Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
- Thread starter
- #161
Nadhani alijifunza kitu kuhusu hao maafande wa kike wenye cheo, kwamba sio wa kuoa.Huyo jamaa wa hapo momela 😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani alijifunza kitu kuhusu hao maafande wa kike wenye cheo, kwamba sio wa kuoa.Huyo jamaa wa hapo momela 😀😀
Wewe utakuwa ni yule afande, nina mashaka na wewe Ila siwezi kukufatilia hizo maokoto ulizotupiga ulizinywea pombe na mbuzi choma kule kwa mrombo 😂Afande alichukua pesa kukuweka ndani toka kwa mkeo, na akachukua 50k toka kwako kukutoa nje. Usifikiri alikusaidia sana hapana, ni vile ungeenda mahakaman asingepata kitu
Subir kwanza, ina maana ni yf wako mdio alikufuata tena kwamba twende nyumban nimefuta kesi? Kwamba huruma ilimrudia ? Ahahaha.
Wakale walisema penye udhia penyeza rupia."kishikaji" au ulihonga?
Hahaha pande za Intel, Machwa na kadhalikaWewe utakuwa ni yule afande, nina mashaka na wewe Ila siwezi kukufatilia hizo maokoto ulizotupiga ulizinywea pombe na mbuzi choma kule kwa mrombo 😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kifupi yaani ulioga kwanza halafu ukapaka sabuni.Mimi mke wangu alichukua 3M ya biashara akamkopesha shoga yake anaedaiwa kwenye mikopo nyonya damu wakati shoga yake hana kazi yoyote itakayo msaidia kulipa hilo deni.
Ikabidi niende polisi mwenyewe nikawaambia polisi waniweke ndani maana nikibaki nje ntamuua wife.
Sawa mkuu 😂Hahaha pande za Intel, Machwa na kadhalika
Nina jamaa zangu wa karibu wawili waliishia kwenye majanga makubwa kwa sababu ya ubabe. mmoja alimuua muhudumu wa baa baada ya kunywa bia zetu na kukataa kuondooka naye, yaani alimpiga teke moja tu tumboni ikawa jumla. Wa pili alipigwa mshale na mlinzi wa kimasai tukiwa baa tunakunywa pombe, kwa sababu tu ya ubabe pasipo lazima. Wa tatu sikuwa na ukaribu naye ila alisota sana lupango kwa kumuua hawara ya dada yake, kwa sbabu za kitoto na kushindwa kuzuia hasira. Historia ni mwalimu mzuri sana kwenye maisha, mimi sipigi mwanamkewala sipigani na mtu kamwe.Unajiepusha na mengi boss, usije fumua mtu ubongo kisa kuonyesha wewe ni mwanaume, na ukikaa hapo uvumilivu utakushinda, kuondoka ndo suluhisho sahihi.
yaani ndoa haikufa lakini nilibadilisha mfumo wake wa maisha mpaka leo atakuwa anajuta ingawa ndoa inaendelea.😂😂😂
Aisee, Wewe una uzoefu mkuu.Nina jamaa zangu wa karibu wawili waliishia kwenye majanga makubwa kwa sababu ya ubabe. mmoja alimuua muhudumu wa baa baada ya kunywa bia zetu na kukataa kuondooka naye, yaani alimpiga teke moja tu tumboni ikawa jumla. Wa pili alipigwa mshale na mlinzi wa kimasai tukiwa baa tunakunywa pombe, kwa sababu tu ya ubabe pasipo lazima. Wa tatu sikuwa na ukaribu naye ila alisota sana lupango kwa kumuua hawara ya dada yake, kwa sbabu za kitoto na kushindwa kuzuia hasira. Historia ni mwalimu mzuri sana kwenye maisha, mimi sipigi mwanamkewala sipigani na mtu kamwe.
Mkuu, kwa umri nilioishi hapa duniani nina uzoefu kiasi chake. Yule jamaa yangu aliyepigwa mshale na mmasai, kifo chake kiliniuma sana. Tumefika mpaka hospitali ya mkoa hatukupata huduma kwa wakati, mwamba kafia mapajani kwangu tukiwa mapokezi ya hospitali na ni usiku mkubwa. Yaani nikikumbuka huwa inaniuma sana, yule mmasai hakutumia akili hata kidogo.Aisee, Wewe una uzoefu mkuu.
Inaumiza aisee. Najaribu kupiga picha mtu wako wa karibu anakufia mikononi huku unamtazama.Mkuu, kwa umri nilioishi hapa duniani nina uzoefu kiasi chake. Yule jamaa yangu aliyepigwa mshale na mmasai, kifo chake kiliniuma sana. Tumefika mpaka hospitali ya mkoa hatukupata huduma kwa wakati, mwamba kafia mapajani kwangu tukiwa mapokezi ya hospitali na ni usiku mkubwa. Yaani nikikumbuka huwa inaniuma sana, yule mmasai hakutumia akili hata kidogo.
It's ukiona mnafikia kupigana at the first place......Ukiona mmefikia kulazana polisi basi hapo hamkuwa mnapendana
Ulipambana sana
Hatari sana mkuu, jamaa ananiambia yaani brother yaani nakufa bila kuacha mtoto, hapo ndoa haijamaliza hata mwezi mmoja. Alafu hakuwa mtu wa fujo kabisa, ndio maana mimi hawa walinzi wa kimasai huwa siwaamini sana.Inaumiza aisee. Najaribu kupiga picha mtu wako wa karibu anakufia mikononi huku unamtazama.
Ulitaka mwana afanye nini wewe mnyiramba..?Uliyekuwa ukimuita mkeo awe na chuki binafsi na wewe?
-Ulifanya kosa kisheria kumpiga.
-ulimpiga baada ya kuwa na hasira.
-mngeachwa mrudi wote nyumbani lazima/kuna uwezekano ungemkoyonga tena ndiyo mkatenganishwa.
NB;Kutupwa selo ilikuwa ni njia bora ya kuwatuliza wote wawili hasira ziwatoke akilini na mtafakari upya mambo yenu.Halafu,hukutaka kukubali moyoni mwako kwamba ulikosea kupiga. Na mwishowe ukaikimbia nyumba na kumtwisha lawama mtu unayemwita "mnyiramba" badala ya kulijutia kosa lako.Hadi mke anang'ang'ania umpe hela ambazo kiuhalisia yawezekana haukuwa nazo umeonesha huna uwezo wa kujieleza,kumshawishi mtu akuamini na kusuluhisha mambo kwa amani.
Huyo masai alistahili adhabu kali mno.Hatari sana mkuu, jamaa ananiambia yaani brother yaani nakufa bila kuacha mtoto, hapo ndoa haijamaliza hata mwezi mmoja. Alafu hakuwa mtu wa fujo kabisa, ndio maana mimi hawa walinzi wa kimasai huwa siwaamini sana.
Kupigana au hiyo kulazana polisi ni kitu cha ajabu. Mkishashindana ni kukubaliana tu kila mtu aende na njia yakeIt's ukiona mnafikia kupigana at the first place......