dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Mkuu naomba namba za mkeo nijipigie tu mnk ameshakuwa single mamaz wa kitaifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha upuuzi utapigwa wee bas siku mojaSio poa kumpiga mkeo, hamna kisichozungumzika, utajikuta unapiga kila mwanamke usiyeendana naye.
Exactly wanyiramba na wanyarturu wamejazana Sana Arusha na kusababisha kufuruga amaniHuwezi kuwaona , wao kama wao huwa hawataki kunasabahisha au kujitambulisha wao ni wanyiramba pamoja na wenzao wanyaturu bora wakuambie yeye ni wa Arusha 🤣
Vyeti na nguo zako viko wapi na je hakn kikao kimekaha mjadiliwe ?Ni miezi tisa imepita sijarudi home hadi leo na sina mpango wa kurudi, nilimwachia kila kitu likiwemo jukumu la kulipa kodi ya nyumba
Kwakwel hata mimi suala la kupigana silipend kabisaaaaa. Nachapa watoto wangu tuuu, hata wa jiran sigusi. Maisha yame change sana siku hiz, binadamu wamekua kama kuku broiler, kibao kimoja tu chaliii kafa.Nina jamaa zangu wa karibu wawili waliishia kwenye majanga makubwa kwa sababu ya ubabe. mmoja alimuua muhudumu wa baa baada ya kunywa bia zetu na kukataa kuondooka naye, yaani alimpiga teke moja tu tumboni ikawa jumla. Wa pili alipigwa mshale na mlinzi wa kimasai tukiwa baa tunakunywa pombe, kwa sababu tu ya ubabe pasipo lazima. Wa tatu sikuwa na ukaribu naye ila alisota sana lupango kwa kumuua hawara ya dada yake, kwa sbabu za kitoto na kushindwa kuzuia hasira. Historia ni mwalimu mzuri sana kwenye maisha, mimi sipigi mwanamkewala sipigani na mtu kamwe.
HahaaaTuishi nao kwa akili mkuu
Hata hilo moja tu unaweza ukapata kesi ya mauaji. Muhimu ondoka eneo la tukio itakusaidia kukuepusha na mengi.Wanawake wa siku hizi chapa kofi moja tu,ukiongezea lazima ukaandike maelezo polisi...
E bwananeehh..so hamjawahi kutafutana ever since??Nina mashaka kama huyo mtoto ni wangu maana ka baby girl kapo copyright na maza ake, hivyo sishawishiki kukalea.
kwa mfano mke amenikuta na nyumba je tutagawana Mali hzoMimi nilimchapa vibao mke wangu akiwa mjamzito kisa kunitukania mama yangu. Akaenda Polisi, wakanipigia simu, nikachukua zangu karatasi tatu na kalamu nikaandika taraka kabla sijafika kituoni. Nikabeba simu, hela kama fifte zile karatasi.
Kituoni nafika, nimesimama mbele ya meza, naulizwa wewe ndio flani, wewe unamjua huyu, sijajibu zunguka huku, kofi la mhongo, vua mkanda, kiatu, saa wakanitupa sero, nikakabidhi hela, simu na zile karatasi kwenye bahasha.
Mwanamke wakamwambia rudi nyumbani ilikuwa jioni mida ya saa 10 hivi.
Mida ya saa 12 jioni naitwa sero, kumbe mke wangu amekuja kuniletea chakula na amenisamehe eti niachiliwe kimemuuma.
Afande wa zamu akasema, mpaka aje afande alienipigia simu. Ex Wife akawaambia yameshaisha, waniachie. Wakamwambia wewe umeleta mambo polisi kuna utaratibu wake, ungekuwa unataka msamehe huyu bwana usingekuja huku. Huyu atalala ndani mpaka akamilishe dhamana. Wakanitupia tena sero, nikakataa kula nikamwambia Afande hicho chakula arudi nacho huyo mwanamke.
Yule mama akalia sana pale nje, wakamfukuza wakamwambia aje asubuhi. Mtoto wangu wa miaka miwili namsikia analia baba, baba, mi nipo sero.
Kukakucha, Akawahi sana yule mama saa 12, kaleta chai. Polisi wana utaratibu wao, wakachomoa watu wa kwenda mahakamani, badae saa mbili mbili mlango unafunguliwa naitwa mimi, nafika CRO chumba cha mashitaka nawakuta jamaa, washikaji, mshua na wafanyakazi wangu wamekuja kunichomoa.
Basi tukaitwa ofisini kwa mkuu wa kituo, Afande mmoja Mwanamke ndie akasikiliza ishu yetu. Nikaonywa sana kupiga mke, kwamba ni jinai na ile ishu ningefungwa kwa kujeruhi, mambo mengi niliambiwa pale kibabe sana na yule Maza afande.
Wakanirudisha chumba cha Mashitaka, chukua vitu vyako, anataka kunikabidhi zile karatasi nikamwambia mpe huyu ndio zake anafungua kusoma ni taraka, kilio kikubwa mno na kugalagala chini. Polisi wakamwambia kama amekupa taraka nenda mahakamani ili ukapate haki zako.
Wana wakanichukua, wakanipeleka gesti, nikaoga kutoa nuksi nikaletewa nguo zingine nikavaa.
Yule mama akanipeleka mahakamani, na mimi sikurudi home, napigiwa simu na Mwenyekiti kuna samansi ya mahakamani.
Nikaenda mahakamani nikakiri kumpa taraka yule mama, wakaainisha vitu vya ndoa. Nyumba ya ndoa na viwanja viwili. Mimi nikawaambia nyumba ya ndoa ibaki ya watoto, viwanja viwili nampa moja chake moja changu. Nilikuwa na pesa akiba kama 1.5 M nikawambia mahakama nampa laki 7 na vyombo vyote vya ndani aondoke navyo.
Nyumba ikapangishwa, pesa ya mtoto mdogo nikaambiwa nitalipa hamsini kila mwezi. Mtoto mkubwa akabaki shule. Kwisha.
Mali zote nilikuwa naandikisha kampuni ambayo aliikuta yule mama. Nikaokoa mali kibao kupigwa pasu. Gari, trekta, vyote alidai mahakamani vikaonekana ni vya kampuni ambayo kaikuta na nipo mimi, mzee na mdogo wangu hiyo ilikuwa 2019. Mwanamke alikomaa sana kila kitu kiuzwe, kumbe mimi nilikuwa nafanya biashara chini ya Kampuni. Mali zangu ukinitafuta mimi hunikuti unaikuta kampuni. Tukavutana sana mahakamani, ikaonekana nimemuoa kampuni kaikuta na hajawahi kuingizwa kwenye kampuni kwa hisa au kwa kufanya kazi. Ana kazi yake nina biashara zangu. Pia nilipeleka Usia na mirathi ya mama yangu ambae katika mgao wa mirathi ya mama ndipo tulikubaliana mimi, baba na wadogo zangu tufungue kampuni na yeye nikamuoa miaka 10 baadae.
Nikaokoa mali mzee, vinginevyo ilikuwa ni pasu kwa pasu. Chezea mwanamke akiwa mjinga ila akiwa anajitambua ni hatari sana mbele ya sheria jameni. Mwanamke aliweka mpaka wakili kutaka mali zile.
Pole sana Mzee mwenzangu. Mke mbele ya sheria achukuliwi kama mke wako anachukuliwa kama "Separate entity" yaani anakufunga laivu laivu. 😁
Daah wewe baba umenisikitisha. Kwa hiyo mtoto hatakiwi kufanana na mama yake; afanane tu na baba yake? Kwa nini hukufanya uamuzi wa kupima DNA? Hivi unaweza kuitelekeza damu yako kwa sababu tu mtoto amefanana sana na mama yake?Nina mashaka kama huyo mtoto ni wangu maana ka baby girl kapo copyright na maza ake, hivyo sishawishiki kukalea.
Ila nyie mnabamizwa na bibi zenu maana nimekaa County ya Makuweni/Kajiado kote huko nimeona mnavyobamizwa nao, sio poa yaaniSio poa kumpiga mkeo, hamna kisichozungumzika, utajikuta unapiga kila mwanamke usiyeendana naye.
Ni kweli wamejazana Arusha, nilikuwa na mmoja nikamucha maaana ningemfanya kitu kibaya wanajifanya wana kauli Chafu, Huyo demu wa kinyiramba alikuja ghetto akalala sasa mimi nikaenda kazini nikamuacha ghetto kumbe Asubuhi katumia jug la kumchemshia jama kumbe alikuwa hajui kulitumia kumbe kwenye kufungua mfuniko ili awake Maji yeye akatumia nguvu aka ung"oa na hakusema na akaondoka zake, sasa mimi baada ya siku mbili kupita nachukua jug nichemshe maji ya nakuta mfuniko umevunjwa nampigia simu namuuliza namshangaa aExactly wanyiramba na wanyarturu wamejazana Sana Arusha na kusababisha kufuruga amani
Ila nyie mnabamizwa na bibi zenu maana nimekaa County ya Makuweni/Kajiado kote huko nimeona mnavyobamizwa nao, sio poa yaani
Akikuvunjia heshima itabidi mzungumze nini hapo?
Mchape viwili vitatu ili ajue nani ni mwamba kwenye familia. Akileta ukaidi mtimue arudi kwa mamaye.
Nimejifunza Kaka FOCAL maana hapa nipo nawaza kununua meno ya bandia mawili maana yameng'olewaNina jamaa zangu wa karibu wawili waliishia kwenye majanga makubwa kwa sababu ya ubabe. mmoja alimuua muhudumu wa baa baada ya kunywa bia zetu na kukataa kuondooka naye, yaani alimpiga teke moja tu tumboni ikawa jumla. Wa pili alipigwa mshale na mlinzi wa kimasai tukiwa baa tunakunywa pombe, kwa sababu tu ya ubabe pasipo lazima. Wa tatu sikuwa na ukaribu naye ila alisota sana lupango kwa kumuua hawara ya dada yake, kwa sbabu za kitoto na kushindwa kuzuia hasira. Historia ni mwalimu mzuri sana kwenye maisha, mimi sipigi mwanamkewala sipigani na mtu kamwe.
Makofi mawili siyo kupigana wala kupigwa, ni kushituana ili mtu asijisahau.Ikishindikana kila mtu achukue hamsini zake, kupigana pigana kwenye ndoa sio kabisa...
Mwamba hapa umezingua! Mtoto hana kosa, unaacha damu yako inateseka?...sad.Nilimwachia hata hako ka baby girl, sihitaji kuunganishwa kwa lolote na huyo mshenzi.