Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

Itakuwa unaowengi loh[emoji2957][emoji2957]
Tobaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Najiuliza ni yupi huyo ila sipati majibu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani Kama nishawahi bebishana naye jukwaani ajue siyo yeye.
Sijawahi mtaja popote aisee..labda aje ajiseme hapa,nampa ruhusa kabisa.
 
😁😁kwahiyo mtakatifu unataka kusema kuwa hata Jack wala Liza...hawahusiki sio..hata na yule crush mpya wa kule kilingeni pia hahusiki 😄😃😃so sad kwakweli 🤣🤣🤣
 
Halafu sikukupa like sasa kwa mhusika.

My neighbor where are you njiwa 🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️
Umemficha Mpaka nimemjua nimemjua 😂😂😂
😁😁kwahiyo mtakatifu unataka kusema kuwa hata Jack wala Liza...hawahusiki sio..hata na yule crush mpya wa kule kilingeni pia hahusiki 😄😃😃so sad kwakweli 🤣🤣🤣
 
[emoji16][emoji16]kwahiyo mtakatifu unataka kusema kuwa hata Jack wala Liza...hawahusiki sio..hata na yule crush mpya wa kule kilingeni pia hahusiki [emoji1][emoji2][emoji2]so sad kwakweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lizarazu bloangu.
Yule crush mpya si umeona wala hajanitaja[emoji23]
Jack mchumba wangu nisije haribu mwishowe nikamkosa hivihivi.




Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Acha basi kukuangusha taifa mtakatifu...kaza we nae loh..

Yani umuachie mtu muchumba wako wa miaka mingi[emoji2][emoji2]acha hizo funga kibwebwe hukooo..

Basi nilijua huyo huyo Liza...Ehee huyo huyo[emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Natamani nimlete crush wangu ashuhudie jinsi nilivyojitosa .

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Jamani Malcom mi nakupenda mwenzio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…