Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Nouma sana, hapa PEP inanihusu...hapa limeshasinzia nataman nimtimue mda huu
hivi viatu vyako havinitoshi, mimi sijui ningemfanya nini, anyway huenda hajui kama ana umeme
bora lakini umetumia ndomu, zinatu save sana aisee
 
Wakuu leo hata usingizi sidhani kama ntapata, Nimekula dogo amewaka ( postive).
Ni mda huyu dogo nilianza kula kimasihara tu baada ya yeye kuonesha shibo sababu mimi ni msimamizi wao kwenye kitengo chao...sasa kitu nilichokuwa nashangaa kama mara mbili nikimwambia tupime hataki anasema ajiandae kwanza tutapima tu next time, hivyo na mimi nikaendelea kutumia ndom ila kunamda nilikuwa naipuuza..

Sasa leo amekuja geto jion hii kulala hapa, nimepga show kama bahat mbaya katikati ya mchezo naona dam kumuuliza anasema alikuwa karibu kuingia siku zake, nikabadili condom nayo ikatoka na dam ikabidi niruke ukuta nihamie juu kwa kumshawishi kuwa nimalizie tu ( huwa hatak hata kuguswa hapo ila leo akakubali sabb eti ataniacha vibaya) nikamaliza vizuri na nikagundua kumbe mzoefu mno huko nyuma.

Baada ya kumaliza yeye amelala mimi nikaanza majalibio yangu, ile damu kwenye condom nikasema niipime hiv, Yaani sijaamini imesoma POSTIVE, Nimerudia tena ile ya condom nyingine nayo imesoma positive, nmejipima mimi n NeG,
Kuna vipimo vipya vya oral nikasema acha nijalibu na hiki kwa maji maji ya ile condom imesoma positive tena...

Nimeamua kumuamsha na amegoma kupima kwa kumtoboa. HAPA SINA HAMU WANAJAMVI, HAWA MADEM SIYO
Maoni yangu ukipima damu za uchafu au usaha mara nyingi husoma positive, bima damu yake fresh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maoni yangu ukipima damu za uchafu au usaha mara nyingi husoma positive, bima damu yake fresh

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee, asubuhi hii nmembana amekiri yupo kwenye dawa, ameanza kulia na kuniomba msamaha...naelekea hosp kuanza PEP mda huu, nadhan ntatumia hata miez miwili ili niwe na uhakika...Kwakifupi alipanga kuniangamiza huyu mtu.
 
Aisee, asubuhi hii nmembana amekiri yupo kwenye dawa, ameanza kulia na kuniomba msamaha...naelekea hosp kuanza PEP mda huu, nadhan ntatumia hata miez miwili ili niwe na uhakika...Kwakifupi alipanga kuniangamiza huyu mtu.
Daah mdau pole sana lakin Mungu yuko upande wako, tumia tu hizo PEP naamin utakuwa sawa tu, masihara yaendeleee!
 
Wakuu leo hata usingizi sidhani kama ntapata, Nimekula dogo amewaka ( postive).
Ni mda huyu dogo nilianza kula kimasihara tu baada ya yeye kuonesha shibo sababu mimi ni msimamizi wao kwenye kitengo chao...sasa kitu nilichokuwa nashangaa kama mara mbili nikimwambia tupime hataki anasema ajiandae kwanza tutapima tu next time, hivyo na mimi nikaendelea kutumia ndom ila kunamda nilikuwa naipuuza..

Sasa leo amekuja geto jion hii kulala hapa, nimepga show kama bahat mbaya katikati ya mchezo naona dam kumuuliza anasema alikuwa karibu kuingia siku zake, nikabadili condom nayo ikatoka na dam ikabidi niruke ukuta nihamie juu kwa kumshawishi kuwa nimalizie tu ( huwa hatak hata kuguswa hapo ila leo akakubali sabb eti ataniacha vibaya) nikamaliza vizuri na nikagundua kumbe mzoefu mno huko nyuma.

Baada ya kumaliza yeye amelala mimi nikaanza majalibio yangu, ile damu kwenye condom nikasema niipime hiv, Yaani sijaamini imesoma POSTIVE, Nimerudia tena ile ya condom nyingine nayo imesoma positive, nmejipima mimi n NeG,
Kuna vipimo vipya vya oral nikasema acha nijalibu na hiki kwa maji maji ya ile condom imesoma positive tena...

Nimeamua kumuamsha na amegoma kupima kwa kumtoboa. HAPA SINA HAMU WANAJAMVI, HAWA MADEM SIYO
POLE SANA
 
Aisee, asubuhi hii nmembana amekiri yupo kwenye dawa, ameanza kulia na kuniomba msamaha...naelekea hosp kuanza PEP mda huu, nadhan ntatumia hata miez miwili ili niwe na uhakika...Kwakifupi alipanga kuniangamiza huyu mtu.
Pole sana Mkuu.
 
Bwana Carlos,nimajaribu kuiga mbinu zako za kutafuna wake za watu ila nimeadhirika, hapa nina kikao na uongozi wa mtaa saa kumi na moja nikasulubiwe na nihamishwe mtaani, nimetongoza mke wa balozi mdogoo, mnyaturu, nimechukua namba kimasikhara, nikamwambia njoo nikunyonye matako, nikaona kimya baada ya mda kaja na mume wake wananitukana, kifupi nimeabika na nakulaani kwa kunipa mbinu zinazonihatarishia uhai na heshima duniani, kumamae
Hahahaahahaahaha
 
Wakuu leo hata usingizi sidhani kama ntapata, Nimekula dogo amewaka ( postive).
Ni mda huyu dogo nilianza kula kimasihara tu baada ya yeye kuonesha shibo sababu mimi ni msimamizi wao kwenye kitengo chao...sasa kitu nilichokuwa nashangaa kama mara mbili nikimwambia tupime hataki anasema ajiandae kwanza tutapima tu next time, hivyo na mimi nikaendelea kutumia ndom ila kunamda nilikuwa naipuuza..

Sasa leo amekuja geto jion hii kulala hapa, nimepga show kama bahat mbaya katikati ya mchezo naona dam kumuuliza anasema alikuwa karibu kuingia siku zake, nikabadili condom nayo ikatoka na dam ikabidi niruke ukuta nihamie juu kwa kumshawishi kuwa nimalizie tu ( huwa hatak hata kuguswa hapo ila leo akakubali sabb eti ataniacha vibaya) nikamaliza vizuri na nikagundua kumbe mzoefu mno huko nyuma.

Baada ya kumaliza yeye amelala mimi nikaanza majalibio yangu, ile damu kwenye condom nikasema niipime hiv, Yaani sijaamini imesoma POSTIVE, Nimerudia tena ile ya condom nyingine nayo imesoma positive, nmejipima mimi n NeG,
Kuna vipimo vipya vya oral nikasema acha nijalibu na hiki kwa maji maji ya ile condom imesoma positive tena...

Nimeamua kumuamsha na amegoma kupima kwa kumtoboa. HAPA SINA HAMU WANAJAMVI, HAWA MADEM SIYO
Oohoo pole mzee...

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Wakuu leo hata usingizi sidhani kama ntapata, Nimekula dogo amewaka ( postive).
Ni mda huyu dogo nilianza kula kimasihara tu baada ya yeye kuonesha shibo sababu mimi ni msimamizi wao kwenye kitengo chao...sasa kitu nilichokuwa nashangaa kama mara mbili nikimwambia tupime hataki anasema ajiandae kwanza tutapima tu next time, hivyo na mimi nikaendelea kutumia ndom ila kunamda nilikuwa naipuuza..

Sasa leo amekuja geto jion hii kulala hapa, nimepga show kama bahat mbaya katikati ya mchezo naona dam kumuuliza anasema alikuwa karibu kuingia siku zake, nikabadili condom nayo ikatoka na dam ikabidi niruke ukuta nihamie juu kwa kumshawishi kuwa nimalizie tu ( huwa hatak hata kuguswa hapo ila leo akakubali sabb eti ataniacha vibaya) nikamaliza vizuri na nikagundua kumbe mzoefu mno huko nyuma.

Baada ya kumaliza yeye amelala mimi nikaanza majalibio yangu, ile damu kwenye condom nikasema niipime hiv, Yaani sijaamini imesoma POSTIVE, Nimerudia tena ile ya condom nyingine nayo imesoma positive, nmejipima mimi n NeG,
Kuna vipimo vipya vya oral nikasema acha nijalibu na hiki kwa maji maji ya ile condom imesoma positive tena...

Nimeamua kumuamsha na amegoma kupima kwa kumtoboa. HAPA SINA HAMU WANAJAMVI, HAWA MADEM SIYO
Yani ukaona haitoshi ukapakua mbolea one night mkuu
lakini pole sana mkuu uende VCT kupima ujue moja na utaishi kwa amani
 
Wakuu leo hata usingizi sidhani kama ntapata, Nimekula dogo amewaka ( postive).
Ni mda huyu dogo nilianza kula kimasihara tu baada ya yeye kuonesha shibo sababu mimi ni msimamizi wao kwenye kitengo chao...sasa kitu nilichokuwa nashangaa kama mara mbili nikimwambia tupime hataki anasema ajiandae kwanza tutapima tu next time, hivyo na mimi nikaendelea kutumia ndom ila kunamda nilikuwa naipuuza..

Sasa leo amekuja geto jion hii kulala hapa, nimepga show kama bahat mbaya katikati ya mchezo naona dam kumuuliza anasema alikuwa karibu kuingia siku zake, nikabadili condom nayo ikatoka na dam ikabidi niruke ukuta nihamie juu kwa kumshawishi kuwa nimalizie tu ( huwa hatak hata kuguswa hapo ila leo akakubali sabb eti ataniacha vibaya) nikamaliza vizuri na nikagundua kumbe mzoefu mno huko nyuma.

Baada ya kumaliza yeye amelala mimi nikaanza majalibio yangu, ile damu kwenye condom nikasema niipime hiv, Yaani sijaamini imesoma POSTIVE, Nimerudia tena ile ya condom nyingine nayo imesoma positive, nmejipima mimi n NeG,
Kuna vipimo vipya vya oral nikasema acha nijalibu na hiki kwa maji maji ya ile condom imesoma positive tena...

Nimeamua kumuamsha na amegoma kupima kwa kumtoboa. HAPA SINA HAMU WANAJAMVI, HAWA MADEM SIYO
Mara nyingi NDOMU zinasaidia,,,,kama ulikuwa mtumiaji mzuri wa Ndomu...uko salama tu,,,wala usiwaze

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Hii ya kula mabeki tatu wa ndugu nngesema niandike stori humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sema n mvivu wa kuandika alaf sijui nna nn mabeki tatu wa ndugu + wa mtaan hawachomoag maamae,,,hadi najiogopa yaan.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wanafungiwa sana hawapati chance za kujichanganya ndio mimba kwao ni pua na mdomo
 
Wakuu leo hata usingizi sidhani kama ntapata, Nimekula dogo amewaka ( postive).
Ni mda huyu dogo nilianza kula kimasihara tu baada ya yeye kuonesha shibo sababu mimi ni msimamizi wao kwenye kitengo chao...sasa kitu nilichokuwa nashangaa kama mara mbili nikimwambia tupime hataki anasema ajiandae kwanza tutapima tu next time, hivyo na mimi nikaendelea kutumia ndom ila kunamda nilikuwa naipuuza..

Sasa leo amekuja geto jion hii kulala hapa, nimepga show kama bahat mbaya katikati ya mchezo naona dam kumuuliza anasema alikuwa karibu kuingia siku zake, nikabadili condom nayo ikatoka na dam ikabidi niruke ukuta nihamie juu kwa kumshawishi kuwa nimalizie tu ( huwa hatak hata kuguswa hapo ila leo akakubali sabb eti ataniacha vibaya) nikamaliza vizuri na nikagundua kumbe mzoefu mno huko nyuma.

Baada ya kumaliza yeye amelala mimi nikaanza majalibio yangu, ile damu kwenye condom nikasema niipime hiv, Yaani sijaamini imesoma POSTIVE, Nimerudia tena ile ya condom nyingine nayo imesoma positive, nmejipima mimi n NeG,
Kuna vipimo vipya vya oral nikasema acha nijalibu na hiki kwa maji maji ya ile condom imesoma positive tena...

Nimeamua kumuamsha na amegoma kupima kwa kumtoboa. HAPA SINA HAMU WANAJAMVI, HAWA MADEM SIYO
Nyuma ndo umeharibu maana njia iliyonyepes katika maambukizi ni kula vyombo nyuma
 
huu uzi umeanza kuongoza kwa uwongo
na getto pamekuwa kwa antii tuendele sooon utasikia kwashangazi
Uzuri mmoja yuda75 tusha wajua waongo wale wanaojimwambafy mara shangazi kampa milioni moja ya matumizi afu yeye shangazi kasafiri kaenda safari for two weeks na mazaga yapo ndani yakutosha tu na mil1 on top, shangazi huyo vipi aisee na gari yake kakuachia unatanua nayo fresh mjini.

Sasa wale madogo nawo walikuja na gari yao mkawapakilia kwa mlinzi na wao bila wasiwasi wamekubali kuliwa kiroho safi usiku kucha huku gari ipo kwa mlinzi hahaha afu wako watatu mmoja analiwa sitting room kama ndio ivo mjini watu wangeibiwa magari
 
Back
Top Bottom