Miaka ya nyuma kidogo enzi hizo secondary school, ndo facebook imeanza basi, nishapataga friend request kutoka kwa mdada mmoja anaitwa Patricia,basi nami sikua na iyana nilikubali na kuanza kuchati mambo ya kawaida kuhusiana na maisha.
Jinsi siku zilivyokuwa zinasonga ukaribu ulizidi kuongezeka na ikabidi tufahamiane zaid, huyu mwenzangu alikua all the way from Congo democratic Republic, lakini alikua akiishi Bulawayo Zimbabwe mambo yalizidi kunoga hadi tukajikuta tayari tuko kwenye penzi zito na wakati hatujawahi kuonana zaidi ya kuchat na kutumiana picha.
Ilifikia kipindi tukaanza kuwasiliana kwa normal calls maana kwake ilikua sio shida coz alikua yuko vizuri economically ( kwa muonekano wa maisha aliokua akiishi) so mapenzi mubashara yaliendelea na kukolea na si unajua wanaume wa bongo kwa swagga, mtoto akanitambulisha mpaka kwa family member baadhi na ahadi kede kede,
Mapenzi mubashara yaliendelea hadi Patricia akaja bongo kujiendeleza kielimu hapo UDSM kwa influence kubwa kutoka kwangu,(mtoto all the way from Bulawayo to Dar es salaam). By that time nilimwambia sitoweza kumuona juu ya sababu za mbalimbali ikiwemo kubanwa na shule na tulikubaliana kwamba afunge safar aje to my home city Mwanza na alikubali, safar ilipangwa na kweli tulionana na sikuamini nilichokiona mkuu.
She was the priests woman to stand beside me kwa kipindi chote kwa wakati ule na alikua classic kinouma alikaa mwanza kwa siku tatu na baadae kurudi Dar.
Wakuu baada ya kuona kua Patricia ni zaidi ya nilivyofikiria na alinizidi kila kitu yaani kuanzia umri, uchumi, na hata elimu hapo ndipo mwanaume nikaona yule manzi si type yangu tena.
Kifupi nilimuogopa but sikumbwambia ukweli na tuliachana kimasihara na ahadi zote ziliyeyuka. But nlikuja kufaidi penzi la mdogo wake aliyekuwa akiitwa grolia tulikuwa same age na alikua kwenye the same proffesional field kama yangu na alikuja kujiendeleza pale UDSM
Kifupi wakuu haya mambo yapo na mara nyingi mapenzi ya namna hii huyayuka punde tu mnapoonana.
Sent using
Jamii Forums mobile app