Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Sijui kama unaelewa hata unachoandika au unaandika kwa hisia na kukosa elimu!!
Nikusaidie kidogo just google ni ugonjwa upi unaongoza kwa kuua watu Tanzania?au nenda Wizara ya Afya kaulize..basi usipate shida sana kama una akaunti Twitter mtext Odo Ummy Mwalimu muulize hili swali hanaga shida yule dada atakujibu...kama utakuta jibu ni UKIMWI uje nikupe laki chap ukajipoze hasira za maisha ulizonazo..

NB:Tahadhali juu ya UKIMWI ni muhimu,lakini isikufanye ukaogopa kuchakata hawa wadada warembo warembo maana tumeumbiwa sisi.Kufa kupo palepale haijalishi unakufaje lazima utakufa tuu.SOMETHING MUST KILL A MAN
Mzee natambua ugonjwa unaoua sana ni malaria ila ukimwi unatesa sana pia kwa muda mrefu watu wanajificha nyuma ya ARV. Angalia watu wazima wengi wanakula ARV lakini ndani kwa ndani cha moto wanakipata. Nachomaanisha ukimwi unaua kwa kutaabisha sana mtu pamoja na familia yake
 
Jamani nipeni mbinu za kula kimasikhara lose ball. Kuna kademu hapa hotel nilifikia kikazi naona kama kamesafirishwa na bwana wake sasa siku nzima kapo kapo tuu na mie nataka nikakule ila sema mie domo zege, nisaidieni jamani.
 
Jamani nipeni mbinu za kula kimasikhara lose ball. Kuna kademu hapa hotel nilifikia kikazi naona kama kamesafirishwa na bwana wake sasa siku nzima kapo kapo tuu na mie nataka nikakule ila sema mie domo zege, nisaidieni jamani.
Unaona unavyoteseka? Wakati unarudisha Kadi ya uanachama CHAPUTA Ulirusha maneno makali sana kwa viongozi wako. Tukataka hadi tukupe cheo Cha katibu mwenezi Taifa ila ukagoma tu..

Kiko wapi..
 
Nashauri tujitahidi kuwa na jamii yenye mpenzi mmoja kuliko upuuzi mnaojisifu wakati tunazika ndugu zetu wengi kwa ukimwi pia mnatesa familia zenu pindi mki athirika

Ukitombewa huyo mpenzi mmoja usitulilie huku msamehane maisha yaendelee… na atagongwa sana tu leo Chapa kesho Jackal kesho kutwa 2chainz.
 
Unaona unavyoteseka? Wakati unarudisha Kadi ya uanachama CHAPUTA Ulirusha maneno makali sana kwa viongozi wako. Tukataka hadi tukupe cheo Cha karibu mwenezi Taifa ila ukagoma tu..

Kiko wapi..
Aise nimenyeguka mpaka basi lakini naona de libolo halicboki kusimama.
Msaada wenu wakuu
 
Jamani nipeni mbinu za kula kimasikhara lose ball. Kuna kademu hapa hotel nilifikia kikazi naona kama kamesafirishwa na bwana wake sasa siku nzima kapo kapo tuu na mie nataka nikakule ila sema mie domo zege, nisaidieni jamani.
Tafuta hela
 
Ukitombewa huyo mpenzi mmoja usitulilie huku msamehane maisha yaendelee… na atagongwa sana tu leo Chapa kesho Jackal kesho kutwa 2chainz.
Ukifanya hivyo mkuu na unaijua yule ni mtu wangu utakuwa unakosea na hiki ndio nachokisema usigonge mtu ukijua kabisa ana mahusiano na mtu Fulani hiyo ni kukoseana heshima. Pia hii huchangia kueneza ukimwi tafuta wa kwako tulia kwani mbona inawezekekana tatizo liko wapi mpaka utake kulala na mwanamke huku unaijua ana mtu? Ukimwi hauna mchezo ndugu yangu tuheshimu mahusiano ya watu
 
Jamani nipeni mbinu za kula kimasikhara lose ball. Kuna kademu hapa hotel nilifikia kikazi naona kama kamesafirishwa na bwana wake sasa siku nzima kapo kapo tuu na mie nataka nikakule ila sema mie domo zege, nisaidieni jamani.
Pesa tu mzee [emoji1787]tenga fungu
 
VIDADA VYA 22/23 NI SHIDAA
Basi nimekaa zangu nje ya lodge niliyofikia hapo mji mkuu wa serikali baada ya mishe zangu. Baadaye nikaamua kutembeatembea, Vikapishana vidada viwili kimoja kilinivutia sana. Basi nikaamua kurudi nikavisimisha. Nikaomba namba nikapewa, basi tukaachana. Kama dk tatu/nne hivi nikapiga simu ikapokelewa. Nikaomba mzigo kakataataa baadaye kakakubali. Basi nikakaelekeza lodge niliyofikia. Nami nikaamua kurudi lodge, tukakutana pale. vikaja vyote viwili. Nikavikaribisha ndani vikagoma. Basi nikaviambia tukanywe vinywaje siyo mbali sana na lodge, vikakubali. Vikaagiza Savanah! !!! Nikaagiza na nyama. Tunaendelea kunywa na kumalizia nyama, kile kingine kikasema kiende ili katupatie nafasi, nikavunga kukizuia lakini kililazimisha. Basi kikatoka nikabaki na mlengwa. Nikamwambia twende kwenye lodge akakubali. Tukaingia chumbani. Kakajilaza kitandani, kuomba denda hakataki, nikikasogelea kanasonga mbele zaidi. Mara kainuke kakimbilie ukutani, hata kukagusa tu kamegoma. Na mimi MAPENZI YA KIHINDI SIWEZI. Nikakauliza kwann kamekuja sasa chumbani kama hakanitaki. Kanijibu hakajakataa bali nisubirie tu kidogo. Pilikapilika zilipozidi, hakataki tu. Mwanaume hasira zinapanda nilikuwa kwenye bukta nikavaa faster, nikatoka nje nikamwacha chumbani. Nikarudi pale tulipokuwa tunakunywa mara ya kwanza. Nikamwona mama mmoja akafika akaa peke yake, nikasema hapahapa, nikamwoshesha ishara ajoin kwenye meza yangu akaja. Nikamunulia bia 2 au 3 hivi nikaomba mzigo. Akakubali, (baadaye niligundua ni mke wa mtu). nikamwambia ila lodge kuna mtu, akstuka. nikamsimlia kisa kizima cha kile kidada, nikapewa pole. Nikamwambia hali siyo shwali ngenye zinanisumbua akanipe hata kimoja au viwili, akacheka. Akakubali kwa kichwa. Tukaenda hadi chumbani. Nikakikuta kimeijlaza tena kitandani nguo zote. Basi nikamwashiria yule mama kukakaa nikamweleza tena hitaji langu na jinsi kile kidada kilichonifanyia. Nikapewa pole tena, nikakumbatiwa midomo ikafanya kazi yake. Yaani nguo linatoa lenyewe. Kile kidada kikajifunika shuka usoni wala hakitaki kuondoka wala kuona Kinachoendelea. Tukaendelea na romance kuja kupima oil limama liko vizuri. Nikavuta ndom mechi ikapigwa ligugumia utamu na kuambiwa ongeza spidi mara punguza. Kama dk 5/6 hv wazungu hao. Likaenda kunawa, kuja kukifungua kile kidada kinalia. Nikakiuliza nn shida kikasema nimekafanyia unyama. Nikakaambia ningefanyaje wakati kinanisumbua na mm ngenye zimejaa. Basi nikakaweka kifuani kijilaze. Nikaanza kushika titima saa 6. Kametulia tuli, kakaniambia nimwambie aende kako tayari kabisa. Basi alipotoka bafuni nikamwambia aende kama nitamhitaji nitampigia simu nikampa sh 30, Akatabasamu, akavaa, akanipungia mkono. Akaenda. aisee alipotoka tu mdomo ukadakwa, romance ziliendelea nilipewa ushirikiano wa kutosha. Nikakivua kina shanga kiunoni. Mechi ilipigwa sana bila kipingamizi, Miuno balaa na kananyonya koni utafikiri hakana meno. Asb tuliachana kumbe kanasoma chuo fulani. Nikakapatia sh 50. Asante nyingi. Na kakaahidi kapo tayari muda wowote na popote nitakapokahitaji ila niache hasira ninaweza jikuta naenda pabaya. kalimponda sana yule mama kuwa ni malaya aliyekubuhu.
Hahahaaa we bwana una maua yako hapa chato njoo uchukue
 
Wee hutakufa? Kila kifo kina sababu, ukimwi nao ni sababu moja wapo
Mi nitakufa pia ila siwezi kushabikia kitu kinachotesa ndugu na jamaa mtaani wakati naona Kuna uwezekano wa kukiepuka, pia mkuu ukimwi ni tishio unatesa sana
 
Back
Top Bottom