ahzan
JF-Expert Member
- Apr 2, 2022
- 288
- 452
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mipango na mipangilio ya kuliwaMpaka sasa cjaona ulipo liwa kimasihara zaidi naona mipango na mipangilio ya kuliwa sema story yako inatia genye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mipango na mipangilio ya kuliwaMpaka sasa cjaona ulipo liwa kimasihara zaidi naona mipango na mipangilio ya kuliwa sema story yako inatia genye
Huuu mwandiko ni wa dume kabisa.Hii mbinu ya matangazo huwa wanasema inalipa sana. Unaweza pata watu wengi tu kwa style hii. ID yako ya Kiume unatumia jina gani mpaka ukaamua kuanzisha ya kike?
Shida yako ni EvilSpirit 🤣🤣🤣Sijui nina shida gani ub.... umesimama kama wote
Aiseee.....Basi baada ya pale Baba P akaondoka kwenye kazi zake mm nikaendelea na ratiba zangu kawa kawaida. Jioni mama P alirud akiwa na mdada mwingine akasema tutasaidiana maana kazi ni nyingi pale. Duh nilifurah lakin nikawa nasikitika nampataje Baba P. Maisha yaliendelea nafanya kazi zangu vizur lakin siku moja ya jpli mama mdogo si akaja kwa mama P na yule mama aliyenitafutia kazi duh [emoji849][emoji849] nilihisi kuchanganyikiwa. Akaniuliza mbona umetoroka nyumbani au ndio umeamua maisha yako yaishie hv mm kimya akasema mama yako amesema urudi kwa bb na sitak lawama uje kuharibikiwa kisa mm. Nikawaambia subir boss arudi kanisani nimuage akasema sawa tutasubiria dah nilipata stress jaman. Baada ya lisaa kina mama p wakarudi mama mdog akaanza sasa kuongea mara huyu binti ni muhuni alitembea na shemej Yang mweny mke hajatulia sijui nataka arud kwa mama yake jaman niliona dunia chungu nilisemwaa [emoji24][emoji24][emoji24] maneno ya kuumiza nikasema borea tungeondoka kabla hawajarud bas nikabeba virago vyang huyo kwa mama mdogo.
Tulivyofika niligoma hata Kula akasema nijiandae asubuh nasafir kurud kwa bb ticket ishakatwa, nikasema sawa. Kweli kesho yake nilipelekwa stendi nikaanza safar. Lakin nikiwa kwenye bus nikawaza hv nikirud kwa bb si ndio aibu na mama atanipiga mno maana alikua mkali na sikuwahi kupendwa na mama zaidi ya bibi.
Tukaendelea na safar hao tumefika chalinze nikashuka nikamdanganya konda nimepata dhararu akasema hawarudishi nauli nikamwambia hamna shida. Baada ya kushuka nikapanda costa za kurud dar huyu nilishukia kimara nikatafuta gest nikaweka mizigo yangu palikua na mgahawa nikala nikarud chumbani nikalala. Nakuja kushtuka saa 2 usiku simu kama zote zinapigwa na message kwamba nimetoroka tena nikaona hapa wasinitanie nikaongea na bibi nikamwambia siwez kurud na wasijihangaishe na mm sitak tena shule natafuta kazi. Bibi akaniuliza utakaa wapi sasa mjukuu wangu angalia wanaume wasikudanganye ukaharibikiwa nikamwambia Kuna sehemu wanatafuta mdada ngoja tu niende kuliko kuja huko bibi akanielewa nakumbuka nilimtumia laki 1 nikamwambia nabidilisha no za simu nitakutafuta nikikaa sawa. Nimetoka Kula mama anapiga sikupokea mara mama p kapiga anaulizia mbona umetoroka tena had napigiwa simu kuulizwa kama upo huku nikakata simu nikaizima. Basi kesho yake nikaenda kwa wakala palepale kimara akanisajilia line ya tigo nikatoa na pesa zang mpesa, Ile line ya voda nikaitafuna. Usiku nikapata wazo nikskumbuka kipind nauza duka la mama mdg Kuna saloon ya kike pemben nilikuaga naenda kupiga umbea pale sasa Kuna dada alikua anasifia kwamba ukipangisha bunju vyumba ni vizur kwa bei ndogo tu, nikajisemea bora niende bunju huko hakuna atakayenijua. Basi safar ikaanza mpaka bunju kufika kule nikaenda gest moja hv nikalipia siku 2 nikala nikalala. Asubuh kumekucha nikaongea na dada muhudumu pale nikamwambia natafuta chumba maeneo ya huku basi akaniunganisha na dalali Yani siku hiyohiyo nilipelekwa kuangalia vyumba. Basi nikaonyeshwa nikachagua sehemu ndani ndani kidogo ilikua chumba sebule na choo chako alafu bei poa nikakubali. Kesho yake nikaonana na mwenye nyumba nikalipia miez 5 nikaenda kuchukua beg lang na shangaz kaja [emoji23][emoji23] ndio nilificha ile pesa (Million 2) aliyonipa baba P. Basi nikaenda kununua godoro na pazia na ndoo ndgo jaba na vitu vidogovidogo. Nyumba niliyopata tulikua wapangaji 3 tu na ilikua chumba 1 sebule na choo kwa Kila mpangaji.
Maisha yakaanza sasa katika wale wapangaji wenzangu kulikua na wakaka wawili wanaishi pamoja walikua ni walimu. Na mdada mwingine alikua anaishi na mwanae mdogo na dada wa kazi. Basi siku hiyo nikajitambulisha kuwa nitakua naishi nao na uzuri Kila mtu alikua na mishe zake mm nilikua nashinda tu ndani bahat nikawa nimezoeana na yule mdada wa Kaz wa jirani.
Baada ya kama siku tatu nikaenda tegeta kununua baadh ya vitu vya ndani jiko dogo la gesi vyombo nikanunua kabat la nguo na kitanda nikalipia kirukuu huyo na mizigo hadi nilipopanga. Nimerud nikamkuta yule dada mwenye mtoto (tumuite asha) yupo nje anafua akanisaidia tukaingiza vitu ndani uzuri alikua mchangamfu na muongeaji. Basi akaniuliza uliza maswali nikamwambia baadh ila nilimficha mambo yang sikutaka ajue chochote kunihusu isipokua aliniuliza nafanya kazi gani nikamwambia natafuta kwa sasa sina Kaz ila nilikua nauza duka la mtu tukashindwana.
Akanihaidi ngoja nitakutafutia sehemu nikamwambia sawa akaniuliza Kaz gan unaweza nikamwambia yeyote alicheka na ana maneno mengi huyoo. Basi ilipita week mbili nipo tu nyumban nashinda na mtoto wa asha na dada wa Kaz na ktk hizo week 2 kama siku tano hv asha aliniomba nibaki na mwanae yule dada akawa ameenda kusalimia kwao akarudi.
Nikawa na mawazo napataje kazi na je pesa ikiisha na hv sina mtu wa kunisaidia. Nakumbuka kesho yake asubuh nilimpigia baba P kwenye saa 5 asubuh hv akapokea kusikia sauti yang akashangaa akaniuliza nipo wapi na kwanini na tabia chafu hivyo nikamuuliza zipi akasema mama P kamueleza Kila kitu. Mm nikamwambia kama unataka kujua ukweli tuonane nitakwambia Kila kitu akaniuliza upo wapi nikamwambia wewe sema nikufate wapi akawa ananganiniza niseme nilipo nikakataa nikamwambia tuonane kwanza utajua Kila kitu akasema sawa hamna shida jioni nitakuelekeza uje sehemu.
Basi ilipofika saa 10 jion akanipigia akanambia njoo makumbusho nikaenda ila nilichelewa sana kufika, nikampigia akanielekeza hotel aliyopo tukaonana. Nakumbuka tu nimefika alinihug nikaanza kulia akawa ananibembeleza. Basi akanambia nimechukua room twende nilikubali kusema kweli mda mfup tu lakin nilikua nimemiss hatar. Tumefika room tukala nikamuelezea Kila kitu sikumficha chochote basi akasema hata kama mm ningekua huyo D lazima ningeshawishika maana wewe mzuri na mamb kibao akanisifia tukafanya yetu mm huyo nikamchanganyaaaa baba P wa watuu sijui alikua anaongea kilughaaa hata sikumwelewa lakin mambo yalikua hot. Basi imefika saa 3 nikamwambia nabidi niwah kuondoka maana napokaa ni mbali akaniuliza wapi nikamwambia akasema twende nikupeleke huyo nikapanda kwenye Prado lake kwa mara ya kwanza. Tumeenda Hadi bunju nikamwambia nishushe hapa nichukue boda akasema hapana anataka kupajua napoishi tumeenda Hadi ndani kwangu alinishangaa akaniuliza umepata wapi ujasiri wa hivi na nani kakusaidia yote haya nikamwambia pesa ulizonipa ndio nimeamua nianze maisha akanisifia pale. Ilikua imefika saa5 nikamwambia inabidi uende nyumban akanihug tena duh tusianze tena mahaba nikawa namzuia akaniachia sasa namwambia ondoka akasema nitalala [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] wewe nikasema haiwezekani akaniambia subir nakuja akatoka nje baada ya dakika 5 akarudi nikamuuliza mbona huondoki akasema amemuaga mke wake anafatilia mzigo umekwama [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] nilishangaa basi ikabidi alale siku hiyo nilimpa haki yake haswaa tumeamka asubuh saa 3 tukaoga tukaenda sehemu tukanywa supu akaenda kutaka pesa akanipa laki 5 nilifurah hatar.[emoji23][emoji23][emoji23] Basi tukaagana akaniambia atanitafuta na no nyingine mpya nisitafute kwanza kazi nisubiri atakuja tupange nafanya nini.
I'm social and charming na mazingira ya kazi yangu nakutana sana na washkajiHuuu mwandiko ni wa dume kabisa.
Mwanamke kuandika neno...kuliwa kimasihara haipo hiyo
financial services
YaaniHatimaye nimepata nyege
Mgawane vipi mufti Ahmed wakati tukisema 'ipo siku tutauzwa' mnatufukuza kwenye viti vya wenye kulamba Asali na vinono!.Hamna namna nchi ishauzwa hii kilichobaki tugawane.
Una evil spirit hahahahaha.....!Sijui nina shida gani ub.... umesimama kama wote
HahahaUna evil spirit hahahahaha.....!
That is EvilSpirit , don't allow it ndg yangu evilspirit!.Kuna jambo nimejifumza kumbe ninavyomvuta vuta mtu nikamle akijifanya anakataa nikikomaa si mda namla,OK
Kuna jambo nimejifumza kumbe ninavyomvuta vuta mtu nikamle akijifanya anakataa nikikomaa si mda namla,OK
Kwahiyo baba p naye wakati ana mvuta huyu akaitindie papuchi yake kumbe naye alikuwa na evil spiritThat is EvilSpirit , don't allow it ndg yangu evilspirit!.
wewe si umesema ulibadili namba ya simu sasa baba p aliwezaje kukupigia kwenye namba mpya?I'm social and charming na mazingira ya kazi yangu nakutana sana na washkaji
Though kama hutaki ujalazimishwa kusoma. Watu kibao manakuja pm mnataka niendelee hvy I promise nitajitahid nimalizie
alimtafuta yeye, ina maana namba yake alikuwa nayo, hii story iwe kweli au si kweli lakini mabinti wengi wazuri walio wah kufanya kazi za ndani hayo mambo yamewakutawewe si umesema ulibadili namba ya simu sasa baba p aliwezaje kukupigia kwenye namba mpya?