Ulishawahi kumpoteza mwenza kwa sababu ya utofauti wa kidini?

Ulishawahi kumpoteza mwenza kwa sababu ya utofauti wa kidini?

My Wii wew unaweza kuwa royal Kuna wazazi wakatili balaa 😀 unaweza tamni Hama ukoo
Hao wazazi wangu ukatili wao wapeleke huko wasinizoee.!! Wao wakati wananyapiana niliwaingilia?? Kwanza nishawaambia mimi sina dini, nimuache mtu anayenikuna vizuri niwaendekeze wao waliomaliza mwendo THUBUTUUU 😹😹🤣🤣🤣
 
Hao wazazi wangu ukatili wao wapeleke huko wasinizoee.!! Wao wakati wananyapiana niliwaingilia?? Kwanza nishawaambia mimi sina dini, nimuache mtu anayenikuna vizuri niwaendekeze wao waliomaliza mwendo THUBUTUUU 😹😹🤣🤣🤣
Wewe una uthubutu sisi wengine ni WA kupangiwa Tena mm na uzee huu et wananipangia jmn tena sio mara moja natamni nihame ukoo huo wa kwenu umejaa?😃
 
Wewe una uthubutu sisi wengine ni WA kupangiwa Tena mm na uzee huu et wananipangia jmn tena sio mara moja natamni nihame ukoo huo wa kwenu umejaa?😃
Mimi ningepata wazazi jau ningebeba mimba halafu tuone watasemaje 😹

Hao unawachekea dini zililetwa na wazungu na waarabu hata sizizingatii..!!
Njoo wifi ingia kwa cazee akupige kitumbo tulete posa 😹😹🤣
 
Mimi ningepata wazazi jau ningebeba mimba halafu tuone watasemaje 😹

Hao unawachekea dini zililetwa na wazungu na waarabu hata sizizingatii..!!
Njoo wifi ingia kwa cazee akupige kitumbo tulete posa 😹😹🤣
😃😃😃Una mbinu wii
 
Mimi nipo kwenye Hiko kipindi.
Nipo na msichana kwanza yuko third year chuo nimemkuta bikra.

Ana akili kubwa sana Yani ana uwezo mkubwa wa fast problem skills ana time management

Mzuri sana kila mtu haamini kama Nina mmiliki.

Wazazi wake sio haba wanajitegemea nikimuoa siwezi kuoa familia nzima

Hana marafiki wengi
Muelewa
Supporter sana financially

Yani ana kila sifa ya kuwa mke ila tatizo ni dini.

Yeye mkristo KKKT
Mimi muislamu.

Naona kabisa nampoteza ila sijui nifanyje
Piga chini
 
Kwa mwanamke kumpoteza mwanaume kisa dini ni ujinga wa kiwango cha lami.

Yani dini uliyozaliwa ukaikuta na mpaka leo inaonekana hili dude lililetwa kutoka huko bado watu wanashinikizwa kuacha mapenzi kisa dini?

Hasa kwa Afrika yani dini inchukuliwa kama ndio Mungu mwenyewe. Tutaendelea kuwa maskini wa fikra na mali kisa dini.
 
Mimi nipo kwenye Hiko kipindi.
Nipo na msichana kwanza yuko third year chuo nimemkuta bikra.

Ana akili kubwa sana Yani ana uwezo mkubwa wa fast problem skills ana time management

Mzuri sana kila mtu haamini kama Nina mmiliki.

Wazazi wake sio haba wanajitegemea nikimuoa siwezi kuoa familia nzima

Hana marafiki wengi
Muelewa
Supporter sana financially

Yani ana kila sifa ya kuwa mke ila tatizo ni dini.

Yeye mkristo KKKT
Mimi muislamu.

Naona kabisa nampoteza ila sijui nifanyje
Huyu nipe Mimi mkuu
 
Mimi nipo kwenye Hiko kipindi.
Nipo na msichana kwanza yuko third year chuo nimemkuta bikra.

Ana akili kubwa sana Yani ana uwezo mkubwa wa fast problem skills ana time management

Mzuri sana kila mtu haamini kama Nina mmiliki.

Wazazi wake sio haba wanajitegemea nikimuoa siwezi kuoa familia nzima

Hana marafiki wengi
Muelewa
Supporter sana financially

Yani ana kila sifa ya kuwa mke ila tatizo ni dini.

Yeye mkristo KKKT
Mimi muislamu.

Naona kabisa nampoteza ila sijui nifanyje
Badili wewe
 
Mimi nipo kwenye Hiko kipindi.
Nipo na msichana kwanza yuko third year chuo nimemkuta bikra.

Ana akili kubwa sana Yani ana uwezo mkubwa wa fast problem skills ana time management

Mzuri sana kila mtu haamini kama Nina mmiliki.

Wazazi wake sio haba wanajitegemea nikimuoa siwezi kuoa familia nzima

Hana marafiki wengi
Muelewa
Supporter sana financially

Yani ana kila sifa ya kuwa mke ila tatizo ni dini.

Yeye mkristo KKKT
Mimi muislamu.

Naona kabisa nampoteza ila sijui nifanyje
Watu wa dini wanazidiwa upendo hadi na Wapagani.
 
Mimi sijaelewa Dini ni jambo la Mungu si ndio hivyo. Kwa hiyo unatoka dini hii unaenda kwenda dini hii kufuata ndoa?

Nyie watu mbona mnafanya dhihaka sana. Hamuogopi.
 
Kwahiyo tafsiri ya mtu sahihi ni dini?
Km wa dini moja ndio mtu sahihi why ndoa zinavunjika?
Imagine umemkuta ana vigezo vyote vya kuwa mke au mume ila kwakuwa sio wa dini yako unaachana nae unaenda kuoa au kuolewa na mzinzi pro max.

Nikipendekeza watu wa dini wapimwe akili huwa naitwa Ibilisi.
 
Kwa mwanamke kumpoteza mwanaume kisa dini ni ujinga wa kiwango cha lami.

Yani dini uliyozaliwa ukaikuta na mpaka leo inaonekana hili dude lililetwa kutoka huko bado watu wanashinikizwa kuacha mapenzi kisa dini?

Hasa kwa Afrika yani dini inchukuliwa kama ndio Mungu mwenyewe. Tutaendelea kuwa maskini wa fikra na mali kisa dini.
Katika kitu Mwafrika ameshindwa kutofautisha ni Dini na Mungu.

Mungu ni Mungu na dini ni matendo ya wanadamu.

Utasikia dini yangu inakataza na hutomsikia akisema Mungu anakataza.
 
Kuna muda unaanzisha mahusiano na mtu unaamini huyu ni wa ndoto kabisa ila linapokuja swala la dini unaishiwa nguvu kabisa.

Nilikutana na mtu mmoja alisema yeye hawezi kuolewa na mtu wa dini tofauti kwa sababu familia yake haitomruhusu na isitoshe baba yake amefariki hivyo hawezi kusaliti kiapo walichowekeana.

Nadhani ingefika mahali sasa hili jambo kwa wanafamilia litazamwe upya mana linaweza kupelekea mtu kumkosa mtu ambaye alimuona sahihikwa upande wake kisa dini.
Hiki unachosema Kuna bestii yangu anapitia kwasas mnafanan au n wewe mkuu upo mkoa gan na Binti ulikutanaye mkoa gan real as fact.niambie naweza kupa feedback mkuu
 
Mimi nipo kwenye Hiko kipindi.
Nipo na msichana kwanza yuko third year chuo nimemkuta bikra.

Ana akili kubwa sana Yani ana uwezo mkubwa wa fast problem skills ana time management

Mzuri sana kila mtu haamini kama Nina mmiliki.

Wazazi wake sio haba wanajitegemea nikimuoa siwezi kuoa familia nzima

Hana marafiki wengi
Muelewa
Supporter sana financially

Yani ana kila sifa ya kuwa mke ila tatizo ni dini.

Yeye mkristo KKKT
Mimi muislamu.

Naona kabisa nampoteza ila sijui nifanyje
Mkuu kama unayosema ni kweli hiyo Mali usiiache piga mimba haste haste akizaaa mtoto wa Pili ndo muamue we uitwe Daniel au yeye aitwe Nasra
 
Kuna muda unaanzisha mahusiano na mtu unaamini huyu ni wa ndoto kabisa ila linapokuja swala la dini unaishiwa nguvu kabisa.

Nilikutana na mtu mmoja alisema yeye hawezi kuolewa na mtu wa dini tofauti kwa sababu familia yake haitomruhusu na isitoshe baba yake amefariki hivyo hawezi kusaliti kiapo walichowekeana.

Nadhani ingefika mahali sasa hili jambo kwa wanafamilia litazamwe upya mana linaweza kupelekea mtu kumkosa mtu ambaye alimuona sahihikwa upande wake kisa dini.
Weka mimba hiyoooo mburukenge watakuozesha wenyewe
 
Back
Top Bottom