Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Listen and listen good you son of Lucifer. Don't ever tag me in your incorrigible posts.
Unafikiri ni sifa kufanya uasherati na kusimulia uovu wako?

Young man it's your choice to obey GOD au kuwa mkaidi. But remember this, in every action there is consequences.

Mwenye masikio na asikie.
Acha mikwara.
 

Attachments

  • Screenshot_20210624-235731.jpg
    Screenshot_20210624-235731.jpg
    26.2 KB · Views: 70
Mada ni kula tunda kimasikhara alafu ww unatuletea mbwela zako za maukimwi huko utafikiri unaujua hata huo ukimwi. Na unajiona mjanja kwamba huwezi upata. Subili mkeo apate mimba atakuletea majibu.

Kifupi tusitishane na mambo ya ukimwi tutembelee mle mle kwenye masikhara ya mbususu kama vp fungua uzi wako wa njinsi ulivoepa ukimwi.[emoji57][emoji57][emoji57]
Hahahaaah mkuu mbona umekuwa mkali sana.
 
Mbna hilo la kwa mpalange ndo habari ya mjini kwa sasa, wasanii wanasujudia wazi wazi ktk tungo zao, hapa JF ndo mada pendwa, huoni au unafiki unakusumbuaa? Msieeeew
Sijawahi kufika kwa mpalange, nahisi inasinyaa ikigusa mbolea
 
Back
Top Bottom