Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

[emoji3] picha tamu inareflect uhalisia fulani. Nadhani mda sahihi wa kuambiwa hilo ndio huu umeshafika na umeujua ukweli.
Michango kwa 95% inaonesha we ni mtu wa aina gani(ndio inakuidentify). You are very charming and beautiful through comments, 99% ya yanayohusiana nawewe huwa unarespond vizuri. Kwa lugha rahisi wanasema upo sosho mama.

P ndio nani huyo? Isijekuwa umemaanisha Pisi kali [emoji16]
Euyeee...thanks for the compliment Chief😘😘.
Hapo kwenye beautiful😄😄basi sawa..
Ila miandiko yakiboya sana unaweza kukuta hilo lichakorii lenyewe sasa🤣🤣hukawii kudondoka mshtuko..

Haya maisha yenyewe yanatusumbuka wakati mwingine ukichukulia kila kitu siriazi unaweza kukata moto huku unatembea😄

Si yule uliyemtag kule Chief 😃
 
Dah nimekumbuka mbali kidogo.
Yule manzi aliyeyusha sana moyo wangu,kila kitu kilienda OK mpaka namba tukapeana huko PM

Tena kutaka kumuaminisha kuwa mie sio mtu mbaya nikamwambia njoo bank fulani dirisha namba fulani NDIO MIE then nisubiri pembeni tusepe wote tukayajenge!

Dah akaomba mpk nauli kidume nikatuma 50 achukue UBER

Dah mpk naandika leo hii hajawah kutokea but namuona online na ana chat daily

POA BAANA ila nakupenda sana
 
Euyeee...thanks for the compliment Chief[emoji8][emoji8].
Hapo kwenye beautiful[emoji1][emoji1]basi sawa..
Ila miandiko yakiboya sana unaweza kukuta hilo lichakorii lenyewe sasa[emoji1787][emoji1787]hukawii kudondoka mshtuko..

Haya maisha yenyewe yanatusumbuka wakati mwingine ukichukulia kila kitu siriazi unaweza kukata moto huku unatembea[emoji1]

Si yule uliyemtag kule Chief [emoji2]

Kwanza nini maana ya chakorii? Life is easy kwa baadhi ya mambo alafu usiniitie Chakorii wangu Lichakorii [emoji16]

Yule niliemtag kwenye huu huu uzi au kuna sehem nyingne ?
 
Hahahaha mkuu huu uzi unatamanisha nishushu mkasa wangu but nitarudi badee

Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka ya nyuma kidogo enzi hizo secondary school, ndo facebook imeanza basi, nishapataga friend request kutoka kwa mdada mmoja anaitwa Patricia,basi nami sikua na iyana nilikubali na kuanza kuchati mambo ya kawaida kuhusiana na maisha.

Jinsi siku zilivyokuwa zinasonga ukaribu ulizidi kuongezeka na ikabidi tufahamiane zaid, huyu mwenzangu alikua all the way from Congo democratic Republic, lakini alikua akiishi Bulawayo Zimbabwe mambo yalizidi kunoga hadi tukajikuta tayari tuko kwenye penzi zito na wakati hatujawahi kuonana zaidi ya kuchat na kutumiana picha.

Ilifikia kipindi tukaanza kuwasiliana kwa normal calls maana kwake ilikua sio shida coz alikua yuko vizuri economically ( kwa muonekano wa maisha aliokua akiishi) so mapenzi mubashara yaliendelea na kukolea na si unajua wanaume wa bongo kwa swagga, mtoto akanitambulisha mpaka kwa family member baadhi na ahadi kede kede,

Mapenzi mubashara yaliendelea hadi Patricia akaja bongo kujiendeleza kielimu hapo UDSM kwa influence kubwa kutoka kwangu,(mtoto all the way from Bulawayo to Dar es salaam). By that time nilimwambia sitoweza kumuona juu ya sababu za mbalimbali ikiwemo kubanwa na shule na tulikubaliana kwamba afunge safar aje to my home city Mwanza na alikubali, safar ilipangwa na kweli tulionana na sikuamini nilichokiona mkuu.

She was the priests woman to stand beside me kwa kipindi chote kwa wakati ule na alikua classic kinouma alikaa mwanza kwa siku tatu na baadae kurudi Dar.

Wakuu baada ya kuona kua Patricia ni zaidi ya nilivyofikiria na alinizidi kila kitu yaani kuanzia umri, uchumi, na hata elimu hapo ndipo mwanaume nikaona yule manzi si type yangu tena.

Kifupi nilimuogopa but sikumbwambia ukweli na tuliachana kimasihara na ahadi zote ziliyeyuka. But nlikuja kufaidi penzi la mdogo wake aliyekuwa akiitwa grolia tulikuwa same age na alikua kwenye the same proffesional field kama yangu na alikuja kujiendeleza pale UDSM

Kifupi wakuu haya mambo yapo na mara nyingi mapenzi ya namna hii huyayuka punde tu mnapoonana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah nimekumbuka mbali kidogo.
Yule manzi aliyeyusha sana moyo wangu,kila kitu kilienda OK mpaka namba tukapeana huko PM

Tena kutaka kumuaminisha kuwa mie sio mtu mbaya nikamwambia njoo bank fulani dirisha namba fulani NDIO MIE then nisubiri pembeni tusepe wote tukayajenge!

Dah akaomba mpk nauli kidume nikatuma 50 achukue UBER

Dah mpk naandika leo hii hajawah kutokea but namuona online na ana chat daily

POA BAANA ila nakupenda sana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee pole
 
mimi nilipendana na mwana jf mmoja....siku tulivyokutana physically tuliongea baada ya kuachana akaniblock....i know sikumvutia coz nina sura mbaya sana (Najijua) na wala simlaumu hata mimi ningekua yy lazima ningeblock......




Sio kupenda kwangu lakini[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
mimi nilipendana na mwana jf mmoja....siku tulivyokutana physically tuliongea baada ya kuachana akaniblock....i know sikumvutia coz nina sura mbaya sana (Najijua) na wala simlaumu hata mimi ningekua yy lazima ningeblock......




Sio kupenda kwangu lakini[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Hebu kausha masikitiko wewe.

God created you in His own image for free.

Sasa Mdada akufanye ujiskie worthless kweli?

Acha hizo.
 
Dah nimekumbuka mbali kidogo.
Yule manzi aliyeyusha sana moyo wangu,kila kitu kilienda OK mpaka namba tukapeana huko PM

Tena kutaka kumuaminisha kuwa mie sio mtu mbaya nikamwambia njoo bank fulani dirisha namba fulani NDIO MIE then nisubiri pembeni tusepe wote tukayajenge!

Dah akaomba mpk nauli kidume nikatuma 50 achukue UBER

Dah mpk naandika leo hii hajawah kutokea but namuona online na ana chat daily

POA BAANA ila nakupenda sana
Aisee...mbaya sana
 
Binafsi nimewasiliana na wanachama wengi humu ndani (ME + KE), lakini mbali na kuleteana masikhara na kudanganyana kule PM sijawahi kabisa kutaka kufahamiana na mtu humu ndani. Naamini kuna waliokuwa na nia njema na wako Genuine, lakini waovu, wauaji, watekaji, mamluki na matapeli wako wengi sana mitandaoni. Hivyo wale watu wema wanisamehe tu.........

Nashauri vijana, hata kama umependa na kuvutiwa na mwandiko wa mtu, fahamu kwamba huku kwenye mitandao kila mtu huonekana ni malaika japo uhalisia hauko hivyo. Nawafahamu watu ambao wameshaumizwa na kuvurugwa kisa haya mawasiliano ya humu JF, Twitter na Instagram. Binafsi nimewahi kutumiwa links za mitego na E-Mails nyingi huko PM.

Wengine wanaanzia mbali kwa kujenga urafiki mimi nawachora tu nasema Hiiiiiiiiiiiiiiiii. Huko PM nimepewa ofa kubwa za kufa mtu, wengine wanasema wananipenda sana (wanajaribu kunijaza Sweet-Nothing) , wengine wananiletea vitisho,wengine wanataka ushauri, wengine wananiletea umbeya na majungu, wengine wanakuja kunimwagia misifa. Sasa kama ukiwa na kichwa kibovu itakula kwako. There's No Free Lunch in the World: You Eat the Devil's Food, You Pay the Devil's Bill....

Ila kama umempenda mtu wewe jilipue at your own risk, lakini kaa ukikumbuka kwamba waliomo humu ndiyo haohao wa mtaani kwako. Tanzania ya leo imejaa watu waovu wengi mno, tumefika pabaya sana, kuwa makini (Be vigilant and don't have unrealistic expectations).....

Una nakosea ndugu Mgonga Like ???
Mkuu hii nimeielewa sana.
 
Jamani I'm grateful mkuu [emoji122] hivi kwanini ulioa mapema aisee(joke)[emoji849] i love you too rafiki!
Hahahahahaaa. Sijui nilikuwa nawahi nini!! Ningekuwa upande ule mwingine ningekuongeza tu ukawa mke mdogo[emoji1][emoji1].

Asante kwa upendoo, you keep on being here rafiki. Kuna watu ni baraka kuinteract nao and you are one of them.
 
Back
Top Bottom