Ya Mhudumu wa Mpesa.
Ilikuwa mwishoni mwa mwez juni hapa Dar Es salaam, kuna sehem nikapita nikaona bango likionesha kibanda frem kuna huduma za fedha hizi ambazo Mzee wa Chemba kaamua kulundika makato huko ili tujenge barabara za lami hadi Matombo shambani (hii ndoto ikitimia basi tutakuwa mfano).
Nikaelekea hapo kibandani kupata huduma, vap nakuta pisi ya hatari, haina papara yani ni zile pisi za kuridhika ridhika, anyway nikaomba kutoa elf 80 nikatoa akanipa nikaondoka.
Roho ikawa inapwita pwii pwii pwii kwamba masihara yatumike pale ikiwezekana, maana shule ya masihara ishatolewa vya kutosha humu, ila ndo kawaida ya wanafunzi wapo wanafaulu ufaulu zaidi ya mategemeo na wapo wanaofeli ilihali wote wamefundishwa somo moja na darasa moja na siku moja.
Anyway cha kwanza nikawaza kwenye masihara cha msingi kujiamini (self confidence), nikajisema pale kibandani ile pisi iko busy na wateja na muda mwingi watu hawaishi pale dirishani kwake. Nikasema leo nacheza ya kilazima kujitoa akili kama Morrison na pampers yake kiunoni kule Kigoma. (Hiyo inaitwa confidence).
Nikatoka zangu kazini nikafika pale nikapark distance kidogo nikaelekea lile eneo la kibanda, ile nafika kuna mshikaj anatuma hela ila dizaini kama anadelay kutoka.
Nikasogea pale dirishani ili jamaa awahi kutoka, kweli akatoka na kunipa nafasi nijaribu confidence na matokeo yake.
Daaah kuchek pisi imefungwa chanda chake na kufuli mbili, kufuli ya kwanza ya proposal kufuli ya pili ile ya mduara kwamba tutakuwa pamoja penye shida na raha (sitakusaliti hutanisaliti pia hahaa).
Nikasema pisi kali mambo, naomba niwekee hii laki kwenye simu yangu, ila wakati hayo yakiendelea nitaomba nipate namba yako tafadhali, najua umeolewa maana naziona kamba kidoleni kwako ila pia najua kwa vile unavyoonekana wanaume wengi sana wanakuomba namba na yawezekana ikawa ni kero kwako, lakini sikia naiomba namba yako mm sitakubughudhi bugudha ambazo zinaweza kukuleta shida had kwenye ndoa yako, ndo ya mtu ya thamani...
Mdada akasema namba ya nn bwana, wewe njoo upate huduma kama hivi basi, nikasema ni kweli ila sio poa unavyojib maana nimewaza karibia week mbili kufika hapa kukuomba namba kisha nafika uninyime utakuwa umenidhulumu nafsi.
Pisi ikaona isiwe tabu, ikamaliza kunitumia hela ikasema umeona msg nikasema ndio, ila namba yako sijaiona, ikasema anyway nipe yako, pisi ikatafuta kidafatri pale ofisin kwake sijui cha mahesabu kikageuza nyuma kikasema ehee taja nikataja namba kikaandika kikanijib tayar unaweza kuondoka.
[emoji1][emoji1][emoji3]mademu wapuuzi sana yani kimechukua namba kikaandika kwenye daftari tena sio kwenye simu, nikakiuliza kwa hiyo? Kikasema nitakuchek.
Nikaaga pale nikaondoka,
Ile pisi fwala sana, ikaisha week nyingine na nikawa nimesafiri hapo kati karibia week mbili plus, nikarudi mwezi huu wa saba kati kati bado bila bila sijatafutwa.
Sasa nikawaza nipotezee kwenda pale na kupata huduma au niende, wazo likaja nisipoenda ile confidence factor inakuwa haina maanaa, nikajisemea leo napita pale tena.
Nikatoka job ilikuwa jioni nikapitia kama kawa.
Sister mambo, naomba kutoa 50 hapo, kikajibu sawa toa, pale pale nikakitupia tuhuma za kigaidi kama zilizomkuta Mwenye Chair wa CDM, kwamba mbona namba ulichukua ila hukuwahi nitafuta yani una dharau wewe, kakasema oooh sorry hebu nitajie tena, nikataja pale kabla ya kumaliza kakasema basi imekuja ww ni K-boy nikasema naam, kanajib eti ipo kwenye simu ila nilisahau nimesevu kwa jina gani.
Hizi pisi zina utoto hahaha, unasevu halafu unasahau umesevuje, anyway nikasema basi nibeep kama unayo nipate yako kakasema poa, nikabipiwa pale...nikauljza jina nisevu nani nikaambiwa fulani...nikasevu nitakateleza shwaaaaa mithili ya nyoka anaingia pangoni akitokea nje kuota jua la jioni jioni kabla halijazama.
Nimefika nyumban nikamtext, msg ya kwanza kwamba nashukuru kwa namba ila nitahitaj kupewa ratiba zake nisije mtafuta kumbe mwenye kamba alizomvika yupo, akajibu mwisho nimtafute si zaidi ya saa moja jioni. Nikasema poa. Haya naomba tukutane kwa mazungumzo kidogo, coffee na drink kidogo.
Kakajibu nitakuambia.
Sasa hiyo nitakuambia ndo kila siku eti sina nafasi si unaona ninavyoshinda hapa, daah nikajisemea hii pisi vipi niiteme tu moyo mwingine unasema usipo ikula ile pisi itakuwa ushujaa wako ni wa maneno maneno kama Mzee mpili.
Nikakapotezea kama week nzima sikatafuti wala kukatext, imefika juzi weeknd nikakachek pisi upo.
Kakajibu nipo, nikasema mbona kimia, kakajibu ww ndio kimia, nikatuma msg mimi sipo kimia ila nangojea unambie maana ulisema unatafuta nafasi tuonane, kakajibu leo nitaenda kwa shangazi kisha nikitoka nakuambia.
Nimekaa hadi saa saba mchana hollaaa, mara ndi ndi msg ..upo wap? Naulizwa.
Nikasema nipo mtaani tu hapa napata lunch, akasema njoo sehem fulan unichukue, hahaa nasikia mshale wa saa una click kaa kaa kaa unahama from settling zone to battle zone, battle yenyewe ngumu kama aliyo ianzisha Mzee Gwaji Boy dhidi ya Chanjo aina ya JJ.
Nikaachia kijiko, nikaitisha maji nikanawa na kulipa bill na kuondoka, ila nafika naiona pisi imesimama ikinisubiria, park pisi ikazama ndani, daah jaman kuna vitoto vizuri lakini.
Nikahamisha kirungu toka P kwenda D, tukaanza kwenda mbele nisiulizwe wapi tunaenda, nimefika mahali mita chache kutoka yalipo machinjio ya kisasa nikapark nikampa alert tunaelekea machinjio fulani, mtoto ananitizama tu..basi tukaingia hotel fulan nikazima mashine tukafuatana.
Yaliyojiri huwa sipend kuelezea sijui maana sitaki mtu aamke aende bafuni na sabuni kuharibu sperm count [emoji16][emoji16][emoji16].
Tulivyotoka natumiwa msg kwa mara ya kwanza nakupenda!
Masihara ni part ya starehe ya Duniani, na starehe ni furaha ya moyo.
Niweke kituo
Sent using
Jamii Forums mobile app