Ulishawahi kumpenda mtu at the first sight? Tueleze ilikuwaje

Ulishawahi kumpenda mtu at the first sight? Tueleze ilikuwaje

Ilikua ni juzi crdb vijana
Kijana mrefu yupo dawati la kuandika karatas za deposit/withdraw sikumzingatia na mimi nikavuta kamba kuanza kuandika ile anatoa beg kufungua kushika mkononi kilichomo ndani ya begi ooooh ni dol mia mia za kutosha ndo kumgeukia dah kijana handsome yule nikafall in love pale pale
 
Nilifall in love kwa bint mmoja baadae tukaachana kila nikitizma picha zake najiuliza nilimpendea nini mpka naiunua mikono juu kushukuru kutengana na kile kiumbe
 
Ilikua ni juzi crdb vijana
Kijana mrefu yupo dawati la kuandika karatas za deposit/withdraw sikumzingatia na mimi nikavuta kamba kuanza kuandika ile anatoa beg kufungua kushika mkononi kilichomo ndani ya begi ooooh ni dol mia mia za kutosha ndo kumgeukia dah kijana handsome yule nikafall in love pale pale
Madam juzi kati niliona sehemu unasema mmeshibana vilivyo na shemeji yetu ndani ni urafiki na mahaba tele hadi nikawa inspired kwa kweli nifate nyendo zenu, au sjui nachanganya madesa 🤔 au we ndo umemix, umem like Mr madolare sio ku love 😂😂
 
Mie ilinitokea kwenye airport moja nasubiri kubadilisha ndege ghafla uso kwa uso,macho kwa macho, tabasamu kwa tabasamu ....alikuwa ni msichana wa kiburushi tukajikuta tunasogeleana alikuwa umbali wa kama mita 17 hivi....wakati zimebaki mita saba ghafla tangazo ndege yake iko tayari anapaswa kuingia mstarini.....duuh tukabaki tukiangaliana tu kwa tabasamu kwa kadiri alivyokuwa anazidi kupotea ndivyo alivyokuwa anazidi kuwa mwekundu na kutokwa na mchozi walahii...sijui yu wapi kwa sasa.
Muvi la kihindi *****
 
Ilinitokea kwa pisi moja ivi ilikuja mtaani kwa mamdogo wake, hatukuwahi kuwa na mahusiano ila ndio mara ya mwisho kuuza mechi, yule mtoto ni mlaini sijawai ona.
Kwa sasa ni singo mazeri ananitafutaga anadhani sijui kama ana mtoto.

Mwingine ni majuzi tu, macho yalikutana nikamkazia akashusha yake kwa aibu(ana macho mazuri haswa), anakuja kurudia kuniangalia akakuta mwamba bado nampimia akatabasam nikajisemea mkeka umetiki, nikamfuata nikamsifia kapendeza na ni mzuri akashukuru, tukajitambulisha nikaomba namba akaomba zangu, nikampa. Bado nangoja anicheki [emoji41]
Unangoja akucheki....wewe ni salary???
 
Madam juzi kati niliona sehemu unasema mmeshibana vilivyo na shemeji yetu ndani ni urafiki na mahaba tele hadi nikawa inspired kwa kweli nifate nyendo zenu, au sjui nachanganya madesa 🤔 au we ndo umemix, umem like Mr madolare sio ku love 😂😂
Hapa kijiweni tu tunachangamsha genge
Chezea usd rate ya 2690 lazima uzame in lov
 
Nilikuwa nafanya kazi super market flani hivi nikiwa kijana, alikuwa anakuja binti flani ana alama flani nyeusi chini ya jicho halafu ama macho mazuri Sana.Nilimpenda sana nahisi alijua maana alikuwa akifika kununua mikate nilikuwa namuangalia mda wote hadi anaondoka
 
Haijawahi tokea hio kwangu ila matananio at first sait ukiwa crub(crab) zile taa taa unaona kabisa hapa ndo penyewe hivi kwanini nisimuowe awe mahi wangu lakini kwa leo ngoja tukatest mitambo😀😃

Unamfata huku unajua kabisa kesho asubuhi yatakua ni majuto makuu kuna kombora la after makeup utapigwa nalo asubuhi ila saa hio akili ya upstairs haioperate inakua off kijana wa basement ndo anakua kaachiwa madaraka

Na kweli kabisa

Rrrrrrrraiiit oonnn taiiiiimmm kesho inakuwa horror at first sight bia zikiwa zimeisha kichwani
 
Back
Top Bottom