[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Mara nyingi chuki huambatana na WIVU.Sasa unapomchukia mtu ambae hata hujamuona ni dalili ya kupungukiwa na baadhi ya vitu vinavyokamilisha kichwa cha mwanadamu
[emoji7][emoji7]Mie pia [emoji8] [emoji8] [emoji8]
unanitafutia bun kwa nguvu wewe. nimekushtukiaMimi wakinikashifu au wakinitukana ndio nazidi kuwapenda...yaani roho inasuuzikaaa [emoji23]
Hebu naomba unitukane sasahv pls.
hahaaaa. nimekunyooshea mikono. umeamua umseme live kabisaMimi namchukia sana faiza foxy kwasababu ya udini wake na kuchukia wakristo
utakuwa unajichukia hata ww mwenyeweMi nawachukieni wote
hilo ndo maana sio kupigishana makeleleKwa kweli wapo ambao maandishi yao hayanifurahishi, wao ni mitusi kwa kwenda mbele hivyo nimewapiga infinity ignor! Hahahaha
haswa
wanasumbua Sana. ila wakikua wataachaNimekumbuka kitu flan, kuna jamaa anapenda sana kuzungumzia inshu za St joseph, sijui migomo sijio nn. Anamatusi kinyama, binafs nikafkiria kwa Ma great thinkers wanazi sio rhc ilbd leo niangalie profile yake kumbe ka ji register May 05 2017.
Anajiita cjui city hunter 1922,
Binafsi siwez mchukia hope atabadrika
Hahahaha kwa kweli!hilo ndo maana sio kupigishana makelele
HahahahaMi nawachukieni wote
hii mpya kwanguKuna mtu alishasema ukitaka kumpata mwanamke aliyefunga pm humu gombana naye kisha atakuja pm kuomba msamaha.. akishakuja unaanzia hapo hapo.
Like nimekupa bwana shemeji. Nitakunyimaje wakati unataka ziwe nyingi uwe maarufu kama naniii
Ipo mamdogohii mpya kwangu
[emoji2] [emoji2]We ukishakuwa CCM tu nakujua sikujui mi sikupendi
Member wa humu hasa washiriki wa MMU ni changamoto ila hawapaswi kuchukiwaMambozzz
.
Ivi ulishawahi kumchukia members yeyote wa jf. Kutokana na mijadala,mabishano yanayoendelea humu.mimi binafsi sijawahi mchukia members yoyote humu jf. Hata anikashifu vipi.
Ila.
Wasafi ya vipi hiyo shangazi au ya kina diamondJf kila mtu msafi[emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]