Ulishawahi kumchukia member wa JF pasipo kumjua

Jf kila mtu msafi[emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Yaani ungejua ninavyokuchukia, ungenifuata pm uniombe msamaha tu...
 
Kumchukia mtu mpaka ashinde shindano la kuweza kuichukiza akili yangu kwanza.

Shindano hilo si la kitoto maana linataka uwe na akili sana kuweza kunichukiza.
 
Huyo anajitambua. Sasa kuna wajinga wengine unakwaruzana nae jukwaa la siasa anakufuata majukwaa yote kukusumbua saa nyingine anabadili hadi ID aje akutukane tu.....
 
Huyo anajitambua. Sasa kuna wajinga wengine unakwaruzana nae jukwaa la siasa anakufuata majukwaa yote kukusumbua saa nyingine anabadili hadi ID aje akutukane tu.....
Na ni bora hatujuani,maana angekujua angeweza kukupigia hata na simu mtu kama huyo.
 
Sijawah chukia mtu,ktk maisha yakawaida mtu kanikera namfata namwambia nitoe la rohon alaf yanaisha maisha yanakwenda,iweje nichukie mtu wa jf ilhali hata kumjua simjui for no reason.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…