Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
😂😂😂Yule mtani wangu aiseee kumbe mmeunga doti paleHata mimi namjua[emoji23]
Niliona umemwita kwenye uzi fulani kwamba aje kuangalia unavyotiririka.
Ukamwambia huwezi kufa na tai shingoni..
Akakuuliza ni uzi gani?ukapotezea haukumjibu.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app