Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Kama mwanaume siwezi umizwa na mwanamke anayechepuka zaidi nitashukuru kwakua nimeondolewa kijibu uchungu mwilini. mwanamke anayejielewa hawezi kukaribisha mwanaume mwingine while ana mahusiano mengine. Usidhani unamkomoa bro mwenye V8 mnaenda kubadilishana UTI tu na atakuja kuvutiwa na mimi nnae camp na Londo langu la 85.

That is normal life bro I found no reason brag on
Simkomeshi mkuu ni vile tu zamu yangu imefika
 
Kumla demu wa mshkaji aliefanikiwa "mwenye V8" huwa ni fantasy za vijana wengi kwa kuwa huwapa sense of superiority flani akilini. Ila uhalisia utabaki palepale, hata umle mkewe, bado haitoondoa gap lenu la kiuchumi na mbaya zaidi, hizo 3 minutes of pleasure zikiisha au mkifumwa, huyo manzi atajiona mjinga kwa kutema big G kwa karanga za kuonjeshwa,

Saa hii upwiru unaongea, ukishaisha, akili itawarudisha kwenye uhalisia wenu
 
Mkuu,
Nakuonya
Usipende ku expose your move..hii Dunia ya technology imerahisisha sana mawasiliano....
Details zako zikitakiwa zinapatikana trust me.

Maana PESA hununua chochote mpaka moyo hata kura kwenye uchaguzi...

NB:
Kama mtu akiamua kukutafuta anakupata easy [emoji4][emoji3526] then UNAUWAWA
ACHANA NA WAKE ZA WATU HATA WAKIKUPENDA WAO na kama ukishindwa fuata ushaur wa JAY MO & NGWEIR_KIMYA KIMYA japo sio vizuri

Nikutakie mapumziko mema ya mwisho wa week.
Mkuu umeongea kwa hisia kali hadi nimesinyaa hapa nafikiri namtorokaje huyu japo kuwa sio mke wa mtu ni demu tu
 
Mkuu,
Nakuonya
Usipende ku expose your move..hii Dunia ya technology imerahisisha sana mawasiliano....
Details zako zikitakiwa zinapatikana trust me.

Maana PESA hununua chochote mpaka moyo hata kura kwenye uchaguzi...

NB:
Kama mtu akiamua kukutafuta anakupata easy [emoji4][emoji3526] then UNAUWAWA
ACHANA NA WAKE ZA WATU HATA WAKIKUPENDA WAO na kama ukishindwa fuata ushaur wa JAY MO & NGWEIR_KIMYA KIMYA japo sio vizuri

Nikutakie mapumziko mema ya mwisho wa week.
Nimekuelewa Sana ,mpaka Leo hii Mimi natumia ,barua au kakaratasi kuwasikiana Kwa maenzi
 
Back
Top Bottom