Ulishawahi kumpoteza mwenza kwa sababu ya utofauti wa kidini?

Ulishawahi kumpoteza mwenza kwa sababu ya utofauti wa kidini?

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Kuna muda unaanzisha mahusiano na mtu unaamini huyu ni wa ndoto kabisa ila linapokuja swala la dini unaishiwa nguvu kabisa.

Nilikutana na mtu mmoja alisema yeye hawezi kuolewa na mtu wa dini tofauti kwa sababu familia yake haitomruhusu na isitoshe baba yake amefariki hivyo hawezi kusaliti kiapo walichowekeana.

Nadhani ingefika mahali sasa hili jambo kwa wanafamilia litazamwe upya mana linaweza kupelekea mtu kumkosa mtu ambaye alimuona sahihikwa upande wake kisa dini.
 
Mimi nipo kwenye Hiko kipindi.
Nipo na msichana kwanza yuko third year chuo nimemkuta bikra.

Ana akili kubwa sana Yani ana uwezo mkubwa wa fast problem skills ana time management

Mzuri sana kila mtu haamini kama Nina mmiliki.

Wazazi wake sio haba wanajitegemea nikimuoa siwezi kuoa familia nzima

Hana marafiki wengi
Muelewa
Supporter sana financially

Yani ana kila sifa ya kuwa mke ila tatizo ni dini.

Yeye mkristo KKKT
Mimi muislamu.

Naona kabisa nampoteza ila sijui nifanyje
 
Mimi nipo kwenye Hiko kipindi.
Nipo na msichana kwanza yuko third year chuo nimemkuta bikra.

Ana akili kubwa sana Yani ana uwezo mkubwa wa fast problem skills ana time management

Mzuri sana kila mtu haamini kama Nina mmiliki.

Wazazi wake sio haba wanajitegemea nikimuoa siwezi kuoa familia nzima

Hana marafiki wengi
Muelewa
Supporter sana financially

Yani ana kila sifa ya kuwa mke ila tatizo ni dini.

Yeye mkristo KKKT
Mimi muislamu.

Naona kabisa nampoteza ila sijui nifanyje
Kwa hiyo sini yako ama yake ni nini?,kila mtu ashike 50 zake,kafungeni ndoa kwa dc over,muhangaike na dini ni baba zenyu?
 
Kuna muda unaanzisha mahusiano na mtu unaamini huyu ni wa ndoto kabisa ila linapokuja swala la dini unaishiwa nguvu kabisa.

Nilikutana na mtu mmoja alisema yeye hawezi kuolewa na mtu wa dini tofauti kwa sababu familia yake haitomruhusu na isitoshe baba yake amefariki hivyo hawezi kusaliti kiapo walichowekeana.

Nadhani ingefika mahali sasa hili jambo kwa wanafamilia litazamwe upya mana linaweza kupelekea mtu kumkosa mtu ambaye alimuona sahihikwa upande wake kisa dini.
Dini tofauti za wazazi zinachanganya watoto unless kama baba/mama ni "mzungu wa roho" atawaacha watoto wote waende kwa mama/baba yao kisha yeye anakomaa tu na dini yake au haendi kanisani mazima kama mimi..
 
Mimi nipo kwenye Hiko kipindi.
Nipo na msichana kwanza yuko third year chuo nimemkuta bikra.

Ana akili kubwa sana Yani ana uwezo mkubwa wa fast problem skills ana time management

Mzuri sana kila mtu haamini kama Nina mmiliki.

Wazazi wake sio haba wanajitegemea nikimuoa siwezi kuoa familia nzima

Hana marafiki wengi
Muelewa
Supporter sana financially

Yani ana kila sifa ya kuwa mke ila tatizo ni dini.

Yeye mkristo KKKT
Mimi muislamu.

Naona kabisa nampoteza ila sijui nifanyje
We muache huyo, nenda katafute muislam mwenzio ambae hana kigezo chochote kati ya hivyo, wala humpendi ila MUOE kwasababu ni muislam mwenzio.

Halafu wakati unanyooshwa na maisha ya ndoa, urudi hapa kuja kulia lia.
 
Hiyo ni ishara tosha huyo siyo mtu sahihi. Wewe hapo unajilazimisha na kujiaminisha angekuwa mtu sahihi.


Kama ni mtu sahihi hakuna kikwazo kitakachowatenganisha, kama Dini ni shida Mmoja wenu angebadiri. Hapo hakuna Mmoja wenu anaweza mpigania mwenzake. Ni swala tu la aina ya changamoto anamtosa mwenzake baharini.

This real test of your appreciation to each other. Otherwise I salute both of you for using your brain rather than your hearts.

By Mkataa Ndoa aliye ndoani mpka kifo kitutenganishe.
 
Back
Top Bottom