Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Cheki dude hilo kumamake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cheki dude hilo kumamake
Nimecheka sana🤣🤣Daaah kwahiyo sisi wembamba sana unakuwa unahisi tuna ngoma sio?
Nakumbuka enzi za ujana wangu niliwahi piga katoto fulani nikiwa nimetoka kupigwa Malaria na homa ndio inaishia lakini baada ya hapo homa ilirudi kwa kiwango cha juu mara mia.Kwema wakuu
Kuna demu nimemtongoza mtaani akakubali. Kama wiki imepita nikapewa mzigo ila nilivaa kondomu na haikupasuka. Cha kushangaza kama baada ya siku mbili nikaanza kuumwa na homa kali. Sasa najiuliza ni ngoma au uti maana demu simwelewi ni mwembamba sana
😅Daaah kwahiyo sisi wembamba sana unakuwa unahisi tuna ngoma sio?
Ulitakiwa kumpeleka stand ucku ageuze na basi chap ...mimi siendekezi huo ujinga kupeana hasara za kitotoUkiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli tena ya gari VIP,umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo
Wanawake sometime msipende kutupa hasara wanaume, mwanamke alikuwa ananisumbua mwaka mmoja full usumbufu yupo mwanza, nikamwanbia nimekumiss njoo dar hata siku 2 na akaelewa kabisa anachokifuata anafika nipo period
Nauli nimelipa Vip kwenda na kurudi tu kaki 2 na nusu inakatika na matumizi mengine laki 5 ila kwa alichokifanya siwezi.mrudisha na VIP atarudi na Zuberi no way tusipeane hasara
Na kuna watu wanasema eti sikumwmabia kuwa nahitaji hilo tendo.. hivi uwasiliane na mwanamke tena aseme nimnunulie shanga kabisa na kachagua kabisa rangi ya shanga na kakubali kabisa ntamvalisha wakati wa Tendo bado mnasema alikuwa hajui kafuata nini
Mkuu story za humu usizingatie sana huwa tunapangwa sana. Si unakumbuka zamani tulivyokuwa tunaitia tukiambiwa hadithi, hadithi (Hadithi njoo, UONGO NJOO, utamu kolea)Mkuu unasema alipiga salute ya mkono wakati hakuwa amevaa gwanda au mimi ndio nimesahau jeshi? Ninachojua askari asipokuwa na sare zake, akikutana na mkubwa wake anasalimia kwa kubana miguu na mikono
Wee kweli ni evil spiritKwani ana tundu moja tu? Nikuibie tu siri kule anakokalia kuna lingine japo limejificha mno
Hata mim hii iliwah nitokea,enz hzo ndo naanza anza haya mambo,kuna demu siku ya kwanza ndo nakutana nae niligonga haswa na kesho yake niliamka nina homa kali sanaNakumbuka enzi za ujana wangu niliwahi piga katoto fulani nikiwa nimetoka kipigwa Malaria na homa ndio inaishia lakini baada ya hapo homa ilirudi kwa kiwango cha juu mara mia.
Kwa mwanaume usijaribu kupiga game ukiwa na homa hasa kama una Malaria unaweza lala kwa amani.
Nenda maabara au hosii kabisaNi vile vya pharmacy ambavyo naweza pima mwenyewe?
Tayri mkuu asubuh naitupiaMkuuu tunaisubiria hii story kwa hamu aseee
Asubuh hii apa 🥳Kaka, tunaomba muendelezo
ChaiiiUnajua wengi hamjui raha ya wembamba natamani nitume link humu ya Twitter/X ikupe hamasa kidg kuhusu wembamba.
Siwezi kutuma hyo link mana ntakula ban on the spot ila sijui niseme Nini ila hamjui tu walivyo watam.
Yani we fara wa mwisho,na Kwa taarifa yako demu hajakupendaHuyu wala kidole simgusi nilitaka nimrudishe na gari mbovu ila Dem mwenyewe hela ipo ningejizalilisha namlipia VIP ile ile arudi ,nimetoka kubooking katarama hapa kesho anasepa fresh tu ila akisepa biashara imeisha maana alikuwa mkoani analia lia nimuowe na tokea Namfaham.hapa Dar alikuaa ananizungusha zungusha mchezo nikamwambia siwezi nunua gari sijalitest hiyo biashara haipo akaenda mkoani kufanya kazi ila bado ananisumbua sana nikamwambia akubali vigezo vyangu akakubali namtumia nauli anafika Dar nipo Period.. sasa nimemuuliza ulikuja kufanya nini