Ulishawahi kulazwa kituo cha polisi na mkeo?

point 3 kwa katandoa.
 
Huko kumalizana kishikaji,,ndio kumalizana gani??embu fafanua inaweza kuwa ni mbinu Bora ya kutumia endapo na Mimi huyu wangu naye akibahatika siku kunipeleka Kwa wafanyakazi wenzangu
Mkuu ni kweli nilikuwa na kosa ambapo kisheria nilipaswa kufikishwa mahakamani.

Afande alinifuata korokoroni alfajiri akanipa njia ya kujinasua kwenda mahakamani nayo ni kumpa 50k, nilimuelewa na ndivyo tulivyomalizana kishikaji kwa kumpa afande hiyo hela, sijui afande alivyomwambia mke wangu, Ila my wife aliniambia tu kuwa kafuta kesi hivyo twende nyumbani.

Hasira ilibaki kwangu niliyelala kituoni usiku mzima, sikuongozana naye kurudi nyumbani.
 
Kwenye heading nilielewa kwamba wewe na mkeo mlilala kituo cha polisi ila kumbe mkeo ndiye alikulaza kituoni.


Pole sana!

Ila huyo Mnyiramba achana naye jumla.

Kawaida mwanamke akishakupeleka polisi hapo hakuna mapenzi.

Kwanza anaweza akakuua!
 
Mimi mke wangu alichukua 3M ya biashara akamkopesha shoga yake anaedaiwa kwenye mikopo nyonya damu wakati shoga yake hana kazi yoyote itakayo msaidia kulipa hilo deni.
Ikabidi niende polisi mwenyewe nikawaambia polisi waniweke ndani maana nikibaki nje ntamuua wife.
 
✊✊Usirudie tena Mke ni Wa Kwako,,lakini Binadamu ni wa Gavamenti Sawa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…