Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Mkuu wanakuwaga waongo sana hao haoni tabu kuweka tomato sosi, weka kidole ulambe kuhakikisha kama ni kweli
Huyu wala kidole simgusi nilitaka nimrudishe na gari mbovu ila Dem mwenyewe hela ipo ningejizalilisha namlipia VIP ile ile arudi ,nimetoka kubooking katarama hapa kesho anasepa fresh tu ila akisepa biashara imeisha maana alikuwa mkoani analia lia nimuowe na tokea Namfaham.hapa Dar alikuaa ananizungusha zungusha mchezo nikamwambia siwezi nunua gari sijalitest hiyo biashara haipo akaenda mkoani kufanya kazi ila bado ananisumbua sana nikamwambia akubali vigezo vyangu akakubali namtumia nauli anafika Dar nipo Period.. sasa nimemuuliza ulikuja kufanya nini
 
Sio michezo yangu mule
Umepitwa na wakati wewe
Screenshot_20250119-223119.png
 
Back
Top Bottom