Mdogo wangu usitafute Mke wa kuoa kwa sababu ya Ubikra wake, au usmart wake hapo chuoni iwe usmart wa mavazi au Akili.
Ukitaka kupata Mke Tafuta Mke
1. mwenye Hofu ya Mungu.
2. Mwenye Heshma na Utii, awe na Adabu kwako na kwa wengine.
3. Familia yao iwe walau na Ahueni ya Shekels isiwe kununua friji au Tv ukaonekana mkwe wetu ni Tajiri.
4. Uzuri, hiki sio kigezo cha muhimu sana, maana unaweza kumpenda kwa uzuri baadae akapata ajali uzuri ukatoweka.
NB: ktk vigezo vyote hivyo kigezo cha muhimu ni hicho namba 1 hapo juu.