Mnanje Boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 395
- 1,195
Fear women if you dareHii imeendaaView attachment 2682143
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fear women if you dareHii imeendaaView attachment 2682143
Kweli amepiga come back ya maanaNoma sana, ila wanawake ndo maana hatutakiwi kuwaiga mna shortcut zenu kupindua meza ni sekunde tu, sio sisi msoto msoto
Kwamba hajamalizia kuusu tako pia status Yake auNa nukuu " kusema ukweli mm ni mrembo Sana (umbo la kibantu nywele, rangi na sura ya kiarabu) "
Hapa ndipo ulipo haribu kila kitu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Umeona eeeh[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sema hii story bana, Baba P anaenda na Prado kwa mchepuko then anarudi home kwa daladala[emoji28][emoji28][emoji28]
Leta hata ka story yako moja ambayo unajua uliliwa kimasihara lkn ni amazing,Kwann
Aliamua tu kutumia daladalaSema hii story bana, Baba P anaenda na Prado kwa mchepuko then anarudi home kwa daladala😅😅😅
😆😆Bado nasisitiza wanaume km hawa km bado wapo sijui,huko tunapoendelea atanunuliwa gari na atajenga nyumba kwa ajiri ya mama mkwe 🥴
😂😂😂😂😆😆
Umewaza kama mimi.
Lazima huko mbeleni kuna gari itanunuliwa na usishangae hiyo nyumba ya mbweni tukaambiwa ni gorofa na account ya bank tukaambiwa mpaka sasa ina 300mills na duka kwa siku linaingiza 50mills na mama wawili na yeye anafuata mzigo China.😆
Mwanaume muongo huyu kawazidi hata mademu
Acha kusoma ukiwa umelewa wewe onyesha sehemu aliposema alienda na prado akarudi na daladala?Sema hii story bana, Baba P anaenda na Prado kwa mchepuko then anarudi home kwa daladala[emoji28][emoji28][emoji28]
Manaake nnAvatar yako kwetu ni tusi
tunapangwaUmeona eeeh[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani kusoma huku nikiwa nimelewa ni dhambi?Acha kusoma ukiwa umelewa wewe onyesha sehemu aliposema alienda na prado akarudi na daladala?