Ulishawahi kumchukia member wa JF pasipo kumjua

Huna haja ya kuchukia, jifunze kupuuzia
 
Basi nimetoa bure shemeji, ila ukitaka kitu siku nyingine ntakwambia umtume bro ndo aje nimpe ili ulipe wewe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Shemeji nashukuru.
Ila sitataka tena kingine maana naogopa kulipa.
 
Mimi namchukia sana faiza foxy kwasababu ya udini wake na kuchukia wakristo
 

We jamaa siku nukifunguliwa nikakuita Ustaadh Swaleh si ajabu nikapigwa ban.

Pole mkuu.
 
Anajua saana.
 
Hahahaha... kama ndiyo hao mwenyewe wananikera yaani hadi nahisi kutapika wacha nije pm tutapike wote akizidiwa mmoja mwingine akamchotee maji [emoji125] [emoji125]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] usisahau malimau kuja nayo pm
 
We jamaa siku nukifunguliwa nikakuita Ustaadh Swaleh si ajabu nikapigwa ban.

Pole mkuu.

Teh teh teh....mask on, fcuk it mask off

Hapa nilipo na cruise down on Old Milton Parkway huku nikisikiliza Mask Off...man that joint is lit!!!

Life is has never been better.....hahahahahaaaa

Siku nami nikikuita KaniG sijui ntapewa ban?
 
Teh teh teh....mask on, fcuk it mask off

Hapa nilipo na cruise down on Old Milton Parkway huku nikisikiliza Mask Off...man that joint is lit!!!

Life is has never been better.....hahahahahaaaa

Siku nami nikikuita KaniG sijui ntapewa ban?

Mod siku hizi hata hawaeleweki mkuu, ukishangaa shangaa tu uko ban.

Niaje lakini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…