodoe macho (kashasahau kilichomleta ni kitabu)

Unakunywaga wine?


Ndio ila nimekunywa zamaniiiii,unataka kunipa?

Hapana nimekuuliza tu,niambie nikupe nini unywe huku ukiangalia movie

Nichagulie wewe bana chochote tu

Nkaenda nkafungua fridge nkatoka na Drostdy hof nkam miminia kwenye glass,nkampa (karibuu)

Asantee,sio chungu?

Hapana we onja utaiskia

OOH KUMBE TAMU mi nlijua chungu

HAMNA hiyo n tamu tu (basi nkaendelea na kitabu changu na yeye na movie ake)

BAADA YA NUSU SAA

namuuliza,umemaliza nikuongeze?

kimyaaa,kuangalia eti kashalala

vipi mama unaskia usingizi?


Yani nimechoka D

Twende ndani ukapumzike kidogo

Mi nkalale peke angu? labda tulale wote

Kichwa kikalia Alarm triiiiing (nkasema leo ndio leo)

Ok twende namimi ntalala kidogo,nimechoka kusoma

Tukafika kitandani tukajitupa tukalala (nimetulia kimya kama sio mimi hapo)

nkaona mtu anajisogeza sogeza kwangu si unajua ile wakina dada wanavyolala

Namimi kimya nkajifanya nakoroma

Akasogea tena na tena hadi tukagusana

Nikaona huu Uboya huuuuu,hivi sisi tumelala au hatujalala? (najiuliza kimoyo moyo)

Nikauchuna mtoto akajaaa uso ukaja karibu yangu tukawa tunapumuliana kama mabeberu

Mara lips zikasogeleana

Mara zikagusana romance ikaanza

Puruku puruku mtu KALIWA


baada ya kulana usingizi ukamuisha mwenzangu

Akaamka akananiambia alikua katumwa mahali

Nkamwambia poa mi nipo

Akatoka akasepa na Mwisho ikawa hivyo


Huyo alikua ni mpenzi wangu wa kwanza kabisa kumkula bila kumtongoza

Hatukuishia hapo tuliendelea tukaja achana mbele mbele huko
 
Back
Top Bottom