Ulishawahi kumpa Baba yako zawadi?

Ulishawahi kumpa Baba yako zawadi?

Amina, unajua kama familia mlizoea ishi maisha flani gafla unaona mambo ya mebadilika lazima kama kijana mkubwa uwajibike kufix mambo, mwanzoni ishu kama kusomesha madogo niliona ni jukumu la mzee ila mzee alikomaa pensheni yake hasomeshi madogo akati sie tupo. So napo ikabidi tuwajibike, yeye hela yake ni kinywaji tu mengine sie tuna mrekebishia.
Ooh jamanio[emoji7][emoji7] nakupa baraka jamani. Pokeaaa baraka hizi. Palipokupungukia mola akakuongezeee. Usipumgukiwe hata kidogo...

Ila sijui huwa niko too emotional jamani[emoji28][emoji28][emoji85]
 
Ooh jamanio[emoji7][emoji7] nakupa baraka jamani. Pokeaaa baraka hizi. Palipokupungukia mola akakuongezeee. Usipumgukiwe hata kidogo...

Ila sijui huwa niko too emotional jamani[emoji28][emoji28][emoji85]
Amina, Barikiwa pia mkuu.
 
Mhh... really? Nutajie characters za baba yako na nikusaidie.

Ni kweli kabisa huwa kwa wanaume kuchagua zawadi huwa ni ngumu sana kwao. Kwa sisi wanawake ni rahisi sana coz tunajua kumsoma mtu na kujua anatakiwa kupatiwa nini... ila kuna vitu huwa ni basic pia mkuu
Mstaafu ....... Alikuwa mhasibu.......

Anakunywa Sana.

Anapenda kusafiri.

Anapenda mashamba.
 
Mstaafu ....... Alikuwa mhasibu.......

Anakunywa Sana.

Anapenda kusafiri.

Anapenda mashamba.
Okey..

Kwanza mtu anayekunywa ni very easy going. Rahisi sana..

Kuwa na tabia ya kimnunulia pombe anayoutumia. Sometimes mbadilishie ajaribu taste mpya. Eg. Kama alikua anapenda st. Anna basi mpelekee jameson, drostoff, etc..

Na kama ni mstasfu naamini alikua anajipenda sana. Mpatie vitu vikali kama kawaida, kiatu, nguo, belt nzuri, perfume maana hakuna wababa wanakufaga kwa upweke kama wastaafu. Walishazoea kila siku kwenda kazini. Wanapokua ni kulala tu acha kbs.

Kuwa na tabia za kutoka nae out mara kadhaa. Mspoil asijisikie mpweke kabisa. Yaani inatakiwa akione bado yuko kwenye form.

La mwisho.. mnunulie tiket yeye na mke wake waende vaccations. Ama fuel cash etc aweze kujikimu endapo umejaaliwa kipato. Zawadi haijawahi kosekana bwana.
 
Mama angu nae kaibiwa simu wiki ilopita ni simu ya pili namnunulia
Juzi kati ananiambia mwanangu sitaki kitochi nataka kama ile ilopotea [emoji23][emoji23][emoji23](naambiwa kiupole kweli jamani) ameshazoea whatsapp na kule like id kwenye video za kuchekesha sasa anaona tabu kurudi kwa kitochi hapa nadaiwa simu tena ninunue mpyaaa

Basi huwa akipata simu mpya anafurahi balaa
Mnunulie bhana mom afurahie uwepo wako.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Habari wadau,

Moja kati ya mada muhimu za kuweka mezani siku hizi ni kuhusu uhusiano kati ya watoto na Baba. Imekuwa kawaida kwa mama kupewa kipaumbele kuanzia ngazi ya familia mpaka jamii.

Kuna wakati taasisi fulani ilifanya tafiti ndogo ya kuwaambia wanaume waliokuwa wanafanya kazi umo kuwapigia baba zao simu na kuwaambia "Nakupenda", Lilikuwa zoezi gumu sana kwa wengi wao.

Leo tuzungumzie swala la zawadi. Mdau tuambie:

1. Ulishawahi kumpa Baba yako zawadi?
2. Unakumbuka ni lini?
3. Ilikuwa zawadi gani?

Ndio,Mara kibao tu.Hela za Bia,nguo,viatu,perfumes.Nilikuwa namuhusudu sana Baba yangu.
 
Mtani wangu mpare... hapo kwenye namba 6 hapo[emoji23][emoji23] marehemu babu yangu alikuwa anawekewa hela kila mwisho wa mwezi, bado kila mtoto anamtumia hela kwenye simu, na wajukuu pia. Babu alikua na mchepuko wake hakika ni chombo kama bibi... ule mchepuko ulikula sana bata kwa hela zetu[emoji119][emoji119] maini. Kuku, etc. Babu akipata hela ama dawa za presha anagawana na mchepuko. Ugomvi uliibuka mpaka kwa Paroko. Babu aliapa kamwe asilani hataacha kumuhudumia mjane[emoji23][emoji23][emoji23] yaan paroko mwenyewe aliblow mapigo. Basi paroko akasema huku ukoo wa mamngi ni tatizo akanawa. Siku nikaenda moshi nikamnunulia babu yangu kipenzi whisk. Alinikera sana kumpelekea mchepuko wake halaf akanikana dili tulilopanga. Yaan kifupi babu alija badilika akawa hana shukrani. Hata saa aliyonunuliwa na mwanaye ya gharamaaa akasema mbaya akaighawa. Toka agawe ile whisk sikuwahi mpa tena kitu na nikajifanya kupiga simu fake mbele yale nikimuagiza mtu aniwekee laki tano yangu kwenye namba niliyompigia kumrusha tu roho maana hana shukrani. Jicho lilimtokaaa ndo roho yangu ikapata amani. Unisamehe tu babu uliko nilikurusha roho ile siku... sijui kwann wababa wengine hawanaga shukrani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Hehehe eeh.. mbona ninepata wivu pia jamani... huwa wenzetu wanawapataga wapi jamani? Lakini naamini muda sahihi utafika na tutazipata tu. Nadhani its high time wazazi wawafunde vijana how to be gents. How they should treat their ladies. Mimi namkubali sana baba jamani. Na anavyotupenda watoto wa kike sasa[emoji23]
Anasemaga hayo ya kiume mapumbavu sana maana muda wote yanajifanya yako busy eti wakati yeye ndo kawafikisha hapo kwenye huo ubize. Wako busy na maisha eti... nataka weekend nikamuoshe miguu baba kwanza. Nimsuguee... nimfanyie massage na mama. Na kucha kama ndefu niwakate. Kwa upendo kabisa[emoji7] na mume wangu nutakua namfanyia ili na mimi nifaidike na hizi treatments jamani[emoji23][emoji23] wanangu waje kuniandika kwenye threads huku jf siku moja nikiwa hai ama mfu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Baba paroko ali blow mapigo ya babu mangi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Eeh. Anamtaka mchepuko wake. Ila babu alikua babylon jaman. Sema waliacha mpa hela nyingi. Bado alikua anakula penshen yake. Halaf alikua anapenda show off. Akienda buchani kwamfano anafungua wallet yake kukiwa na wamama wengi[emoji23] anachomoa hapo msimbazi wake analipa anaishia. Kwahiyo kama unataka asali fata nyuki. Hawa wazee ukiwapa hela nyingi ni tatizo.
 
Eeh. Anamtaka mchepuko wake. Ila babu alikua babylon jaman. Sema waliacha mpa hela nyingi. Bado alikua anakula penshen yake. Halaf alikua anapenda show off. Akienda buchani kwamfano anafungua wallet yake kukiwa na wamama wengi[emoji23] anachomoa hapo msimbazi wake analipa anaishia. Kwahiyo kama unataka asali fata nyuki. Hawa wazee ukiwapa hela nyingi ni tatizo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu babuuh yako alikua daddie sana kwa wanawake.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Zawadi nzuri kwa wazazi wako ni kuwajulia hali mara kwa mara, tenga muda wa kuwatembelea na PESA ,kisha PESA halafu unamalizia na PESA .

Hata kama utapeleka sijui sukari na nini ila PESA IWEPO.

N.b
Pesa unaigawa mara tatu yaani unampa mama mzee akiwa anaona na unampa mzee mama akiwa anaona halafu unamwita mzee mzungumze kisha unampatia nyengine ambayo hii ndo itakuwa yake sasa maana ile mama aliyoiona ni ya wote .
 
Ilikuwa ukimaliza tu kula usiku Kama hajapitia kilabuni siku hiyo uatasikia " hayaa kakojoeni mkalale".............. Hili limenilemaza Hadi Leo hata nikiwa napata moja Moto moja baridi au nimetoka na washkaji kidogo Mara nyingi nikijitahidi Sana mwisho saa tatu usiku......

Ila all in all , he was right in his own perspective na kumpa zawadi ni suala la msingi... Tatizo zawadi gani maana za wamama rahisi Sana.
Unampa ata saa mzee au Kama nimpenzi wa soka Kama mm mxhua wangu nilimpa zawadi ya jez ya simba japo m yanga ila nikakaza roo😄asee nilikuwa Niko form3 na huo ndi
o ulikuwa mwanzo wakuwa masela sio POA mpk leo dingiii ananikubali kiku**
 
Back
Top Bottom