Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
😂😂 Kwasababu haijatumika muda mrefuAcha utani basi kwanini umefuta namba yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 Kwasababu haijatumika muda mrefuAcha utani basi kwanini umefuta namba yangu
Umemissika pia mama mchungaji. Tangu KLM atelekeze wafuasi wake, kukutana humu imekua ngumu sana. Naona kuna ndugu yetu hapo juu amekufa alafu akaoza hahaaa!
Polee na it happens sometimes si wajua siku hazifanani eeh, kesho itakua nzuri!Mbaya
Basi nakutumia tena, tupashe kiporo[emoji23][emoji23] Kwasababu haijatumika muda mrefu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kuna mtu nilimpendaga humu jf. Jamani alinitesa sana..namuwaza 24/7. Aliniteka vibaya mno na nilikuwa tayari kwa lolote...ila akawa na moods za ajabu ajabu tukaachana ila nilimpenda for real.
Nasoma comments zake zote na avatar yake matata sana ni picha yake halisi.
.
.
Tuliachana bila kuonana. Utakaposoma hii comment jua kwamba ni kweli nilikupenda na mipango yote niliyowaza juu yako ilikuwa ya kweli.
Nimeshamove on, na Jana ndo nimefuta namba yako wakati napitia contacts kwenye phone book.
Wewe si umesema Ni mwanaume.. mbona sura za wanaume tena "zinamatter" kwako?Jax ni nini?
Mmh hapana asee pamoja na mengine sura ina matter.....
Kwangu "mwanaume hasifiwi sura" ni msemo tu
sema mkuu mimi made man utanitapeli nini na utateka niniTuwe makini tu Mkuu Kaboom, binafsi hii ID hii imetumiwa na watu wengi kwa nyakati tofauti-tofauti ( MALCOM LUMUMBA) ni zaidi ya mtu mmoja hivyo siyo rahisi kukishawishi kikundi cha watu. Lakini ningekuwa mimi peke yangu huenda ningekuwa nishashawishika na ofa zinazotolewa. Tanzania is not a safe country anymore, but most people do not realise this: We live in a de-facto Mafia State full of malignant and evil people.
Mi najuaga Ni ke..anakuzingua tuKumbe ulimuona eee,,,, nilimuuliza akajibu yeye ni ME
Nimejicheki kwenye kioo vyote ninavyo ila tatizo hilo body sasaAna kila kitu kizuri am telling you..macho,lips, body, rangi nyeusi, sauti...uwiii nakojoaa
Wewe una roho ya kizungu sana yaani nyèupe pee ungekuwaga haujaolewa, ningekuomba kitu lakini ndiyo hivyo tenaHebu kausha masikitiko wewe.
God created you in His own image for free.
Sasa Mdada akufanye ujiskie worthless kweli?
Acha hizo.
Nahisi alikuwa na maana nyingine kabisa na wewe ulivomchukulia.Sister, hujasoma Uzi na wewe umtag anaekuvutia ? umeenda direct kwenye kutafasiri maana ya jina langu. Haya bhana.
😂😂😂😂😂Sio mimi huyo
Mkija kuonana ndo utaona umuhimu wake... Wengine wanapanga kuonana lakini mtu anajibanza sehemu aone kama yaliyomo yamo ndo atie timuNishawahi mpenda mtu simjui ata sura, tukadate na kuaachana bila hata kuonana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mapenzi upofu kwahiyo hamna umuhimu wa sura [emoji23]
Haki ya nani Niko hoi bin taaban kwa Mama Mchungaji, na akianza kushuka mistari ya biblia najisemea nimechelewa wapi mie griffin2. Ningekuwa najilia gombo la chuo nyumbani tu.Umemissika pia mama mchungaji. Tangu KLM atelekeze wafuasi wake, kukutana humu imekua ngumu sana. Naona kuna ndugu yetu hapo juu amekufa alafu akaoza hahaaa!
Kumpenda usiyemjua ni aina fulani ya uchizi wanangu.Habari za wakati huu wakuu.
Wakuu hadi naandika hapa binafsi huwa natokewa na hali hii for instance, kupitia mitandao ya kijamii mfano, hapa JF kupitia mada au comment za mtu unaweza jikuta unampenda mtu usiemfahamu.
Mara kadhaa hali hii huwatokea watu na ushahidi anao kila aliewahi kutokewa na hali hii. Note: sio lazima umpende kimapenzi japo inatokea kuna wengine anapenda tu japo aone comments zako au kila anapoingia online lazima apitie profile kwako au timeline yako.
Mbaya zaidi sasa, watu wanaogopana sana humu ndani kiasi kwamba hata ukivutiwa nae au amevutiwa na wewe unapata/anapata shida anaanzanje/unaanzaje kumuaminisha kuwa wewe ni mtu mwema kwake na huna nia ovu.
Mkijitahidi sana mtachat PM akiona niaje niaje anakupiga block kimasihara. Offcoz nafahamu wapo wengi wenye mgongano wa aina hii ya kuvutiwa na baadhi ya watu hususani humu ndani watatoa ushuhuda hapa.
Ninae mpenda akisoma hii thread atajijuwa. Na naomba usione soo mama njoo PM niambie nitakupokea kwa mikono miwili. Huwezi juwa huwenda mimi ndo fungu lako!
Au nasema uongo ndugu zangu?