Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

Mbona humu hamna noma kabisa unaopoa tu. Kikubwa uwe mstaarabu na mwenye kujiheshimu. Sio unapewa ndo unaanza matangazo.. kuanzisha uzi kuhadithia. Jifunze kula na kufuta mdomo. Nyamaza. Muheshimu anaekupa. Uwe na koromeo la kutunza siri..no matter what hutosema wala kuhadithia mtu. Hizo ndo codes mwanaume unatakiwa uishi nazo, humu JF na mtaani kwa ujumla. Be a MAN.
 
Kuna mtu nilimpendaga humu jf. Jamani alinitesa sana..namuwaza 24/7. Aliniteka vibaya mno na nilikuwa tayari kwa lolote...ila akawa na moods za ajabu ajabu tukaachana ila nilimpenda for real.
Nasoma comments zake zote na avatar yake matata sana ni picha yake halisi.
.
.
Tuliachana bila kuonana. Utakaposoma hii comment jua kwamba ni kweli nilikupenda na mipango yote niliyowaza juu yako ilikuwa ya kweli.
Nimeshamove on, na Jana ndo nimefuta namba yako wakati napitia contacts kwenye phone book.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Tuwe makini tu Mkuu Kaboom, binafsi hii ID hii imetumiwa na watu wengi kwa nyakati tofauti-tofauti ( MALCOM LUMUMBA) ni zaidi ya mtu mmoja hivyo siyo rahisi kukishawishi kikundi cha watu. Lakini ningekuwa mimi peke yangu huenda ningekuwa nishashawishika na ofa zinazotolewa. Tanzania is not a safe country anymore, but most people do not realise this: We live in a de-facto Mafia State full of malignant and evil people.
sema mkuu mimi made man utanitapeli nini na utateka nini
hongera
 
Sister, hujasoma Uzi na wewe umtag anaekuvutia ? umeenda direct kwenye kutafasiri maana ya jina langu. Haya bhana.
Nahisi alikuwa na maana nyingine kabisa na wewe ulivomchukulia.

Uenda birthday yake ni April 26 so amekuuliza kujuwa kama na wewe ni birthdaynate wake.


Ukute ungejibu ndio , tarehee 26 ,tena keshokutwa tu hapa cake mgeikata pamoja[emoji39][emoji28].


Nawaza tu
 
Nishawahi mpenda mtu simjui ata sura, tukadate na kuaachana bila hata kuonana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mapenzi upofu kwahiyo hamna umuhimu wa sura [emoji23]
Mkija kuonana ndo utaona umuhimu wake... Wengine wanapanga kuonana lakini mtu anajibanza sehemu aone kama yaliyomo yamo ndo atie timu
 
Umemissika pia mama mchungaji. Tangu KLM atelekeze wafuasi wake, kukutana humu imekua ngumu sana. Naona kuna ndugu yetu hapo juu amekufa alafu akaoza hahaaa!
Haki ya nani Niko hoi bin taaban kwa Mama Mchungaji, na akianza kushuka mistari ya biblia najisemea nimechelewa wapi mie griffin2. Ningekuwa najilia gombo la chuo nyumbani tu.
 
Habari za wakati huu wakuu.

Wakuu hadi naandika hapa binafsi huwa natokewa na hali hii for instance, kupitia mitandao ya kijamii mfano, hapa JF kupitia mada au comment za mtu unaweza jikuta unampenda mtu usiemfahamu.

Mara kadhaa hali hii huwatokea watu na ushahidi anao kila aliewahi kutokewa na hali hii. Note: sio lazima umpende kimapenzi japo inatokea kuna wengine anapenda tu japo aone comments zako au kila anapoingia online lazima apitie profile kwako au timeline yako.

Mbaya zaidi sasa, watu wanaogopana sana humu ndani kiasi kwamba hata ukivutiwa nae au amevutiwa na wewe unapata/anapata shida anaanzanje/unaanzaje kumuaminisha kuwa wewe ni mtu mwema kwake na huna nia ovu.

Mkijitahidi sana mtachat PM akiona niaje niaje anakupiga block kimasihara. Offcoz nafahamu wapo wengi wenye mgongano wa aina hii ya kuvutiwa na baadhi ya watu hususani humu ndani watatoa ushuhuda hapa.

Ninae mpenda akisoma hii thread atajijuwa. Na naomba usione soo mama njoo PM niambie nitakupokea kwa mikono miwili. Huwezi juwa huwenda mimi ndo fungu lako!

Au nasema uongo ndugu zangu?
Kumpenda usiyemjua ni aina fulani ya uchizi wanangu.
 
Back
Top Bottom