Ulishawahi kumwingiza Demu getto zaidi ya mara moja na ukashindwa kula tunda?

Ulishawahi kumwingiza Demu getto zaidi ya mara moja na ukashindwa kula tunda?

Ishanitokea tena this aprl,demu kaja geto stor za hapa na pale tukajikuta tupo kwny mahaba ya pesa yotee,mtt nimemnawa vya kutosha hadi anaanguka kama gogo,ila nikimpeleka kitandan anaenda na mzgo hatoi,nliamua kutumia tu democracy na kumuacha aende,imetokea ivo zaid ya mara mbili,ile ya tatu nikajarbu tumia force demu kaondoka kwa hasira....àaah!nikaona ni ujinga ko nikaamua tu kumpotezea,kilichonikwamisha ni baada ya hizo cku kuzamisha dem mwngine ndan ambaye n rafiki yangu tu..ila niliwakuta wapo nje wote kwan wako mapacha na tumepanga sehem moja,kile kitendo kilimkasirisha akawa hata salam hatoi na mm nikajikausha ivo ivo
 
Kuna watu mpo kama kobee!!mi hapo ningepiga kabisaaa inaonesha hujui sound za kumptepetesha demu kwa maneno, me niliwahi kumtongoza demu mpita njia simjui na hanijui na ni mstaarabu alikuwa anaenda kwenye duka flan na anaonekana ana haraka ila nilipiga somo mbaka usoni full kutepeta akabadili njia tukaingia gest nikapiga kinomaa masaa kama matatu hivi, na sio huyo tuu mimi sijui nakipaji hicho mbaka marafiki wakawa wanasema unatumia dawa kumbe ndivyo mungu alivyonijalia naweza nikamsimamisha demu yaani akisimama kunisikiza tu tegemea naondoka naye hapo hapo unashuhudia kabisa sasa sembuse huyo mbaka magetoni kabisaa!!!?
Usisahau WANAOJIUZA TUNAISHI NAO kitaa.

#YNWA
 
Tulisumbuana gheto kwake, akanaimbia nivae kondom, ukicheki sikua nayo. Nje kina duka, nikamwambia acha nikanunie, kurudi nakuta mlango umefungwa na taa imezimwaa.... [emoji3]
Daah pole sanaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Tulisumbuana gheto kwake, akanaimbia nivae kondom, ukicheki sikua nayo. Nje kina duka, nikamwambia acha nikanunie, kurudi nakuta mlango umefungwa na taa imezimwaa.... [emoji3]
Duu! Tukiwambia Tumrudie Mungu Hamtaki
 
dah umenikumbusha,demu kaja geto anaanza kulia eti anasema sikuja kwa mambo ayo kuforce mwishowe akataka kutoka nje usiku,
nikaona nimuache tu,akaniambia next time atakuja rasmi ndio ikawa chenga mpaka leo.
 
Haya mambo haya ... mwanaume wa kiafrika kustaarabika tachukua miaka mingi sana .... Dem kuja ghetto (kwa baadhi lakini) sio tiketi ya kutaka kumlala.usidhani kufanya ngono ndio kutampa mwanamke attention kwako never ever.badilika man usikariri Sana maisha.
Ni wachache sana watakuelewa katika hili..
 
Duhh pisi ilimkataa msela wangu msela akanirushia nikaizoea zoea nikaipa vizawadi cku ya b.day yake jpili nikaandamana nae church kutoka nkamdanganya ansindikize home nibadilishe viatu alaf namimi nimsindikize ,mtoto akajiloga akakubalii hadisi yangu itaendelea sikunyingine
 
Ndio rafiki wa kawaida tu
Hakuna urafiki wa Kawaida Kati ya me na dada yangu.
Hebu fikiria unaenda kwa kaka kumtembelea.
Halafu baada ya Saa Moja anakuja dada mwingine,kaka anakutambulisha kuwa huyu ni mpenzi wake.
Kisha wanakusindikiza halafu wao wanarudi hero.
Je urafiki wenu utaendelea? Kwa upande wako?
 
Back
Top Bottom