Ulishawahi kumwingiza Demu getto zaidi ya mara moja na ukashindwa kula tunda?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu mambo ya kuwa na project 20 ambazo hazitiki sio poa...!! Inabdi ukamilishe kwa hali na malii..
 
Si kweli eti tukienda tembelea mwanaume tumekubali Tena unakuta huwazi kabisa hzo Mambo, wanaume tuheshimuni bana sio tunafika mwatukamata kwa nguvu.
Wengine hata hajawahi kukutongoza siku hyo unashangaa

Kwa ambao hamjatongozana hilo ni kosa kubwa sana.

Nipe mtazamo wako kwa mwanamke ambaye anaenda kumtembelea mwanaume ambaye wamesha tongozana, is it a green light?
 
Kwa ambao hamjatongozana hilo ni kosa kubwa sana.

Nipe mtazamo wako kwa mwanamke ambaye anaenda kumtembelea mwanaume ambaye wamesha tongozana, is it a green light?
Hata Kama umemtongoza mtu kuja haimaanishi kakukubali lakini lazima uheshimu maamuzi yake.
Ndio maana Mimi siendi kwa rafiki yoyote wakiume maana kugombana na urafiki kufa kabisa
 
Mwendo wa surprise tu aisee...!! Mwingine ukiondoka anakwambia na wewe unawahi kukataa tamaa mapema tatizoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si kweli eti tukienda tembelea mwanaume tumekubali Tena unakuta huwazi kabisa hzo Mambo, wanaume tuheshimuni bana sio tunafika mwatukamata kwa nguvu.
Wengine hata hajawahi kukutongoza siku hyo unashangaa
 
Hata Kama umemtongoza mtu kuja haimaanishi kakukubali lakini lazima uheshimu maamuzi yake.
Ndio maana Mimi siendi kwa rafiki yoyote wakiume maana kugombana na urafiki kufa kabisa

Nakuelewa, that is one good point. Kutoenda.

Tunakutana na wakati mgumu sana kwenye hizi mambo, kwa sababu hakuna wakati ambao mwanamke atakwambia niko tayari kufanya, especially for the first time between you two.

Ndiyo maana wakati mwingine wanaume wanaamua kujiongeza kwamba akija ndo siku yenyewe.
 
Mwendo wa surprise tu aisee...!! Mwingine ukiondoka anakwambia na wewe unawahi kukataa tamaa mapema tatizoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23] hizo huwa tu hisia zenu bana
 
Nyie tu huwa mnafikiria kumwacha mwanamke bila kumgusa utaona anakuona si rijali, Ila kwangu naona ni mwanaume mwenye high self control
 
Aisee hao mademu wapo uchagani tu,
 
Nyie tu huwa mnafikiria kumwacha mwanamke bila kumgusa utaona anakuona si rijali, Ila kwangu naona ni mwanaume mwenye high self control

Got you.

Nadhani pia inaendana na level ya jinsi mwanaume unavyoweza kusoma signs za go ahead na no go.
 
Si kweli eti tukienda tembelea mwanaume tumekubali Tena unakuta huwazi kabisa hzo Mambo, wanaume tuheshimuni bana sio tunafika mwatukamata kwa nguvu.
Wengine hata hajawahi kukutongoza siku hyo unashangaa
Ukija geto kwa kidume lazima utupiwe ndoano ni juu yako kuikwepa au kuimeza
 
Mwendo wa surprise tu aisee...!! Mwingine ukiondoka anakwambia na wewe unawahi kukataa tamaa mapema tatizoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kiufupi hawaeleweki hao akija geto akikisha unamtupia kandoano
 
Nasoma comments tyuuuuh, nmeweka seat kabisaaah
 
Got you.

Nadhani pia inaendana na level ya jinsi mwanaume unavyoweza kusoma signs za go ahead na no go.
But it's hard my dear wengine urafiki ni muhimu Bora tukutane hata sehemu nyingine tulivu tuongee na sio nyumbani
 
Kwahiyo uka mnyima kabisa ?
[emoji23][emoji23] Sasa nimpe ili iweje jamani, Mimi nimekuja kukusalimia staki mengine, nasikitika urafiki wetu ukafa, jamaa hanipendi mpaka kesho sijui alishafia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…