Ulishawahi kumuota member wa JF?

Ulishawahi kumuota member wa JF?

Mimi niliwahi tu Kumuota mmoja nikiwa nae madhabahuni namuoa ila niliposhtuka usingizini nikajikuta nimelala katika Korido la njia panda ya kuendea Chooni / Msalani.
Mkuu Hivi sasa ni Visa,warembo wengi humu Jf hujawahi hata kumuota mmoja,Hata kumuota Umempa like tuu!
 
Hee makubwa!!!!
Kumbe kuna mwingine?
Kunasiku nilishawahi kumuona yupo na huyo mwanamke nikapunguza jazba na kumuuliza baby yule ni nani mliokuwa mkiongozana huku mmeshikana mikono? (kwenye comments zao) akajibu ni mdada tuu wanapenda kutaniana.

Joseverest embu njoo unieleweshe juu ya hii tuhuma [emoji57],hata mimi nina moyo ujue usinitanie tafadhali [emoji41]
Baby ina maana huniamini, unasikiliza maneno ya nje?? Daah hao hawapendi kuona mi nawe tuko pamoja achana nao

Mimi nakupenda wewe tu amini hivyo
 
d8d6c3cc32a56d7870593312c5b6bf09.jpg
hahahahahahahahaha
 
Back
Top Bottom