Ulishawahi kumchukia member wa JF pasipo kumjua

T naanzaje mm kukuchukia sijui unafananaje shemeji yangu hakuna ulichonikosea ungenikosea mbona ningekwambia tu mm ndio nipo hivyo shem kuwa na amani zote nakupenda shemela wangu roho ya Dada angu sakayo
Mie napenda tu unavyojua kushusha mistari
 
Hahahaha... nakuhakikishia jaribio la kwanza matokeo yake lazima yawe haya...

Hahahaa hiyo itakua ni mtihani bwana shemeji, teh teh teh kumbuka mwanao wa mwisho ndo kwanza ana mwaka
 
Mie kiukweli sina chuki na mtu il a sipendagi shobo za MTU kuniquote alafu anaandika upupu""! Yaani ukijichanganya utanichukia mwenyewe tu..thou sikujui hunijui hahah
 
Mie kiukweli sina chuki na mtu il a sipendagi shobo za MTU kuniquote alafu anaandika upupu""! Yaani ukijichanganya utanichukia mwenyewe tu..thou sikujui hunijui hahah
Usiku mwema, sikufanyii shobo tena [emoji1] [emoji1]
 
Mie kiukweli sina chuki na mtu il a sipendagi shobo za MTU kuniquote alafu anaandika upupu""! Yaani ukijichanganya utanichukia mwenyewe tu..thou sikujui hunijui hahah
Usiku mwema, sikufanyii shobo tena [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…