Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
๐๐๐ Msambwanda unao??Ndio mimi mdogo wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐ Msambwanda unao??Ndio mimi mdogo wake
Mwanaume anakuaje na hayo makitu we manzi๐๐๐ Msambwanda unao??
Tuko kundi mojaMimi ni kutamani tu kunanitesa
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Wewe si umesema mdogo wake na yule demu wa jamaaMwanaume anakuaje na hayo makitu we manzi
Domo zege la twiga cement[emoji23][emoji23][emoji23]mita 7 tu ukashindwa kuchukua hata namba?
"Gucci gang gucci gang gucci gang gucci gang gucci gucci gang, i fvckd a bxtch i forgot her name"Haijawahi tokea hio kwangu ila matananio at first sait ukiwa crub(crab) zile taa taa unaona kabisa hapa ndo penyewe hivi kwanini nisimuowe awe mahi wangu lakini kwa leo ngoja tukatest mitambo๐๐
Unamfata huku unajua kabisa kesho asubuhi yatakua ni majuto makuu kuna kombora la after makeup utapigwa nalo asubuhi ila saa hio akili ya upstairs haioperate inakua off kijana wa basement ndo anakua kaachiwa madaraka
Na kweli kabisa
Rrrrrrrraiiit oonnn taiiiiimmm kesho inakuwa horror at first sight bia zikiwa zimeisha kichwani
Nimempenda Mercy wa DeMostAdmired japo simjui na sijawah kumuona.WanaJF tiririkeni Love at the first sight [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Nifanyie mpango kwa mdogo wake basi ๐๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Wewe si umesema mdogo wake na yule demu wa jamaa
Bro say less"Gucci gang gucci gang gucci gang gucci gang gucci gucci gang, i fvckd a bxtch i forgot her name"
hyo comment yako imeendana na username yako mkuu ๐๐ ila lil pump ni wack rapper ๐๐๐
๐๐๐ Kudadadek madokta mpo wengiNimempenda Mercy wa DeMostAdmired japo simjui na sijawah kumuona.
nakaziaDomo zege la twiga cement[emoji23][emoji23][emoji23]
All in all naamin kapita wakati mgumu zaid kuliko wewe uliopitia labda awe alishakuchoka๐๐๐ Kudadadek madokta mpo wengi
Namm naamini hvo maana anajistukia sanaAll in all naamin kapita wakati mgumu zaid kuliko wewe uliopitia labda awe alishakuchoka
Salary kivipi mkuu?Unangoja akucheki....wewe ni salary???
๐ nichunge mbuzi auChunga sana baba paroko
Baada ya hapo nilituma sana nauli akaja Dar mara kibao hadi alipoolewa