Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha mimi naombaga zote tu hata zile za milion 300 looh msikatishe watu tamaa huku jamanInategemeana na gari unayoomba lift ,kuna gari unaomba lift kutokana na wewe ulivyo umbika. Nadhani ndo maana ake.
Umesema vizuri lakini kubaliana kuwa kuna watu wanajishtukia wakiona vitu vya hadhi wanavyodhani sio kiwango chao huwa sana hofu!!hahahahaha mimi naombaga zote tu hata zile za milion 300 looh msikatishe watu tamaa huku jaman
lift inaombwa tu jaman kwa gari lolote...ila JF ibarikiwe milele maana huwezi pita bila kufurahi kidogo
Yap wapo ila mimi ni wa tofauti kidogo, najiamin na najikubali tu jinsi nilivyoUmesema vizuri lakini kubaliana kuwa kuna watu wanajishtukia wakiona vitu vya hadhi wanavyodhani sio kiwango chao huwa sana hofu!!
Kabisa, shida inakuja unajikubali na ukiomba unapewa ila mwisho wa siku unaomba gari ya 300ml kama ulivosema halafu ukanyimwa na ulizoea kupewa daily na hizi za 12ml unarudia tena MKUU?? Si utaona zile sio size yako !!yap wapo ila mimi ni wa tofauti kidogo, najiamin na najikubali tu jinsi nilivyo
sitaki kujiona kuwa Mungu alikosea,, najua fika alimaliza kazi yake na machoni mwake akaona ilimpendeza
you said well mkuu wapo hawa watu
Halafu ukiona unaanza kunyimwa ujue ndo milango yako ya kununua yako inakaribia.Kabisa, shida inakuja unajikubali na ukiomba unapewa ila mwisho wa siku unaomba gari ya 300ml kama ulivosema halafu ukanyimwa na ulizoea kupewa daily na hizi za 12ml unarudia tena MKUU?? Si utaona zile sio size yako !!
NB: inategemeana na mwenye gari ila sio gari, maana gari haikatai mtu ila mwenye gari anaweza kumkataa mtu apande gari yake sometimes hata akiwa mzazi wake!
Muwe na amani wadada wote ombeni lift bila kukata tamaa hata mnyimwe Mara 100, jokes lakini.
Uchebe ni ndevu flan zinazoachwa hapa kwenye kidevu kwa mbele. Na Sio kama zile la wale jamaa wa al-Qaeda, hapana!! zenyewe huwa zinatunzwa kimkakati.Mkuu uchebe ni nini kwani? Tupe part 2 yake basi
Ok sasa wewe mkuu na hivo vindevu vyako ulianzaje kumgusisha mdada wa watu jamani, ulimuonaje yani kwamba anagusika ama? Maana unaweza pigwa vipepsi bure😬Uchebe ni ndevu flan zinazoachwa hapa kwenye kidevu kwa mbele. Na Sio kama zile la wale jamaa wa al-Qaeda, hapana!! zenyewe huwa zinatunzwa kimkakati.
Mkuu Part 2 yake ni majanga marefu ila nilikuja kumtafuna kivingine kabisa. Yani nilianza upyaaaaa.
Hapo kwenye nilianzaje ndio iko very practical, nauhakika hata kama ni wewe lazima ungekaa tuu [emoji3][emoji3]. Sometimez shetani huwa anatupaga support kwenye maswala ya dhambi.Ok sasa wewe mkuu na hivo vindevu vyako ulianzaje kumgusisha mdada wa watu jamani, ulimuonaje yani kwamba anagusika ama? Maana unaweza pigwa vipepsi bure[emoji51]
Mm kuna kademu nakapenda humu jf....
kana avatar flan hv kameegesha kijambio chake...alafu nahisi lile tako lake ni pic og kabisa!
Ila kenyewe kanajifanya hakanielewi elewi!!
kananionaga mm ni second citizen!!?
ngoja nikakasake nikalete hapa
Uchebe ni ndevu flan zinazoachwa hapa kwenye kidevu kwa mbele. Na Sio kama zile la wale jamaa wa al-Qaeda, hapana!! zenyewe huwa zinatunzwa kimkakati.
Mkuu Part 2 yake ni majanga marefu ila nilikuja kumtafuna kivingine kabisa. Yani nilianza upyaaaaa.
Shauri yako siku utapigwa hutoamini!😀😀😂Hapo kwenye nilianzaje ndio iko very practical, nauhakika hata kama ni wewe lazima ungekaa tuu [emoji3][emoji3]. Sometimez shetani huwa anatupaga support kwenye maswala ya dhambi.
Wahuni sio watu asee, yaani mpaka meshabatiza ndevu kwa jina la uchebe kisa nae alikua na zile ndevu za mbele[emoji16][emoji16]Uchebe ni ndevu flan zinazoachwa hapa kwenye kidevu kwa mbele. Na Sio kama zile la wale jamaa wa al-Qaeda, hapana!! zenyewe huwa zinatunzwa kimkakati.
Mkuu Part 2 yake ni majanga marefu ila nilikuja kumtafuna kivingine kabisa. Yani nilianza upyaaaaa.
Pole sana mkuu, huyo basi ni kauzu by nature kama mpaka kwenye whatsapp amekulia ubaoWewe mdada nimekufata hadi WhatsApp ukanikaushia ngoja niseme labda siku zangu za kuishi zimekaribia nisije kufa na la moyoni teh teh teh..........!!
😀Mi nikiona makalio makubwa hapohapo na fall madly in love like road side Romeo
Sura sijali