Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Miaka kumi iliyopita tayari ulikua na tablet haya hongera labda unaeza kuwa wakisure lakini
Sasa mbona umetuingiza chaka mzeee
MOYO MASHINE imetoka 2016 au nyie wenye tablet mliipata mapema 😂😂😂😂😂😂
 
Miaka kumi iliyopita tayari ulikua na tablet haya hongera labda unaeza kuwa wakisure lakini
Sasa mbona umetuingiza chaka mzeee
MOYO MASHINE imetoka 2016 au nyie wenye tablet mliipata mapema 😂😂😂😂😂😂
Kuna mtu humu ndan ananifuatilia sn so nikaona ngoja niseme miaka 10 iliopita maana angejua ni miaka michache iliopita tungezinguana
 
Back
Top Bottom