Kaka, tunaomba muendelezo
MUENDELEZOOO
MWISHO HII NMEMALIZA WAZEE YOTE 🥱🥱
KULA KIMASIHARA KULIVYOBADILI STORY YA MAISHA YANGU....
Ukimya wa mda mrefu ni majukumu wakuu. mwenye hasira ruhusu kunitukana😁😁
Tuendelee wanangu...
_..Nilipanga kutoroka hivyo nilichora plan yangu kichwani jinsi ya kuondoka na wapi pakufikia ambapo watashindwa kunidaka kiurahisi niliamini wasipojua nilipo na wasipo nisikia hawatanitafuta as long as mission yao inaendelea vzuri bila mim kuonekana nikiharibu.....
Ndipo nilimkumbuka mzee mmoja rafiki wa baba yangu ambae mzee alikuwa na mashamba mengi sana huko nyanda za juu pamoja na mashine kibao za kukoboa na kusaga katika vijiji vingi. Kiufupi mzee alikuwa don sana japo kwa jina sio maarufu sababu hapend sifa na hata maisha anayoishi huwez mjua kam anamiradi mingi na tajiri.
Mzee huyo alikuwa akinikubali sababu alikuwa na watoto wake wakike na wakiume kwa wanawake mbalimbali ambao baadh ni rika langu lakini walikataa shule ila mim alinipenda kiutokana na kupenda shule licha ya maisha ya mzee wangu magumu..
Wanafunzi wakifika form four hufanya project ambayo huusisha groups za wanafunzi kama kumi hv kama sikosei mnachagua mada mnafanya kama research hv sjui kama saiv ipo!!!
Basi wakati nipo form four wakati watot wa huyu mzee wanakataa shule mi nilitaka kufanya project kuhusu mambo ya kilimo, hvyo niliongea na dingi akaniunganisha na huyu mzee akanitafutia eneo la kulala mim na wenzangu tulikaa huko wiki chakula na malazi na usafiri kuzunguka mashambani wote juu yake, na tulivyokuwa huko mashambani kwake alituazima hadi kamera ya kupigia picha ... basi tangia hapo huyo mzee alinipenda sana.
Namba ya huyu mzee nilikuwa nayo kwenye email yangu na hapo natumia simu ndogo so ikanibidi nimtafute mtu mwenye simu kubwa ni log in email yangu nichukue namba ya huyo mzee..
Basi siku moja asubuh sana kama saa 1 hivi nikaoga nikavaa nikatoka kutafta kibanda cha wakala na nilitaka cha mbali ili ata nikitoroka wakaanza kufatilia kwa kuuliza majirani wasijue hivyo nilitembea umbali mrefu kidg mpka nikakuta wakala ni mdada tena nahisi alikuwa ndio anafika ..
Baada ya salamu nikamdanganya kama nimepoteza simu aniazime simu yake ni log in email yangu nichukue namba ya mzazi anitumie nauli nirudi nyumbani,, alikubali ila alikuwa makin mno kuniangalia labda alidhani nataka kumtapeli 😂😂 ila watu wa dar hawaaminiani...
Baada ya kulog in nkapata namba ya mzee yule, nikamuuliza dada wakala kama anasalio akajibu ndiyo^^ hivyo nikapiga simu humohumo kumpigia mzee doni ==_== Naye nikamdanganya kwamba napitia shida kwenye mambo ya financial chuoni ada pamoja na ela ya kodi na mahitaji ya kila sku chakula na kadhalika kutoka na mkopo wangu kupata shida... hvyo nataka kuskip mwaka mpaka mwaka mpya wa masomo, mambo ya mkopo yakikaa sawa ila sitaki kwenda kukaa nyumbani anisaidie hifadhi kwenye mrad wake wowote mashambani ili nipate field experience maan napenda mambo ya agriculture 😁 (uongo kmmk)😂lakini asiwaambie wazazi wangu kama ntakuwa kwake maan watajiskia vibaya wanapenda sana nisome.. nikamkumbushia na tukio la form 4 akasema kweli dogo anapenda mambo ya kilimo.... alisisitiza sana anisaidie maana uwezo huo anao ila nkamwambia asijari maana nilishapostpone muhula siwez kubadili mpaka mwakani..
Alikubali kuwa atafanya siri ili rafiki ake ambae dingi yangu asijiskie vibaya pia akanambia atanipa kazi ambayo ntajifunza vingi sana ila hakusema ni ipi..
Wakati najishauri shauri nimuombe anisaidie nauli mara paap akaniuliza!! ""Umepanga kuja lini??""
Nikajibu hata leo kama nikipata nauli, akacheka na kuuliza kam ile namba inapokea ela? Nikamuuliza dada wakala akasema ndyo..... akakata^^ baada ya hapo nkaanza kupiga story na dada wakala.. nlianza kwa kumuuliza utani kwani yeye ni mchaga? mbona amewah kufungua wakati nmetembea umbali mrefu mawakala wenzake wote wamelala🥴.... akajibu amewah kuja sababu amekimbia kazi za nyumbani na lile duka la uwakala sio lake ni la dada yake. Nayeye pia akaniuliza ameskia nazungumzia mambo ya chuo kwamba nasoma chuo gan.. kwakua niliona hana madhara na alikuwa na shauku nkamwambia kwamba nasom chuo flan kiko mkoa fulani na kwamba mkopo umezingua ila mwaka mpya wa masomo ukianza inanibidi nirudi...
Nayeye akanambia yupo form six ila ameomba ruhusa maan kulikuwa na sherehe ya harusi ya dada yake binamu ambayo ilifanyika nyumbani kwa dada yake wa tumbo moja mkubwa na jan usiku ilikuwa ndio kitchen party hvyo kuna kazi nyingi mara vyombo na usafi ndomana ameona akimbilie awah kufungua duka (uwakala)... akaniuliza koz gan nzur kulingana na masomo yake yeye aliyokuwa anasoma advance nkamtajia na nikakisifia chuo changu kwamba kwa hzo kozi ni nzuri na blah blah kibao;; story zikakata baada ya kunambia muamala umeingia....
Kilikuwa ni kiasi kikubwa sana tofauti na nlivyotegemea yaan ningeweza kukata hata tiketi ya ndege mpka huko. Baada ya dakik 1 mzee akapiga na kunambia nkifika mkoani nifikie sehem fulan ambapo atakuja kunifata kisha nikamshukuru na kuagana.. nilipotaka kuondoka binti wakala akaniita na kuniomba namba ya simu ili akishafanya mtiani ataapply chuo hicho nachosoma mim kama akichaguliwa nimuelekeze baadh ya process usajili makazi mazuri na n.k .... nilimwambia simu nimeibiwa kama vipi anipe yake nkirenew lain ntamtafta, akaniandikia nkaondoka na ela zangu...
Kufika home nilikuwa na furaha sana nikaona kwamba natoka kifungoni japo nilikuwa naumia sababu nilijua kuwa nikiondoka kwa kupotea hvyo sitamuona tena Wanda wangu ila nlishavaa mabom sina jinsi kujilipua...
Nikaamua kumuaga mamdogo kwa wema wote aliontendea pale kwake na mapenzi yake na jinsi alikuwa akijitahidi kunipa furaha kwakweli siku mtendea haki siku za karibuni nikaona leo nimlipe...
Mpka narudi ilikuwa mida ya saa 3 hv nkamtumia sms mamdogo "" njoo niokotee sabuni "".. akajibu " hahah umenitia nyege nakuja "...
Mamdogo alifika na nilimchangamkia sana kiasi kwamba alishangaa mbona nimebadilika ghafla wakati siku za karibuni nilikuwa sio mtu mwenye furaha... na nilitaka nimtomb* kila kona ya nyumba, kwanza nilimtoa nje kuna pipa limetegeshwa pale kukingia maji ya mvua nkamshikisha pipa nikiwa nyuma yake nikampinda mgongo akatengeneza kama umbo la upinde hv wa mshale 🔥🔥🔥 kichwa chake kwa nyuma kikawa kinagusa kifua changu mkono wangu mmoja upo kwenye nywele zake nazivutia kwa nyuma' mkono mwingine nimepitishia kwa mbele nachezea juu kweny kinemb^; huku nipo kwa nyuma napiga tako zangu ... yale matiti jinsi yalivyokuwa yakiruka 🙌🏽🙌🏽
Alikuja baada ya kuomba aende breakfst na ilimbidi arudi kazin, lakin kwa jinsi alivyonikuta namood ya furaha ambayo hakujua imetoka wapi na kitombo kizuri akabaki pale mpka saa 12 jion. Nilimgongea tena stoo; jikoni; sebuleni yaan kila sehem ya nyumba na cha mwisho tulikuwa tumelalia ubavu chumbani napolala nipo nyuma yake namtmba taratiibu kanyanyua mguu mmoja juu huku mkono wangu mmoja nmemshika matiti nachezea chuchu analia ile sauti ya panya kabanwa na mlangoo;;; simu yake ikaanza kuita.. iliita kama mara 5 hv nikaona hii issue ni serious nikainuka n kwenda kumchukulia maan ilikuwa mezan alishindwa kuinuka alichoka mno hata hiyo round ni mim niliforce...
Alivyopokea nikaskia tu anaitikia sawa sawa kwa kila kitu nikajua tayari mambo yao hayo... akainuka tukaenda bafuni nikamuogesha akatoka kuvaa nami nkabaki naoga nlivyotoka nkamkuta ashavaa.. hii siku nahisi ndo siku alifurah na aliniinjoya kuliko siku zote kwanza tulishinda uchi na tulifany kila kitu hakuna mda ambao mim wala yeye alivaa nguo hata chupi wala mim boksa;; mda namsindikiza mlangon npo nyuma yake nmemshika kiuno nachezea matako huku anatembea anacheka cheka tu; kufika mlangon akasita akageuka na kusema . "" Asante sana mpenzi wangu J leo skutegemea ingekuwa hv nimefurah mno"" Akafungua pochi akatoa elf 50 kisha akasema "" kwa raha na furaha ulionipa leo nimekuruhusu kesho ujitoe out. Nenda popote kainjoy ila hakikisha usiende mitaa ya kwenu kule kuna maspy wakikuona watajua umetoroka unaenda kuuza siri watakachokufanya Mungu pekee ndo anajua"" akanikiss tabasamu zito akaondoka bila kujua kaniongezea ela kwenye safari 😂😂......
Alivyotoka tu nikaona nisilaze dam uzur kesh nimepewa ruhusa niondoke usiku wa leo mpka kesh mda ambao watashtukia wakute nipo mbali..
Kwanza nilichukua peni na karatasi nikaandika barua fupi kwa Wanda nikisisitiza kua natoroka kwajiri yake siwezi ishi kwa maumiv nahatarisha maisha yangu kwaajiri yake,, na kama ikitokea nimekamatwa na kuuawa basi ajue sababu niyeye kisha nikamwambia tuna mengi yakuongea ili ajue sababu ni nin mpka ikatokea vile na nkamwambia ikitokea tutaonana tena bas ntamwambia kila kitu.. nkamuaga kwenye barua... kisha nikaifunga vizuri,, nikatafuta begi nilikosa lamgongoni nikakutana na beg lamkononi kadog kakuwekea pc 🖥 la lenovo. Nikaweka boxer zangu na bukta zangu, suruali na tshirt chache alizoninunulia mama ambazo ndo skuzivaaga sababu sitoki nje. Nikaweka simu yao mezani nkachukua lain ile nliyokuwa nampigiaga mama nikaitafuna na kwenda kuitopia chooni. Ile simu na lain nliyokuwa nawasilian na mamdogo na wanda nikaziacha.. namba ya yule mzee wa mashamba nikaiwekq mfukoni pamoja na ya yule binti wakala nkabeba kibegi nikafunga milango vizuri huyooo nikatimua....😑😑😑
Nilipitia kwanza kwa Wanda nikaacha barua ile kwa kuipitisha chini mlangoni, sikumkuta ila nilikuta taa inawaka mlangoni kufuli; nilivyotoka nikanyoosha mpka sehem ambayo nikapta gari akuna kulala safari ikaanza....
Nilifika na kuazima simu ya mtu nikampigia mzee nae akasema hakujua kam ningefika mapema hvyo ila kuna kijana wake kamtuma spea ya mashine ya shmbani kwake itabidi nikutane nae anipeleke kwa mzee...
Na kweli nlikutana nae na kunipeleka direct kwa mzee.. mzee alinitambulisha kwa familia yake na kwa wafanyakazi wake ya kuwa mim ni msaidizi na mkaguzi wake...
Mda mwingi nilikuwa natembea na makaratasi na counter skuwa nafanya kazi za shamba kabisa nilikuwa kitengo. Ili nisichoke mzee akawa ananipa mshahara wa kila wiki akawa ananiingizia bank; chakula chake, malazi yake yaani kila kitu chake bas skuwa na shida na hizo ela nkampa tu account nO. Awe ananiingizia humo zitanisaidia baadae...
Sikujua kilichoendelea huku nyuma na wala sikutaka kuelewa, ila mara kadhaa mzee alikuwa akinambia kuwa nyumbani natafutwa sana 😢 nikamwambia mzee acha tu wala usihangaike nipo mahali salam wataniona wakati sahihi, na venyewe nilikuwa nampigia kazi yake vyema hadi akawa ahudhurii kwenye mashamba kabisa kila kitu ananituma mim hadi kwenye mashine zake huko kufata ela na kila kitu....
Nilikaa kwa yule mzee miez kadhaa na kufika wakati wa kurudi chuo ndipo nilimuaga na kuondoka rasmi... nilipofika mkoa husika nilisajili lain mpya baada ya kukaa mda mrefu sana bila simu... mtu wakwanza kumpigia ni bimkubwa. Nikamtoa hofu nikampiga sound na kamuamala kwamba akae kimya asiwaambie watu nilipo.. nikamtafuta na baba mzazi pia nae nkamchapa na muamala...
Nilijisajili chuo then maisha ya shule yakaanza upya. Siku za mwanzo mwanzo tu nakumbuka nilikuwa naenda canteen kula mule chuo, katika hali ya bila kutegemea nkakutan na yule binti wakala. Yeye ndo alikuwa wakwanza kunitambua na akasema tangu kafika chuo alikuwa akinitafuta sana hadi sku hyo kama bahati kaniona... basi tukaanza urafiki pale sku hyo kaja kunitembelea kama kawaida kijan wenu skuwaangusha nkamtomb* na ndo akawa demu wangu wa chuo rasmi....
TUTAKUPATA TU 😑🖤
Baada ya miez miwili au mitatu
Siku moja nikiwa kwenye kimbweta group disc nipo na madem flan wa group langu tunapiga story huku kila mmoja akiwa busy na simu; alikuja dada mmoja kavaa baibui kapiga na ninja usoni akakaa pembeni yetu kwa mbali lakin kimbweta kilekile tulichokaa sisi uelekeo wake ulikuwa kwetu.
Vimbweta vya kile chuo ni vikubwa sana yaani kimbweta kimoja mnaweza kaa hata magroup mawili so nilidhani anasubiri group lake lakin macho yake yalikuwa sana upande wangu hadi nikawa sipo comfortable. Baada ya mda akaninyooshea vidole viwili ishara ya kwenda pale alipo, nilitii wito nikijua labda dada mgeni anataka kuuliza kitu au kanielewa anataka namba (maana wadada wachuo wako moto) nikaenda...
Kufika pale nikasikia naambiwa "" Mchumba za masiku?""
Niliishia tu kushangaa heee huku nikitoa macho kam mjusi aliebanwa na mlango😳😳......
Ile sauti nilikuwa naifananisha na ya mtu fulani na lile jina nililoitwa nilijua kabisa huyu ni fulani nikaona nishadakwa tayari..
Akanishika mkono na kuniambia twende, tukainuka na kuanza kutembea huku yeye amenishika mkono akiniongoza njia yaan kama vile mama aliemshika mkono mwanae akimtembeza, wale wa dada wa group langu walishangaa kuona vile na kuanza kuniita na kuniuliza vipi?? Wakati huu tulikuwa tumewapa mgongo lakini hata sikugeuka kuwaangalia au kuwajibu...
Tukiwa tunatembea na Wanda kitu cha kwanza nikamuuliza "unanipeleka wapi " wala hakujibu, tukatoka nje ya geti la chuo umbali mfupi tu kuna bodaboda pale akaita moja 1. Kisha akanambia boda akija muelekeze kwako ndo tunakoenda, boda kafika akaanza kupanda yeye nikafati safari ya kwenda geto kwangu ikaanza...
Tulivyofika yeye akalipa then tukapita nyumba mbili tatu tukaingia ndan kwangu maan kwa mazingira boda isingeweza kufika nyumba niliyoishi kabisa..
.... Tumeingia ndani mimi nikitangulia wanda nyuma yangu, sas nigeuke nyuma mlangoni nimkaribishe wanda nakutana na mtu anaanza kuvua ile baibui na ile ninja 🥷, daah Sikuamini kumuona Wanda wangu tena na uzuri wake ule na sas ni kama amenenepa hiv. Alivyomaliza kuvua akanisogelea na kuniambia "" Huwezi kunikimbia J "" kisha akaanza kunikiss....
Aisee hisia zilikuja kwa kasi mno, unajua mwanamke unampenda na unahisia nae sjui huwaga na kitu gan yaan hisia hupanda kwa kasi mno, basi zikaanza vurugu nikamvua ile tight yake aliyovalia ndani na chupi kwa pamoja... juu alivalia vidude flan hv sio sidiria ila vipo kama croptop ndogo vinabana material ya mpira au kam vile vidude wanavaaga wachezaji mpira kwajuu kifuani baada ya jezi vinakuwaga vinabana.... (nawaelekeza watu wazima mshajua🫤).....
Nayeye akanivua nguo zangu na alikuwa na morali mnoo maan suruali hata haikufika chini (sikuitoa kabisa) akalala kichali chali kitandani akashika dudu akapaka mate na kuanza kuingiza taratibu huku amefumba macho kwanguvu anasikilizia.... alikuwa akitoa sauti kina nchi ya dudu inavozama mpka lote likapotelea kwny kum^ yake...
Akasema tu J taratibu usije niumiza tangu mara ya mwisho tumefanya sijafanya tena, kwaakili ya kibaharia nikajua ananiongopea ila kwa kubana kule imani ya kwamba nikweli ikanijia.... wanangu nilijipigia mzigo mpaka saa 2 usiku. Hapo tulipika shikana shikana yaan hakuongea kitu chochote kuhusu mission wala nin ni mupenzi tu namimi nikajisahau kabisa..
Nilikutana na sms na missed call za yule dem wakala ambae kwa mda huo ndo alikuwa dem wangu wa chuo ila yeye alikuwa anakaa hostel za ndani ya chuo hakupanga nje na mara nyingi hukujaga kulala kwangu.. ila nilikuta sms analalamika sjamtafuta tangu asubuh tuliochana tulivofika chuo maan jana yake alilala kwangu kuamkia hyo sku nilipokutana na wanda.. akanambia tu nikae kimya nisijibu ila ikifika saa 3 usiku simjibu atakuja geto kama nipo na mwanamke kufumania( huyu binti ni mlalamikaji mzuri sijapata ona)🙌🏽🙌🏽😂😂....
Hiyo ilikuwa saambili Wanda kashavaa tayri tumekaa kitandani ndo akaanza kuniadithia kilichotokea...
Kwamba ile siku natoroka unakumbuka mamdogo alipigiwa simu ya dharura sasa ile simu kumbe hadi wanda alipigiwa ilimuhusu ndomana, hata nilivoenda kuacha barua kwake hakuwepo, ni kwamba waliitwa na wakubwa wao zaid na kuambiwa mambo yao ya kikazi ambayo sito yasema ila iliwalazimu mission yao iishe mapema kuna kaz ya muhimu yakufanya baada ya hii yao.. baada ya kutoka pale kikaoni mamdogo alimchukua wanda na wenzake ambao wanafanya hii mission pamoja wapo wengi kidg kumi na kitu wakaenda moja kwa moja mpaka ile nyumba ya mbagala lengo lao wale ambao hawajawah kuniona waje wanione (kijana nilietaka kuwaharibia kazi) na waje wapange mikakati ya kumaliza hii mission mapema na round hii wanishirikishe namim direct kama shushushu wao...
Kufika nyumbani picha linaanza piga honi kibao hawaitikiwi, kuingia ndani sipo 😂😂 akasema Wanda walichanganyikiwa wakajua mission ishaharibika, gharama zote zilizotumika na mda wao wote alafu kijan mdogo tu awaweke matopeni, zilianza kupigwa simu pale za misako wakaenda hadi hom kwa kaka baadhi wakiwa na gwanda kufika pale wakaniuliizia bro akasema hafaham nilipo hajaongea na mim ni miez kadhaa tangu sku moja mke wake aliambiwa nilifatwa na vijana wawili asubuh... kuoiga simu nyumbani jibu likawa hilohilo...
Wakahisi nimekimbilia mkoani hivyo ntakuwa nazagaa zagaa ubungo au mbezi na kote hawakufanikiwa kunikuta maan nilikuwa nimepanda akuna kulala zile coaster na huwaga na stand zake sio lazima uwende standd kuu kwahy wenda tulipishan kidg san..... walituma watu hadi kijijini kabisa upande wa baba na upande wa mam kuniulizia wakanikosa wazazi wangu walitoa ushirikiano waliposikia ni watu wa Kitengo huku wakiuliza ni kosa gan ambalo nimefanya mpaka nitafutwe vile...
Walichoshangaa ni kwamba yaani walishindwa kabisa kunipata kwa jitihada zao zote hata simu wkaangalia lain zilizosajiliwa kwa jina langu wakakuta ni zilezile nilizoibiwa ambazo sikurenew.. kitu pekee ambacho wanda aliogopa ni mim kudhurika na ukizingatia kuwa ananipenda licha ya jambo nlilomkosea, alijua sehem moja ambayo nawez kuwepo ni chuo tu maan yeye pekee ndio nilimpa detail zote kuwa ni chuo gan, mkoa gan na kozi ipi niliyokuwa nasoma. Ila alijua kwa wakati ule ngumu kunipata sababu mwaka mpya wa masomo ulikuwa haujaanza hivyo ilimbidi avumilie had mwaka mpya wa masomo ukianza ndo aje chuo kunitafta......
Mission yao ilienda poa na walijua kua nimeamua tu kupotea ila sio kuharibu mpango wao.. walikamata big fish wao wengi tu, sitataja matukio maan ni mengi mno story itakuwa (isìdingo😂😂) ila hawa watu wanaakili sana. Basi mamdogo na wenzake wakapata tunzo za kijesh na vyeo vyao kupanda na Wanda nae kupanda cheo kidogo maan kwa elimu yake ya la 7 alianzia chini mno atleast after mission alipanda kidg....
Kitu ambacho Wanda alikinotice ni kwamba mamdogo hakuchoka kunitafta na alikuwa akimuuliza wanda kila siku kwamba ameskia chochotr kunihusu mim lakin wanda alikataa. Alipata likizo baada ya uapisho aende kwa mumewe lakin alikataa na kusema angeenda likizo nyingine. Na alikuwa mtu wakwenda sana pale kwa kaka hadi akawa anamwambia kaka na shemeji kuwa atawapa donge nono wakimwambia nilipo maan aliamini kama wanajua ila wananificha maskini lakini aliambulia peupe..
Kuna siku mamdogo alimwambia wanda kua kama mama yake na kama mkuu wake kazini basi amsaidie kunitafta mim, Na Wanda alipomuuliza kwanin bado ananitafta licha ya mission kuisha alimwambia kuwa yeye anitafute tu kwa niaba yake. Wanda akamwambia mamdogo anajua kwa kunipatia ila itabidi mda upite mpak mda kuanza chuo ufike maan anauhakika kuwa huko ntapatikana akampa na mkanda mzima kuhusu mambo yangu ya chuo basi waka kaa kusubiria mda ufike kwa shauku....
Akiwa bado ananisimulia mlango uligongwa kwa nguvu mno, kufika mlangoni nakutana na binti wakala (demu wangu wa chuo) akaingia mpaka ndani na kusimama akimuangalia Wanda ambae alimkazia macho kikamanda, nikaona hapa kitanuka.. wanda alijua kuwa naweza kuwa na demu mim ni mwanaume so hakushangaa sana ila sas demu wangu sas yeye ndo alikuwa ashapagawa akijua kuwa kafumania. Nilivofunga mlango na kurudi hata kabla sijakaa wanda akaendelea na story yule binti akiwa bado kasimama sura yakununa kama anataka kulia.😂😂😂
Wanda akaendelea "" kwahyo mda ulivofika nikamwambia mamdogo kuwa huu ndo wakati sahihi na tangu nije huku nayeye hakutaka kusubiri nayeye akaja ila tunalala hoteli mbili tofauti, mim kwa zaid ya wiki kadhaa hata kabla ya mamdogo kuja nimekuwa nikija chuoni kwenu na mabaibui kila siku kukutafuta na kuangalia kama ntakuona ila holaa!!! Nilipotaka kukata tamaa nirudi Dar ndipo mamdogo nae akaona aje hukuhuku tuwe wote ili nipate moyo wakukutafuta.. nilijua nisipovaa baibui wew ukawa wakwanza kuniona ungejificha na kunikimbia... na mamdogo alipanga kuja kuongea na uongozi wa chuoni kwenu kuhusu wew kama wiki hii ingeisha bila mim kukuona... Ndipo leo nilipokuona unatembea na wale wadada sikuamini""....
""Kesho mamdogo atakuona asubuh. Hivyo saa 2 ntakuja kukuchukua kukupeleka hotelini ukaonane nae"". Alipomaliza akaninuka akachukua mkoba wake mdogo akanambia tena "" J wew ni wakwetu daima "", akamuangalia demu wangu wa chuo ambae wakati huu alikuwa amekaa juu ya ndoo ya maji amepoa nae alikuwa akisikiliza story.. alipotoka wanda nilitaka nimsindikize akanambia "" Rudi ndani ""😂😂 daah wanapenda kuendesha hawa.. Demu wangu aliposkia jina ""mamdogo"" alijua kuwa ni mambo ya kifamilia, akaanza kuniuliza kwani nimetoroka nyumbani hawajui nilipo mpaka wamekuja kunitafta, na kwanini nilikuwa sipokei simu na sijibu sms? , maswali kibaooo ila nikayazima kiume tukalala.....
Asubuhi Wanda alikuja kunifata na kunipeleka mpak hotelini alipofika mamdogo akaniingiza ndani... tulikuta kuna breakfast imeseviwa pale mezani supu mara chapati, maziwa n.k yaani vtuvitu vingi, Wanda akanambia anza kula hivi vyote vyako. Tulikuta mamdogo yupo bafuni maan tuliskia saut ya maji yakianguka bafuni uko, Wanda aliniaga na kuniambia "" najua mtakachokifanya ila Chunga Asinimalizie utamu, ukitoka hapo utapitia kwangu "" 🫤 nikajiona sasa nimeanza tena kutumika vibaya kingono 😂 wanda nilimchapa, demu wangu alivokuja usiku nilimpa kimoja ndo tukalala, mamdogo nae akitak nimpe, nikitoka nipitie kwa Wanda na kama nikirudi geto nitamkuta demu wangu ananisubiri anautaka maan nilimuacha geto kwangu kalala....🥴🥴 nikapanga mamdogo akitaka show nimkazie...😎
Alivotoka bafuni alinikuta nikiwa nakula, wala hakujisumbua alitoka akiwa uchi taulo kashika mkononi akiendelea kujifuta maji maji mwilini haswa usoni (huyu mama anamwili mzuri walai😑 pale pale nikaanza kumtamani nimtmb*). Alivoniona alisema waoow akatanua mikono ishara ya kunikumbatia huku akisogea nilipo tabasamuu zito. Nilisimama nikamkumbatia tulikaa tumekumbatian kwa mda mrefu bila kuongea kitu.. kumbuka nimemkumbatia yupo uchi sa sjui akili za kushika matako zilitokea wapi...
Pale nimemkumbatia nikaanza kumshika matako nayaminya minya huku yeye kaniegemea kifuani mikono yake inatembea mgongoni, nilishadindisha tayri. Vilevile kanikumbatia akatoa mikono mgongoni akashusha mpka chini akafungua kifungo cha suruali (huwa sivaagi mkanda) akafungua na zipu akashika dud likiwa ndani ya boxer akaanza kuchezea...
Huku tupo pozi la kukumbatiana alivoshika dud namim nikaanza kupitisha vidole katikati ya matk yake naanzia juu kiunon napitisha kweny mferej mkundn then mpka nafika kwny kum^ nakizamisha. Akapiga magoti huku nimesimam akalitoa nje lidud akaanza kulinyonya namim nikakaa kwenye kiti ambacho nilikaa kunywa chai kabla sijasimama. Alinyonya then tukaanza pale kutomb^n^ . Wanangu mambo ni mengi siwezi kuelezea kila detail...
Tulikuja kushtuka usiku mamdogo akaagiza chakula kikaletwa tukala hapo hata simu sjagusa tangu niingie mule mdan ipo silet tu. Nilipotaka kuondoka mamdogo alinikataza hivyo ikanibidi nilale humohumo na tulikaa hotelini kwa siku 8🔥🔥 sikuruhusiwa hata kutoka nje ya chumba hicho kila kitu tunaletewa, jua nililionea dirishani tu. Mamdogo alisisitiza kuwa haniamin ntatoroka kama kule na wakati huu hakutaka kunipoteza tena. Alikuwa akifurahi sana siku zote hzo... demu wangu nilikuwa nampiga fix tu na kwakua aliskia mambo ya mamdogo akajua mambo ya kifamilia nilimdanganya sana..
ILa Wanda alijua kilichokuwa kinaendelea na sku zote hzo alikuwa akinitumia sms kibao... Na alisisitiza kuwa bado ananipenda sana 😢 alikubali kuvumilia na kunisubiri kipind chote hcho nmetoroka, na alitaka mwaka mpya wa masomo ukianza aje yeye mwenyew bila mamdogo wala mtu yyote kujua, ili niwe wake pekeake ndoman hakutoa iyo siri kwa wakubwa zake kuwa mim ningerudi chuo baada ya mda flani kipindi kile natafutwa, ila alimuonea huruma mamdogo maana alihangaika sana kunipata!!!!.. ila sasa anajilaumu sana maana sisi tunaenjoy tu hotelin hatutoki hata nje yeye anaumia moyoni;;; na aliomba nikimalizana na mamdogo niongee nae turudiane rasmi tuanze maisha🥲🥲🥲....
Siku hyo ya 8 mamdogo aliamka kabla yangu mim nafumbua macho kitandan namuona mamdogo na wanda wanaongea heeee😳😳 nilishtuka ila kwakua mim mbovu wa usingizi walishanizoea.... Mamdogo alivojua nimeamka akanambia nenda kaoge, sikuwa na nguo mwili nikainuka na shuka huyo bafuni, nikaoga nikavaa taulo nkatafuta nguo zangu ambazo zilikuwepo ndani na skufanikiwa kuzivaa siku 8 zote nashinda uchi tu kmmke😂😂
Baada ya kuvaa mamdogo akasema kuwa "" Mimi najua kinachoendelea kati yenu ila tatzo namim nilishampenda huyu kijana wakati nagundua kuwa mpo katika mapenzi maan hata mim nilisoma sms zako wanda kipindi kile kule mbagala nilivyokuwa naenda kwa huyu J,,, ndio mana nilikuomba wew unisaidie kumpata na umefanya hvyo asante san.. nimekuwa katika msongo wa mawazo kipindi chote ametoweka na sijui nielezee ni furah kiasi gani nimeipata baada ya kukutana nae tena ila Asante sana Wanda.. mim nimekubali kuipokea likizo ndefu nakwenda kumtembelea mwanangu, sikutaka kuondoka bila kumuona mpenzi wangu J "" (akimaanisha huko nje alipo mumewe na mwanae ila sjui kwanin hakumtaja mumewe).... akasema hajui mim na Wanda tutapanga nin au tutafanya nin ila Tujue tu kwamba yeye hayupo tayari kuachana na mim na yupo tayari hata kuihatarisha ndoa yake kwaajiri yangu..
Eti kama tunapendana mim na wanda sawa tutajua wenyewe ila yeye nafasi yake akinihitaji itabaki palepale aijalishi ntamuoa wanda au mwanamke yoyote. Kisha akasema anasafiri kurudi Dar kwa ndege na mume wake ashamkatia tiketi, akifika JKiA anaunganisha ndege ya kwenda huko kwa mumewe... akanikiss palepale mbele ya Wanda akanambia ubaki salama mpenzi nakupenda sanaa see you soon 😋.. akamgeukia Wanda na kumwambia "" Kwaheri Mwanangu unajua kuwa nakupenda sana ila acha mapenzi yaitwe mapenzi tu """ kisha akatoka nje ambapo kulikuwa na gar ikimsubiri...
Tulikaa kimya tukiangaliana na Wanda yan ile kama "" kwahy tunafanyaje"". Wanda akanifata na kunambia nataka kulipa kisasi eti nimfanyie nilichokuwa namfanyia mamdogo zile siku 8 zote 😂 ila women😂... basi nilikaa nayeye kwa siku 3 kutokana na gharama za ile hoteli asingeweza kumudu siku nyingi hivyo tuliondoka... Wanda nae Akarudi dar...
Nikaanza kuishi haya maisha yakumtindua Wanda, pamoja na mamdogo na kale kadem wakala kadem kangu ka chuo, (sikuweza kaacha kalinipenda sna alafu kapole mno)... mi bado kijana mdogo bado skupanga kuoa ila kama ningepanga kuoa najua ingekuwa ni wanda maan nilimpenda kuliko wote.. Wanda alihama kwa mamdogo akaanza kujitegemea.. Yeye na mamdogo walijuana kuwa wote nawala ila kwa zamuzamu hawakuwa na shida japo hawakujua kam kadem kangu kale ka chuo niliendelea nako walikuwa wakinisisitiza nikaache nisije kukachanganya na wao nikamuumiza lakin nilishindwa wazee.... 😋😋
Kadem kangu kale hakakujua chochote maskini 😂😂
Nikiendelea kuhadithia ntatoa code tuishie hapa tu 😂😂
NB: Story ina Codes nyingi sana. Na mamlaka tajwa hapo juu siingilii utendaji kazi wao wala siri zao ila nimeandika kwa maudhui ya kuburudisha kutokana na story yangu.
KWA HII TUISHIE HAPA WANANGU
nijiandae kuleta ya madam wa field wakati wa ujenzi wa uwanja wa basket au yule mama wa ela ya mchezo...