Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Tobaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Itakuwa unaowengi loh[emoji2957][emoji2957]
A wapi nishapatia.Mtakatifu pale hukupatia I tell you
Mbona sijaona mtu akinitaja hapa karibuni..A wapi nishapatia.
Tena naona na yeye amekutaja hapo juu[emoji16]
😁😁kwahiyo mtakatifu unataka kusema kuwa hata Jack wala Liza...hawahusiki sio..hata na yule crush mpya wa kule kilingeni pia hahusiki 😄😃😃so sad kwakweli 🤣🤣🤣Tobaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Najiuliza ni yupi huyo ila sipati majibu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani Kama nishawahi bebishana naye jukwaani ajue siyo yeye.
Sijawahi mtaja popote aisee..labda aje ajiseme hapa,nampa ruhusa kabisa.
Umemficha Mpaka nimemjua nimemjua 😂😂😂Halafu sikukupa like sasa kwa mhusika.
My neighbor where are you njiwa 🧚♀️🧚♀️🧚♀️
😁😁kwahiyo mtakatifu unataka kusema kuwa hata Jack wala Liza...hawahusiki sio..hata na yule crush mpya wa kule kilingeni pia hahusiki 😄😃😃so sad kwakweli 🤣🤣🤣
We Yule mchumba wa mtu humu shauri yako.😃😃😃😃😃mitaa ya kati huko mpendwa
Kwahiyo kumbe hatuchekani ee.
Ila tuache masihara,kumtaja mtu aliyeutikisa moyo kama vile visima vya fukushima ni kazi ee
Hee!hujaona?Mbona sijaona mtu akinitaja hapa karibuni..
Au labda unawasemea wale wa mwanzo mwa uzi.[emoji1][emoji1]Hebu niite kwenye hiyo comment mtakatifu wangu
Yupi sasa uliyemjua,wa Chakorii au mtakatifuUmemficha Mpaka nimemjua nimemjua 😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]kwahiyo mtakatifu unataka kusema kuwa hata Jack wala Liza...hawahusiki sio..hata na yule crush mpya wa kule kilingeni pia hahusiki [emoji1][emoji2][emoji2]so sad kwakweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yupi sasa...jirani ama ni yupi.maana mimi namzungumzia JiraniWe Yule mchumba wa mtu humu shauri yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eli79.wozah[emoji3344][emoji3344]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha basi kukuangusha taifa mtakatifu...kaza we nae loh..
Yani umuachie mtu muchumba wako wa miaka mingi[emoji2][emoji2]acha hizo funga kibwebwe hukooo..
Basi nilijua huyo huyo Liza...Ehee huyo huyo[emoji2][emoji2]
ChakoriiiYupi sasa uliyemjua,wa Chakorii au mtakatifu
Hivi bado tu hujamtaja mpendwa?Mtaje chapu kwa haraka.
Huyo ni kaka wa damu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Madai yake eti Liza ni kaka
Kama hauniiti kwenye hiyo comment basi mi kichwa kitaanza kuniuma buree.comments za leo ni nyingi mno.fanya msaada tu
Mleteee...(in Joti’s voice)Huyo ni kaka wa damu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja nifanye kumleta crush wangu,maana anajijua aisee[emoji1787]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mleta kwakweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Natamani nimlete crush wangu ashuhudie jinsi nilivyojitosa .
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Jamani Malcom mi nakupenda mwenzioBinafsi nimewasiliana na wanachama wengi humu ndani (ME + KE), lakini mbali na kuleteana masikhara na kudanganyana kule PM sijawahi kabisa kutaka kufahamiana na mtu humu ndani. Naamini kuna waliokuwa na nia njema na wako Genuine, lakini waovu, wauaji, watekaji, mamluki na matapeli wako wengi sana mitandaoni. Hivyo wale watu wema wanisamehe tu.........
Nashauri vijana, hata kama umependa na kuvutiwa na mwandiko wa mtu, fahamu kwamba huku kwenye mitandao kila mtu huonekana ni malaika japo uhalisia hauko hivyo. Nawafahamu watu ambao wameshaumizwa na kuvurugwa kisa haya mawasiliano ya humu JF, Twitter na Instagram. Binafsi nimewahi kutumiwa links za mitego na E-Mails nyingi huko PM.
Wengine wanaanzia mbali kwa kujenga urafiki mimi nawachora tu nasema Hiiiiiiiiiiiiiiiii. Huko PM nimepewa ofa kubwa za kufa mtu, wengine wanasema wananipenda sana (wanajaribu kunijaza Sweet-Nothing) , wengine wananiletea vitisho,wengine wanataka ushauri, wengine wananiletea umbeya na majungu, wengine wanakuja kunimwagia misifa. Sasa kama ukiwa na kichwa kibovu itakula kwako. There's No Free Lunch in the World: You Eat the Devil's Food, You Pay the Devil's Bill....
Ila kama umempenda mtu wewe jilipue at your own risk, lakini kaa ukikumbuka kwamba waliomo humu ndiyo haohao wa mtaani kwako. Tanzania ya leo imejaa watu waovu wengi mno, tumefika pabaya sana, kuwa makini (Be vigilant and don't have unrealistic expectations).....
Una nakosea ndugu Mgonga Like ???
Woooooiiiiii...huwezi mjua haloo..nakuruhusu umtaje japo kwa kifupi😁😁Chakoriii