Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado namfikiria hii kiufundi ni hasara mtoto wa kike lazma ajujue anapoenda kwa mwanaume anaenda kufuata niniMaybe ni ghafla au alipamiss dar [emoji2]
But jifunze kutake easily itakusaidia usipate kisukari mapema samehe ona ni kawaida tafuta solution
Sio michezo yangu mulemixx by yas ya kazi gani ?
Umeniwahi Nilitaka kuuliza hili swaliKwani ana tundu moja tu?
Oya mtumishi fake vipi tenaOne Man another Ngosha down
au hajakupenda 😅😅😅Ukiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo
Huyu wala kidole simgusi nilitaka nimrudishe na gari mbovu ila Dem mwenyewe hela ipo ningejizalilisha namlipia VIP ile ile arudi ,nimetoka kubooking katarama hapa kesho anasepa fresh tu ila akisepa biashara imeisha maana alikuwa mkoani analia lia nimuowe na tokea Namfaham.hapa Dar alikuaa ananizungusha zungusha mchezo nikamwambia siwezi nunua gari sijalitest hiyo biashara haipo akaenda mkoani kufanya kazi ila bado ananisumbua sana nikamwambia akubali vigezo vyangu akakubali namtumia nauli anafika Dar nipo Period.. sasa nimemuuliza ulikuja kufanya niniMkuu wanakuwaga waongo sana hao haoni tabu kuweka tomato sosi, weka kidole ulambe kuhakikisha kama ni kweli
***** we subiriNimecheka kwa hiyo heading tu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Aisee wanaume kazi wanayo 😅😅😅😅
Umepitwa na wakati weweSio michezo yangu mule
Mama angetokea mburahati sawa nauli 3000 kwenda na kurudi mtu ametoka mwanza Go and return vip 220,000 kuspend hapa mjini 200,000 na mambo mengine imentoka laki 5 fanya masihara nini na mzigo sjapataKwani ni lazima m do? Mnaweza enda geto mkachili tu.