SISIS
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 10,892
- 3,112
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Aseee pole Sana! Hizo shanga sasa inabidi uzivae wewe maana umefanya miscalculation...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Aseee pole Sana! Hizo shanga sasa inabidi uzivae wewe maana umefanya miscalculation...
Mmezidi uzinzi,lakini pole kwa upwiru!Ukiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli tena ya gari VIP,umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo
Wanawake sometime msipende kutupa hasara wanaume, mwanamke alikuwa ananisumbua mwaka mmoja full usumbufu yupo mwanza, nikamwanbia nimekumiss njoo dar hata siku 2 na akaelewa kabisa anachokifuata anafika nipo period
Nauli nimelipa Vip kwenda na kurudi tu kaki 2 na nusu inakatika na matumizi mengine laki 5 ila kwa alichokifanya siwezi.mrudisha na VIP atarudi na Zuberi no way tusipeane hasara
Na kuna watu wanasema eti sikumwmabia kuwa nahitaji hilo tendo.. hivi uwasiliane na mwanamke tena aseme nimnunulie shanga kabisa na kachagua kabisa rangi ya shanga na kakubali kabisa ntamvalisha wakati wa Tendo bado mnasema alikuwa hajui kafuata nini
Hiyo Dodoma na Gomorrah haifai,mtakuja kulia siku mirija imeziba ni urafi tuu!Kwani ana tundu moja tu? Nikuibie tu siri kule anakokalia kuna lingine japo limejificha mbo
Huyo ndio atakuwa mkeo WA Kuga na kuzikana.Shukran
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mdomo haublidi, huyo ningemtumisha salamu mpaka taya zake zingejam, tena hizo shanga ningemvalisha shingoni.
Oya nasubiria hiyo namba ya mwajNgoja nikutumie namba PM. Bora hata shoga yangu apate babe.
Nimeipenda hiiOne Man another Ngosha down
Aliambiwa anunue na shanga na kisha amvisheKweli kumá uisafirishe umbali wa km 1100! Hii akili au matope? Ushamba wa K utawaua na kuwafirisi vijana wajinga wajinga
Hiyo 500,000 angetuma kwa wazazi angepata baraka nyingi sanaAmeshajua unampenda sana.
Naelewa sana unachomanisha. Kumtoa Mtu mwanza hadi Dar na kumrudisha mpunga mrefu sana unakatika.
huyo chadema nini?Alikuwa anajua hadi shanga nimenunua na nikamwambia nitamvaliasha wakati wa tendo na akachagua hadi rangi ya shanga hujiongezi.hapo
Angeenda riverside angebakiwa na kama 460,000 hivi balancePole sana mkuu... Hiyo pesa umeichezea.
Mbona huko Daslam kuna mali nyingi tu safi. Tena na chenchi ingebaki!
Alikuwa anajua hadi shanga nimenunua na nikamwambia nitamvaliasha wakati wa tendo na akachagua hadi rangi ya shanga hujiongezi.hapo
Yeye mwenyewe anasemaje kwani? Ukute ni zile period za ghafla unamlaumu bure😅Mama angetokea mburahati sawa nauli 3000 kwenda na kurudi mtu ametoka mwanza Go and return vip 220,000 kuspend hapa mjini 200,000 na mambo mengine imentoka laki 5 fanya masihara nini na mzigo sjapata
umeshinwa kumega kwa sababu yuko period??, mi nina enjoy sana kuwatafuna wakiwa periodUkiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli tena ya gari VIP,umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo
Wanawake sometime msipende kutupa hasara wanaume, mwanamke alikuwa ananisumbua mwaka mmoja full usumbufu yupo mwanza, nikamwanbia nimekumiss njoo dar hata siku 2 na akaelewa kabisa anachokifuata anafika nipo period
Nauli nimelipa Vip kwenda na kurudi tu kaki 2 na nusu inakatika na matumizi mengine laki 5 ila kwa alichokifanya siwezi.mrudisha na VIP atarudi na Zuberi no way tusipeane hasara
Na kuna watu wanasema eti sikumwmabia kuwa nahitaji hilo tendo.. hivi uwasiliane na mwanamke tena aseme nimnunulie shanga kabisa na kachagua kabisa rangi ya shanga na kakubali kabisa ntamvalisha wakati wa Tendo bado mnasema alikuwa hajui kafuata nini
Huu sasa utoto. Utumiwe nauli ya toka mwanza hadi Dar halafu usubiri kuambiwa kitahapeni? Ukitumiwa nauli anza kulowa hukohuko ukifika ni kuteleza tu. Kama Simba wanacheza mjulishe mtakutana baada ya siku kadhaa.Ilitakiwa amwambie ukweli kwamba akija kita “happen” ili yule ajue kabisa apangilie siku ambayo haikaribii period.
Sasa anamuacha mtu aje tu hajasem chochote. Wenzake kabla ya kutuma nauli huwa wanahakikisha mwanamke karidhia kutoa papuchi na akituma nauli tu hapo hapo sexting zinaanza utasikia “enhe babe niambie utanipa style gani😂😂😂” yaani mtoto mpaka anafika chupi imelowa.