I wish nimjue huyu aliyechezea bahati..Kuna mtu nilimpendaga humu jf. Jamani alinitesa sana..namuwaza 24/7. Aliniteka vibaya mno na nilikuwa tayari kwa lolote...ila akawa na moods za ajabu ajabu tukaachana ila nilimpenda for real.
Nasoma comments zake zote na avatar yake matata sana ni picha yake halisi.
.
.
Tuliachana bila kuonana. Utakaposoma hii comment jua kwamba ni kweli nilikupenda na mipango yote niliyowaza juu yako ilikuwa ya kweli.
Nimeshamove on, na Jana ndo nimefuta namba yako wakati napitia contacts kwenye phone book.
Ha haha hakuna uhakika wa bahati kwenye haya mambo unaweza zoa kimeoI wish nimjue huyu aliyechezea bahati..
Hapa kichakani umakini ni kitu muhimu sana..Hapo kwenye ID ya MALCOM LUMUMBA kutumiwa na watu wengi sikuwahi kulijua/kulifikiria hili..Uzuri ni kwamba sijawahi kuona ikitumika vibaya..Tuwe makini tu Mkuu Kaboom, binafsi hii ID hii imetumiwa na watu wengi kwa nyakati tofauti-tofauti ( MALCOM LUMUMBA) ni zaidi ya mtu mmoja hivyo siyo rahisi kukishawishi kikundi cha watu. Lakini ningekuwa mimi peke yangu huenda ningekuwa nishashawishika na ofa zinazotolewa. Tanzania is not a safe country anymore, but most people do not realise this: We live in a de-facto Mafia State full of malignant and evil people.
Hisia zangu zimeniambia ni bahati..Japo usemalo ni kweli..Mana hisia zangu zimeshawahi kuniangusha mara kadhaa..Btw ikawaje mkaishia hewani tu bila kuonana..Kikwazo kilikuwa nn??Ha haha hakuna uhakika wa bahati kwenye haya mambo unaweza zoa kimeo
Yupo nje ya nchi so hatukuweza kuonana kwa haraka, lkn mawasiliano yalikuwa mazuri tu.Hisia zangu zimeniambia ni bahati..Japo usemalo ni kweli..Mana hisia zangu zimeshawahi kuniangusha mara kadhaa..Btw ikawaje mkaishia hewani tu bila kuonana..Kikwazo kilikuwa nn??
😀😀sema tu kama hutaki kuwa my crush mkuuTeh teh..Katubu hii dhambi ya uongo..
Eti ya kusadikika..Kama mlipotezeana na kila mmoja akaona sawa basi halikuwa fungu lako hilo..Yupo nje ya nchi so hatukuweza kuonana kwa haraka, lkn mawasiliano yalikuwa mazuri tu.
Tulipotezeana maana kila mara tutagombana kwa mambo madogo madogo, nikaona loh hebu niachane na haya mambo ya kusadikika.
Ni kweli. Now naona afadhali hatukuendeleaEti ya kusadikika..Kama mlipotezeana na kila mmoja akaona sawa basi halikuwa fungu lako hilo..
Nilijuaga nilikuwa peke yangu😄😄😄[emoji3][emoji3][emoji3] sio wewe. Yaani baada ya kuachana (hatukuambiana tumeachana tulipotezeana tu). Nikawa namchungulia kila dakika, nafatilia comments zake...akiflirt na wadada naumiaaaa. Dah mapenzi ya kipuuzi ona. Am glad nilitoka huko...
Sasa si afadhali muwe mshawahi onana[emoji3], hlf wewe nimekumbuka hujawahi umizwa na mapenziNilijuaga nilikuwa peke yangu[emoji1][emoji1][emoji1]
Hisia za kimapenzi Goodmorning
Sanaaaa aiseh.KUWA MAKINI MDOGO WANGU!!!!
DUNIA IMEBADILIKA SANA,.......
Let me play it cool..Btw hivi hili uwa ni swala la mtu kutaka au kutotaka?😀😀sema tu kama hutaki kuwa my crush mkuu
Umenikumbusha mbali sana enzi hizo nilimpendaga member mmoja wa JF maarufu enzi hizo kwa jina la rubiiHabari za wakati huu wakuu
Wakuu hadi naandika hapa binafsi huwa natokewa na hali hii for instance, kupitia mitandao ya kijamii mfano, hapa jf kupitia mada au comment za mtu unaweza jikuta unampenda mtu usiemfahamu.
Mara kadhaa hali hii huwatokea watu na ushahidi anao kila aliewahi kutokewa na hali hii. Note: sio lazima umpende kimapenzi japo inatokea kuna wengine anapenda tu japo aone comments zako au kila anapoingia online lazima apitie profile kwako au timeline yako.
Mbaya zaidi sasa, watu wanaogopana sana humu ndani kiasi kwamba hata ukivutiwa nae au amevutiwa na wewe unapata/anapata shida anaanzanje/unaanzaje kumuaminisha kuwa wewe ni mtu mwema kwake na huna nia ovu.
Mkijitahidi sana mtachat PM akiona niaje niaje anakupiga block kimasihara. Offcoz nafahamu wapo wengi wenye mgongano wa aina hii ya kuvutiwa na baadhi ya watu hususani humu ndani watatoa ushuhuda hapa.
Ninae mpenda akisoma hii thread atajijuwa.
Au nasema uongo ndugu zangu?
madame tuendelee kuchat tu😄😄Sasa si afadhali muwe mshawahi onana[emoji3], hlf wewe nimekumbuka hujawahi umizwa na mapenzi
Vipi tusiokuwa na mlengwa wa siasa hatukosoi wala kusifia na hata issue za mapenzi hatupo watanishawishi kwa lipi.?Tatizo siyo kutumiwa ujumbe au kusumbuliwa PM, tatizo ni uharamia unaofanywa na watu waovu huku mitandaoni. Tunawindana kama wanyama, hasahasa pale unapokuwa mkosoaji mkubwa mwenye mawazo ya tofauti ua ushawishi dhidi ya chama tawala. Matapeli nao hawako nyuma, wameumiza watu wengi sana humu ndani. Usipokuwa makini utaumizwa vibaya,.........
Ilikuwa tuition..Hope kuna kitu umejifunza..Ni kweli. Now naona afadhali hatukuendelea
Mkongwe nashukuru kwa ushauri, ngoja niende nikatulie JF garage...Hizi ID zinaficha mengi sana......get prepared for "disappointments"!
Unaweza kuona ID kama ya kike na profile ya kuvutia... kumbe ni njemba!
Wengine wakongwe humu, tumeshapitia mengi!
Yeah...now sikumbuki na mapenzi ya mitandaoni.Ilikuwa tuition..Hope kuna kitu umejifunza..