financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Sema baba nafsi yako ipone!huwezi jua huenda naye anasubiri useme😜Acha tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema baba nafsi yako ipone!huwezi jua huenda naye anasubiri useme😜Acha tu
Sky EclatUlishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niliongeaga na mtu kwa simu ile sauti khaaaa nikahisi yani mtu mtu kweli, mwili mwili, fua fua baba....nlichokuja kukiona daaah ile sura hapana asee
Anakuonea aibu hebu nenda pm yake uongee nae hahaaaaaaSiku zote unakaa kimya, wakati unajua pakunipata...
Sikufahamu kwa sura lakini nakupenda sana.Why me
So do I with you.Sikufahamu kwa sura lakini nakupenda sana.
Thanks. Ndio maana ikitokea umeandika comment ambayo sijaipenda huwa sipendi kukujibu naogopa kuikwaza nafsi yako. Ninasoma tu alafu ninaondoka.So do I with you.
Mkuu ninaomba kuingizwa kwenye shortlist.Kuna watu nawapenda humu dah!karibia I'd zote tu🤔
Atakuwa hakutendei haki. Au wewe humtendei haki. Au pengine hamtendeani haki.Mimi crush wangu anajijua
Ngoja nimwite aje atoe ushuhuda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mweee ni nani huyo jamani aliyeipoteza hito bahati?mtaje tumseme hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Atakuwa hakutendei haki. Au wewe humtendei haki. Au pengine hamtendeani haki.
Mtaje!
Pengine anaona haya! Pengine mwanaume kwa mwanaume anaweza akaelewa akajitokeza.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji7]
Itakuwa hatutendeani haki kweli.
Ilibidi ajitokeze mapema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wow![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji7]
Itakuwa hatutendeani haki kweli.
Ilibidi ajitokeze mapema.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂😂Pengine anaona haya! Pengine mwanaume kwa mwanaume anaweza akaelewa akajitokeza.
Kama hautojali nikusaidie kumuita?
(Bila shaka sitokuwa nje ya fikra zako, ni yule jamaa jina lake linaanza na herufi ---!)😂 😂 🤣...ana muonekano wa ki-Irish au Scotland hivi?
Hahah!Wow!
Nilipita kwa haraka! "Ilibidi ajitokeze mapema" kumbe alishajitokeza?!
Kweli mambo mazuri hayahitaji haraka! Kauli(nia) ni nauli, safari(uthubutu)ni vitendo! Unaona? Huwezi jua njiani kulikuwa na nini! Amekawia lakini amefika!
Ni suala la muda tu na imani kwa kujua ni kipi unachokihitaji! Ni kama jina lako tu Mtakatifu.
Kipi kingine ninachoweza kuandika zaidi, sidhani! Ni dunia yenye maajabu iliyoje?
Nipo katikati ya nimtaje au nisimtaje! Ni mtaa wa ajabu ni mtaa usiyo na jina.😂😂😂😂😂😂😂
Hebu mtaje,nitakuambia kama umepatia ama umekosea.
Halafu sijaona ukimtaja crush wako☺️,mtaje basi nimshuhudie huyo dada mwenye bahati yake hapa duniani.
Hebu mtaje basi nimpongeze.Nipo katikati ya nimtaje au nisimtaje! Ni mtaa wa ajabu ni mtaa usiyo na jina.
Ni kama upepo huwezi kuuona ila unauhisi. Atakayehisi juu yangu hajakosea! Nami ndivyo ninavyohisi juu yake.
Yeah I guess through creativity of the mind, we create our own people through their comments, their own description of themselves and Lord knows what else.
Ila sasa wanafeligi wanapoji mwambafy afu ukakuta the opposite is true.
Basi tu aisee...You are catching feelings? Lol