Ulishawahi kula tunda kimasihara?
.
 

Attachments

  • cup-of-tea-teapot.gif
    cup-of-tea-teapot.gif
    157.7 KB · Views: 54
Mods na huu Uzi pia muufute?Kwa kiufupi nipo na mke wa mtu tulikuwa tunachat toka mwezi uliopita.Nilimuomba game na Leo kafika musoma high school na kumkabidhi mtoto.Usiku huu muda si mrefu nakula vitu.Yeye ni mwenyeji wa kule Kwa jiwe.
I stand to be corrected....
Kwahiyo baada ya Kufanya Ufuska ndo uzi ufutwe. Acha roho mbaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hii ndio type ya Wanaume wa JF kweli[emoji2296][emoji2296][emoji2296]Ndio maana tunaogopa kua serious ..unakutana na Mwanaume wa JF yuko too romantic..smart..humble and very wealth [emoji383]but ukiyawaza haya unajikuta unaghairi uku moyo unawish kua nae..Ila ukiwaza Brand yako kuja kudhalilishwa apa jukwaani

Hmm inasikitisha kwakweli[emoji2356]
Achana na hako katoto ka chuo mkuu,wanaume wanaojitambua bado tupo
 
Back
Top Bottom