Ulishawahi kumchukia member wa JF pasipo kumjua

On the real siwezi kumchukia nisiyemjua.

Huo utakuwa ni umajinuni.

Sijui ukoje, sijawahi hata kuisikia sauti yako, sijui ulipo, yaani sikujui mwanzo mwisho sasa nitaanzaje kukuchukia?

Hata haiingii akilini kabisa.

Ila mimi nishawahi kuona humu watu wanaodai kuwa eti wananichukia ilhali hata hawanijui!

So go figure...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…