kaffir
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 595
- 387
Nitag kwenye huo uziHivi ule Uzi wa Picha za warembo tukitumia VPN hatuwezi ona mafyoto Tena Aisee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitag kwenye huo uziHivi ule Uzi wa Picha za warembo tukitumia VPN hatuwezi ona mafyoto Tena Aisee?
washaufunga mods mkuu kwahiyo inashindikana Nenda kule Jukwaa la picha utaukuta ila ndio hutaweza comment Tena!Nitag kwenye huo uzi
huyu jamaa amekariri anadhani wote humu tunafuata dini za mashariki ya kati,Reference zako ndio tatizo...sio wote waislam na wakristo huku mzee umekariri
wakikutag niambieHivi aliyekula chizi alimalizia ile stori yake? Kama alimalizia mnitag jamani. ..
Sent using Jamii Forums mobile app
nitag nisome mwisho ulikuwaje?Bado anayeongoza ni yule jamaa aliyekula chizi na ule mgegedo ukampoteza kabisa pale mtaani
iliishaje kwenye kula chizi?
wakikutag niambie niisome ilipoishiaHiyo story ya mchizi aliekula chizi mui-qoute basi wengine hatujui iko page ipi
Sent using Jamii Forums mobile app
akirudi nitag
akimalizia nitag boss
mkuu nioo umalizieBooooh boooh yani kiulaini sanaa huu uzi unatibu malazi mengi sana kwa hiyo dawa iongezeke
Baada ya kumaliza chuo nilipata kazi wilaya fulani morogoro uko ndanii sana kwanza nilipofika sikuamini kama kule ni moro ,nilijua dar moro karibu alafu weekend bata batani dsm weeh nilichoka kwanza ilichukua masaa 12 kufika tuuh ,yani nilitamani nilie mazingira ovyoo sana alafu ilikuwa masika barabara mbovuu kishenzi
Kesho nikaripoti job kishingo upande sana ,wakanionesha mazingira kwa kuwa nilifikia guest ,kuna jamaa akaniambia tukakae geto kwangu kwanza kipindi unacheki mazingira ya kupata nyumba daah nikasema poa tulivyotoka job tukaenda mpka alipokuwa anaishi nikaoga nin jioni misele kama kawaida kitaa lakin mazingira ovyoo ayakunishawishi kabisa
Weekend mi uwa napenda kutoka yani club kama kawa si unajua ukizoea mambo ya chuo nin mitoko kama kawa ,akanipeleka pande fulani bush bush madem ovyoo niliboreka saa 5 tukarudi geto yani nilikonda kishenzi .Ikapita miezi kadhaa nikanunua vitu nikaamia kwangu na kazi ikawa inaendelea
Kuna siku moja mchana nikaenda bank kucheki salary mdogo mdogo sina habari mala napigwa bonge la ngumi la mgongo mmamae nilimind kugeuka nijibu mapigo kucheki kumbe mdada, ila anaonekana kama chizi chizi na gunia lake alafu ana fimbo sasa nikasimama saa ngapi fimbo ilo nikatoka nduki nikaingia bank kwa kuwa haikuwa mbali na pale bank.Nikaingia bank nikacheki balance zangu nikasepa sasa natoka askari akaniambia yule kichaa anakusubiria pale pita kwa uku mkwepe mhmh nikamjibu hapana ngoja nimpe chochote labda anashida .Kweli nafika pale nikatoa noti ya elfu 10 nikampa alifurahi aliruka ruka kagala gala mi nikasepa zangu
Sasa nikajiuliza uyu kichaa niaje mbona ana cheza pale karibu na bank na awamfukuzi aaah buushit nikapotezea .Bana bana toka siku ile akiniona ananikimbilia mpaka uwa namkwepa ,kuna siku tunapita na mshikaji usiku saa 2 kakusanya kuni kawasha moto nikajificha kwa mshikaji saa ngapi asinione alinirukia akatoa ndizi mfukon akanipa , nikampa elf 2 alifurah sis tukasepa njiani mi nikamenya ile ndizi nakula mshkaji alicheka yani we unakula uchafu uyo anaokota dampo kule mi nakutana nae kila siku .Tukaachana mi nikaenda home ,kumbe bana yule kichaa anatufata nyuma nyuma akajua napoishi sas ndio ilikuwa kero nikiludi job yupo nje ya getin ananiita mpenz wangu mwaaah anakimbia.
Weekend moja tukaenda bush part na jamaa angu kulikuwa na kipaimara alialikwa,tulipiga pombe sana dadeki niko chakari sanaa kufika saa 7 nikamwambia aisee jomba twende hom .Kule job kuna mdada nilikuwa namind sema akawa analeta mizinguo ooh mpaka unioe alikuwa anakujaga hom mala moja moja .Ile tunaludi mshikaji akaniambia leo umelewa sana aisee mpaka unayumba utafika hom kweli , nikamjibu nifikishe mpaka pale kwenye njia ya hom alafu we uludi , jamaa akanifikisha pale mi mdogo mdogo mala nashikwa mkono mpenzi wangu kugeuka yule kichaa, nikajikwaa nataka kuanguka akanidaka uku namsikia kwa mbali leo una nin mpenz jamani akanikokota mpaka hom nikafungua mlango yey akabaki nje uku mlango sijafunga mi kwenye kochi tiii .Sasa nikastuka nikaenda kufunga mlango nikamkuta akaniambia unanifungia mpenzi sasa na pombe nikamwambia ingia.Mala nikapepesuka nikampalamia wote chini ,ile chini pale joto joto la mwili tukagusana nikaona alaah na tungi mmboo hiyo nikamgusa chuchu ana cheka cheka tuuh nikapandisha gauni juu alafu lilikuwa chafu kishenzi navuta chupi akanishika mkono mhmh mhmh usifanye hivyo ,mi nikaendelea tukavutana nika win chupi kulee sas akabana mapaja nilishangaa alikuwa na nguvu sana ,si unajua wa jando tunajua wapi pakugusa mapaja yaachie akaguswa sehem 3 ngumu napanua tena nikakuta pwaaa mi uyo alikuwa na vvuzi dadeki ila nikapeleka mmboo ikakubali aisee kchaa kilitulia mbona
Dadeki alinikaba shingoni kwa nguvu mpaka pombe iliniisha ,baadae akatulia na mim nikajikamua lile bao lilikuwa zitoo sana nilihema ile naegemea kochi usingizi pale pale .Nastuka asubuhi lile dem la job linaniita nacheki pembeni hamna mtu kumbukumbu zina nijia dadeki nilijutia nikawaza uyu dem akumwona kweli .Nikaeka mazingira fresh lile dem likaingia tukapiga story mpaka mchana akasepa .Juma3 job jamaa akanivuta pembeni akasema jana umefanyaje sas nauliza kwa nin ,akajibu nanii kamwambia dem wangu, kafika kwako kamkuta yule kichaa ana toka ndani kwako alafu kavaa shati lako
Iliniuma kwa sababu ilienea sana kazini yani niloona bonge la noma ,Ila nikajiuliza maana machache nakumbuka alivaa chupi alafu ndani akuwa ovyo kama nilivyofikiria .Ikapita wiki 3 jamaa akaniambia mbona yule chizi simuoni tena shem wangu yule nilimind sema utani nin.Nikamwambia lakini mtam yani jamaa akasema tukitoka twende tukamcheki ,tulivyofika pale hamna uchafu wala nin tukawauliza wale maaskari wakasema ana karibia mwezi hawajamuona tena pale.
Wazee hii itaendelea.................. hofu itakuwa ndefu mnoo maana kuna kisa kingine mbelee yake xoooooo stay waiiiiiiiiit
Mr jjjjjjjj
Vp leo tarehe 25 bado hajakutafuta...?Alokuitia wapi pale kaunta alipokaa na mshikaji wake au alikua wap
Kesho imefika mwaka fulani ilikuwa mwezi wa sita mahindi ni marefu nilitembelea ndugu na jamaa katika kijiji fulani huko chuga. Basi muda wa jioni nikiwa nataka kuondoka kwandugu mmoja kwenda kwa ndugu niliyefikia kwake. Kukawa na shemeji wa huyu ndugu dada wa mke wake ana nizuia nisiondoke kwa kigezo bado mapema. Basi tumekaa pale mpaka saa moja. Nimeondoka aka nisindikiza kulikuwa na baridi hivyo akanifunika na kanga yake nikazungusha mkono nika mkumbatia kiuno huku tuna tembea taratibu ,tumefika mahali pakuagana arudi akanigeukia na mimi nikajiongeza nika mvuta nikaweka mikono mabegani, tukiwa tumetazamana nikampa ulimi akaupokea. Denda denda touch pik pik ikaja ikabidi tubadili mazingira tumesogea kidogo touch zikaanza pik pik ikipita ikatumulika tukasogea tena. Hapo sasa mambo yaka kolea denda shika matiti pandisha gauni, shusha chuu pameloa sokomeza ukuni akainua mguu mmoja juu tako kadhaa wazungu hao. Mechi zilikuja kurudiwa mara mbili kwa mipango. Sasa hivi kaolewa ila mawasiliano yako akinikumbuka.Kesho nitalela kisa changu nilivyo kula kimasihara singo maza
Bado anatumikiaaliyekula chizi wa usalama wa taifa yupo wapi?
Hii chaiNakumbuka kipindi cha Easter mtoto flan anasoma hombolo dodoma tulikuwa tumepotezana kipindi tunasoma mbeya nikamuomba appointment mara ya kwanza alikuwa ana nata sana (anazingua) lkn mwanaume nikasema furesh
Siku kaja mjini kanicheki ile mnyamwezi nipo na geto safi nini nikapiga nae story kwasababu ilikuwa ni siku ya Easter nilikuwa na Mwaliko wa kuzama kula sehem flan ndani ya dodoma si nikamuomba mtoto mzuri anipe kampani kipindi hicho nipo na gari ya kuzugia kwa matembezi madogo dogo baadae tukachelewa kurudi kaa saa nne hivi afu then akuna usafiri wa kurudi kwao chuo nikamwambia aangushe geto akasema fresh mtoto kanogewa na geto akaja kama mara mbili zote bila mazungumzo nikawa najilia ...lakini namkumbuka mtoto fundi kiuno kama tairi la ndege ikiwa inatua.....namkumbuka sana
pitia hii thread kuna post nimesoma jamaa anasema amelala na girlfriend wa bro wake cz kuna mvua ilikua inanyesha....
kwa utamaduni wa kitanzania, mdada kutiwatiwa ikajulikana mtaani kwao ni kashfa kwake, hii inasababisha vidada kubana vikiwa maeneo wanayoishi, lakini vikiwa safarini au mbali na jamii yao inayowazunguka huwa vinajiachia, kwa sababu wanakuwa na hamu, na wanajua wakitiwa huko huko safarini/njiani habari haitarudi mtaani kwao.
hawa wa safarini nimeshakutana nao wengi tu, jinsi anavyokutazama utajua tu ana nia fulani na ukishtua tu unabeba.
Jamaa angeenda Ulaya ndio angejua haya makanisa ni nini, anazingua... homie is brainwashed na hajui, DONKEY OF THE DAY.....huyu jamaa amekariri anadhani wote humu tunafuata dini za mashariki ya kati,
Kama Mimi niliacha kuzifuta nilipoanza kujitambua tu Tena nikiwa kinda wa miaka 10's tu nilianza kuwa motivation speaker wa watu kujitambua Kama Watu kamili wasiokua brain washed na hayo mambo ya utumwa!
Jihami mzee usiende kichwa kichwa tu! Hii dunia haiaminiki siku hizi, usishangae ukajikuta kwenye setup moja mbaya sana.Hello.
Kitambo sijaonekana humu.
Leo sijui itakuwa Masikhara au vinginevyo?
Nikiwa Mkoa fulani nilipigiwa simu baada kupokea nikakutana na sauti ya mwanamke. Kauliza sio fulani nikamwambia wrong nimber mie naitwa Hardlife akasema samahani nikamwambia usijali naweza kusave namba yako akasema sawa. Wakati huo yeye yupo Dar.
Sasa nimerudi mjini na nina zaidi ya mwezi. Jana ndio nakumbuka kuna namba niliisave. Nilimpigia nikamwambia nipo mjini nikamuomba tuonane akasema sawa. Sasa najipanga kula mzigo kwakuwa nimemchek kupitia picha zake ni kisu hasa. Labda awe tofauti.
Nitaleta mrejesho.