Ulishawahi kulazwa kituo cha polisi na mkeo?

Ulishawahi kulazwa kituo cha polisi na mkeo?

Afande alichukua pesa kukuweka ndani toka kwa mkeo, na akachukua 50k toka kwako kukutoa nje. Usifikiri alikusaidia sana hapana, ni vile ungeenda mahakaman asingepata kitu

Subir kwanza, ina maana ni yf wako mdio alikufuata tena kwamba twende nyumban nimefuta kesi? Kwamba huruma ilimrudia ? Ahahaha.
Wewe utakuwa ni yule afande, nina mashaka na wewe Ila siwezi kukufatilia hizo maokoto ulizotupiga ulizinywea pombe na mbuzi choma kule kwa mrombo 😂
 
Mimi mke wangu alichukua 3M ya biashara akamkopesha shoga yake anaedaiwa kwenye mikopo nyonya damu wakati shoga yake hana kazi yoyote itakayo msaidia kulipa hilo deni.
Ikabidi niende polisi mwenyewe nikawaambia polisi waniweke ndani maana nikibaki nje ntamuua wife.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kifupi yaani ulioga kwanza halafu ukapaka sabuni.
 
Unajiepusha na mengi boss, usije fumua mtu ubongo kisa kuonyesha wewe ni mwanaume, na ukikaa hapo uvumilivu utakushinda, kuondoka ndo suluhisho sahihi.
Nina jamaa zangu wa karibu wawili waliishia kwenye majanga makubwa kwa sababu ya ubabe. mmoja alimuua muhudumu wa baa baada ya kunywa bia zetu na kukataa kuondooka naye, yaani alimpiga teke moja tu tumboni ikawa jumla. Wa pili alipigwa mshale na mlinzi wa kimasai tukiwa baa tunakunywa pombe, kwa sababu tu ya ubabe pasipo lazima. Wa tatu sikuwa na ukaribu naye ila alisota sana lupango kwa kumuua hawara ya dada yake, kwa sbabu za kitoto na kushindwa kuzuia hasira. Historia ni mwalimu mzuri sana kwenye maisha, mimi sipigi mwanamkewala sipigani na mtu kamwe.
 
Nina jamaa zangu wa karibu wawili waliishia kwenye majanga makubwa kwa sababu ya ubabe. mmoja alimuua muhudumu wa baa baada ya kunywa bia zetu na kukataa kuondooka naye, yaani alimpiga teke moja tu tumboni ikawa jumla. Wa pili alipigwa mshale na mlinzi wa kimasai tukiwa baa tunakunywa pombe, kwa sababu tu ya ubabe pasipo lazima. Wa tatu sikuwa na ukaribu naye ila alisota sana lupango kwa kumuua hawara ya dada yake, kwa sbabu za kitoto na kushindwa kuzuia hasira. Historia ni mwalimu mzuri sana kwenye maisha, mimi sipigi mwanamkewala sipigani na mtu kamwe.
Aisee, Wewe una uzoefu mkuu.
 
Aisee, Wewe una uzoefu mkuu.
Mkuu, kwa umri nilioishi hapa duniani nina uzoefu kiasi chake. Yule jamaa yangu aliyepigwa mshale na mmasai, kifo chake kiliniuma sana. Tumefika mpaka hospitali ya mkoa hatukupata huduma kwa wakati, mwamba kafia mapajani kwangu tukiwa mapokezi ya hospitali na ni usiku mkubwa. Yaani nikikumbuka huwa inaniuma sana, yule mmasai hakutumia akili hata kidogo.
 
Mkuu, kwa umri nilioishi hapa duniani nina uzoefu kiasi chake. Yule jamaa yangu aliyepigwa mshale na mmasai, kifo chake kiliniuma sana. Tumefika mpaka hospitali ya mkoa hatukupata huduma kwa wakati, mwamba kafia mapajani kwangu tukiwa mapokezi ya hospitali na ni usiku mkubwa. Yaani nikikumbuka huwa inaniuma sana, yule mmasai hakutumia akili hata kidogo.
Inaumiza aisee. Najaribu kupiga picha mtu wako wa karibu anakufia mikononi huku unamtazama.
 
Uliyekuwa ukimuita mkeo awe na chuki binafsi na wewe?
-Ulifanya kosa kisheria kumpiga.
-ulimpiga baada ya kuwa na hasira.
-mngeachwa mrudi wote nyumbani lazima/kuna uwezekano ungemkoyonga tena ndiyo mkatenganishwa.
NB;Kutupwa selo ilikuwa ni njia bora ya kuwatuliza wote wawili hasira ziwatoke akilini na mtafakari upya mambo yenu.Halafu,hukutaka kukubali moyoni mwako kwamba ulikosea kupiga. Na mwishowe ukaikimbia nyumba na kumtwisha lawama mtu unayemwita "mnyiramba" badala ya kulijutia kosa lako.Hadi mke anang'ang'ania umpe hela ambazo kiuhalisia yawezekana haukuwa nazo umeonesha huna uwezo wa kujieleza,kumshawishi mtu akuamini na kusuluhisha mambo kwa amani.
Ulitaka mwana afanye nini wewe mnyiramba..?
 
Kipindi nikiwa na umri wa ujana ujana zaidi, nilikua nawashangaa sana wanaume wanao wapa makofi wake zao pale wanapovuka mipaka, Ila sasa baada kuingia utu uzima nimekuja kugundua wale wazamani walikua hawatembezi vibao kisawa sawa, Dozi ilitakiwa kuwa kubwa zaidi ya nilivokua naona
 
Back
Top Bottom