Ulishawahi kulazwa kituo cha polisi na mkeo?

Mkeo alifanya uamuzi sahihi ila wewe na gubu lako ukashindwa kuelewa! Siku hiyo ulimpiga vibao asingeenda polisi kuna siku ungempiga na mwichi ukamuua kabisa.

Ingekuwa huyo shemeji kapatwa na tatizo lenye tija mwanamke angekuwa sahihi!! Even me kakamatwa kwa uhalifu wake nipoteze pesa zangu mimi!?

Upuuzi huo sifanyi!!!
 
Ngoja nitafakari zaidi, umeongea kitu imegusa ndani ya moyo wangu.

Naweza kukachukua ka baby girl huko mbeleni.

Asante kwa ushauri.
 
Vyeti na nguo zako viko wapi na je hakn kikao kimekaha mjadiliwe ?
Vyeti nilitunziaga kwa baba yangu baada ya kumaliza masomo vipo huko hadi leo.

Sikuwahi kushawika kufanya vikao bali niliondoka na nguo nilizokuwa nimevaa tu, hizo zingine nilimwachia.
 
Dah...humu ndani kuna majibu si mchezo ...kinachonifanya nicheke zaidi hadi machozi ni jamaa alichoandika na wewe ulichojibu...aisee watu mnamajibu.

Hii imenikumbusha kaka yangu mmoja mtu mzima sana ila majibu nihivihivi, jamaa ana busara sana sasa kosa ujichanganye utapewa jibu hilo haangalii maza, sijui mzee mtoto, kiongozi wa dini au yeyote ila we jichangange.
 
Doohh sad sad..bas inaweza ikawa hata ulichowaza kuhusu dogo yaweza kuwa sahihi kuwa sio mwanao. Vinginevyo angekutafuta kwa ajil ya mtoto walau umuone
Mkuu nilimvumilia kwa mengi huyo mpuuzi, haeleweki kabisa, lile tukio la kunilaza selo ndio liliamua hatima ya mahusiano yetu, nilaachana naye mazima
 
mnyiramba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…