Ulishawahi kuona malaika?

Ulishawahi kuona malaika?

Lakini imeandikwa ombeni lolote kwa jina langu nitalifanya ili baba atukuzwe ndani ya mwana

Sidhani kama kuzungunza nao ni dhambi?

Zamani nilikuwa na chuki nao sana hawa viumbe ila leo nataka ni prove wrong
Imeandikwa;
Yohana 14:14
[14]Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya.
If ye shall ask any thing in my name, I will do it.
Yakobo 4:3
[3]Hata mwaomba, wala hampati kwa sababu mwaomba vibaya, ili mvitumie kwa tamaa zenu.
Ye ask, and receive not, because ye ask amiss, that ye may consume it upon your lusts.

Zingatia .
 
Soma Quran jifunze kuhusu jibril
malaika wa kwenye kuran sio malaika wasafi. hapa tunaongelea malaika walotumwa na Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo, yaani Mungu wa Israel ambaye sio mungu wa kwenye icho kitabu chako. kwa Mungu wa kweli wa Israel hata sasaivi unaweza kuona malaika. wanaweza kuja physically, wanaweza kujibadilisha na kuvaa miili ya mwanadamu akala hadi chakula kabisa, au anaweza kuja kwa saudi tu usimwone vyovyote vile Mungu apendavyo yeye aje.
 
1. Mwaka fulani nilikuwa nasoma nchi fulani ya mbali, nikaamua kusafiri toka mji mmoja kwenda mji mwingine, ilikuwa ni safari ndefu sana kwa treni hizi ninyi mnasema za mwendo kasi unasafiri kama masaa 8, ni kama kutoka DSM hadi Bukoba hivi. Ule mji umejengeka sana, una barabara nyingi sana, magari mengi, majengo kila unaloliona yanafanana, mitaa unaona kama ni ile ile, hawaongei kiingereza (kwa uchache sana utakuta kiingereza airport, train station, bus stations n.k kwenye screens tu, hata polisi ukimwuliza hajui kimombo), watu wanasafiri kwa kuangalia ramani za hardcopy au google map. na mimi ni mgeni kabisa ndio mwezi mmoja tu nimetoka Tanzania kwenye analojia. huwezi amini, kuna mtu aliingia kwenye treni akakaa nilipokaa, alipokaa nami tu nikajisikia raha sana na uwepo wake, alikuwa mwanamke, nimefika njiani nikalala usingizi, naamka yupo pale ni kama ananilinda na kunijali, safari ndefu magoti yanauma kwasababu viti vilikuwa vinatazamana akachukua miguu yangu akaipakata ili inyooke. ile natua final destination, akahakikisha nimepita sehemu zote korofi naelekea sehemu ambayo sitapotea hadi pale nilipokuwa nafikia, akaniaga akaondoka. alipoondoka tu ndio nikahisi kabisa kuwa huyu hakuwa mtu wa kawaida kwasababu alipokuwepo hali ya hewa ilikuwa nyingine na alipoondoka ile hali ya hewa nzuri ikapotea. siwezi kusema moja kwa moja alikuwa malaika, ila najua hakuwa mtu wa kawaida, na kwa ulaya mtu kukujali vile sio rahisi.

2. kuna siku moja nililala usingizi, nikaona maono, Malaika wengi kweli wamekizunguka kiti cha enzi, wanaimba nyimbo nzuri, nyimbo ya kumsifu Mungu wakisema tumpe sifa yeye tu na kwamba hakuna kama yeye mwingine, ni miaka kama 20 imepita, lakini ule wimbo naukumbuka na kuuimba wote hadi sasaivi na picha yote naikumbuka, note za wimbo zote nazikumbuka, na sikujifunza niliona maono naimba tu na malaika wengi na wanaimba vizuri sana sana. wimbo ni kama uliniambukiza upako fulani ambao unaufanya ule wmbo haufutiki kabisa moyoni, wote. kuna mambo nimeyafanay miaka 2 au 5 iliyopita ambayo nimeyasahau, ila wimbo niliouona kwenye maoni miaka 20 iliyopita hadi leo hii upo verse zilezile zote moyoni siwezi kuusahau umepigwa mhuri moyoni mwangu. hapo tusemeje?

3. mengine kadhaa naomba nisiyaseme hapa, code zangu zitafunguka kwasababu nilishashuhudiaga kwa watu.
 
Hahaha huyo sio malaika chief
[emoji23][emoji23]maybe ,maybe not , mkuu unaweza kuta ulipatana na mtu choka mbaya akakuomba msaada wa kitu unakiweza ukapuuza kumbe ndo malaika huyo .wengi tunangoja kiumbe na mabawa ,
Nikupe kisa kingine cha pili ...
2019 kabla corona tu nlikuwa nimesua kiuchumi sana kuna rafiki wa dhati alinitapeli hela kubwa sana nikiitamka utaona nadanganya.
Sasa banae njiani nkitoka kusini kulikuwa kunanyesha nlipatana na majamaa wawili barabara ya mwitu kona kuu .
Wakanisimamisha wakiomba lift , nlihofia ila nkaskia sauti flani hivi siwezi ielezea ikaniambia hao usiwapite niwema.
Nikawapa lift almost kilomita 70 hvi wakashuka ,njiani tulipiga gumzo sana kuhusu uchumi n.k. walishuka wakiniombea baraka nyingi kwa usaidizi .
Waliposhuka tu kumbuka ni usiku na mataa ya gari yapo on na tulikuwa mbali na mijengo kama mita 400 hvi kugeuka nipige mlango wa nyuma lock nikiangalia mbele hawapo ,nkajiambia yaani sekunde 3 napiga lock wamefika kwa yale majengo ila nkapuuza .
Mwezi ule mkuu hela ilinikimbiza kweli kweli , inshort ile gap ya pesa sikuimaliza ila ilibakia kiasi ambacho kule kusua kuliisha .
Malaika anakuja kwa njia nyingi kukupima imani ,wengi tunafeli mitihani midogo sana
 
[emoji23][emoji23]maybe ,maybe not , mkuu unaweza kuta ulipatana na mtu choka mbaya akakuomba msaada wa kitu unakiweza ukapuuza kumbe ndo malaika huyo .wengi tunangoja kiumbe na mabawa ,
Nikupe kisa kingine cha pili ...
2019 kabla corona tu nlikuwa nimesua kiuchumi sana kuna rafiki wa dhati alinitapeli hela kubwa sana nikiitamka utaona nadanganya.
Sasa banae njiani nkitoka kusini kulikuwa kunanyesha nlipatana na majamaa wawili barabara ya mwitu kona kuu .
Wakanisimamisha wakiomba lift , nlihofia ila nkaskia sauti flani hivi siwezi ielezea ikaniambia hao usiwapite niwema.
Nikawapa lift almost kilomita 70 hvi wakashuka ,njiani tulipiga gumzo sana kuhusu uchumi n.k. walishuka wakiniombea baraka nyingi kwa usaidizi .
Waliposhuka tu kumbuka ni usiku na mataa ya gari yapo on na tulikuwa mbali na mijengo kama mita 400 hvi kugeuka nipige mlango wa nyuma lock nikiangalia mbele hawapo ,nkajiambia yaani sekunde 3 napiga lock wamefika kwa yale majengo ila nkapuuza .
Mwezi ule mkuu hela ilinikimbiza kweli kweli , inshort ile gap ya pesa sikuimaliza ila ilibakia kiasi ambacho kule kusua kuliisha .
Malaika anakuja kwa njia nyingi kukupima imani ,wengi tunafeli mitihani midogo sana
Mkuu umenipa somo...malaika kuja maishani mwako sio lazma aje na mabawa ,anakuja kwa namna yoyote ile
 
[emoji23][emoji23]maybe ,maybe not , mkuu unaweza kuta ulipatana na mtu choka mbaya akakuomba msaada wa kitu unakiweza ukapuuza kumbe ndo malaika huyo .wengi tunangoja kiumbe na mabawa ,
Nikupe kisa kingine cha pili ...
2019 kabla corona tu nlikuwa nimesua kiuchumi sana kuna rafiki wa dhati alinitapeli hela kubwa sana nikiitamka utaona nadanganya.
Sasa banae njiani nkitoka kusini kulikuwa kunanyesha nlipatana na majamaa wawili barabara ya mwitu kona kuu .
Wakanisimamisha wakiomba lift , nlihofia ila nkaskia sauti flani hivi siwezi ielezea ikaniambia hao usiwapite niwema.
Nikawapa lift almost kilomita 70 hvi wakashuka ,njiani tulipiga gumzo sana kuhusu uchumi n.k. walishuka wakiniombea baraka nyingi kwa usaidizi .
Waliposhuka tu kumbuka ni usiku na mataa ya gari yapo on na tulikuwa mbali na mijengo kama mita 400 hvi kugeuka nipige mlango wa nyuma lock nikiangalia mbele hawapo ,nkajiambia yaani sekunde 3 napiga lock wamefika kwa yale majengo ila nkapuuza .
Mwezi ule mkuu hela ilinikimbiza kweli kweli , inshort ile gap ya pesa sikuimaliza ila ilibakia kiasi ambacho kule kusua kuliisha .
Malaika anakuja kwa njia nyingi kukupima imani ,wengi tunafeli mitihani midogo sana
Yule wa betting sio malaika...
Unaonekana una roho nzuri ndio maana mambo menginr yanakurudia tu
..watu wengi tunafeli kua na roho nzuri roho ya utoaji
 
Labda tungepata tafsiri ya malaika. Ila moja ya story yangu binafsi ilyoniacha na maswali mwaka 2020 nliota ndoto ambayo nilikua nusu nimelala nusu Niko macho nikiongeleshwa na mtu ambaye hakutaka nimuone sura yake" aliniambia "huyu si mtoto wetu' angalia nyusi angalia kucha angalia na lips" Kisha akapotea nikawa Niko macho sielewi ninini kimetokea ni ndoto au ni live. Asubuhi nikapigiwa simu na dada mmoja aliyejitambulisha kuwa ni shangazi wa binti mmoja ambaye kwa muda huo alikua mjamzito( nililea Ile mimba) akaniambia mwenzio amejifungua salama. Nilijiandaa Kwenda kumuona nikanunua na baadhi ya vitu nimefika pale Ile sauti ikajirudia Tena ndio nikakumbuka kilichotokea usiku nikawa makini kumuangalia yule mtoto bila kupepesa macho hakuwa mwanangu. Tukio Hilo nashindwa kuelezea yule aliyekuja kuniambia ndotoni alikua ni nani Hadi Leo sijawahi kupata jibu
 
Malaika anakutokea kwa njia ya kibinadam (kutupitia watu) au maono/ndoto. Na mara nyingi ni ngumu kufahamu kama kiroho haujakomaa.

Usitegemee kumuona malaika physically.
Wanaonekana mbona physically, ukitafuta baadhi ya video pitia YouTube utaona zipo zimenaswa pitia surveillance camera zimekua zikuonesha
 
Wee jamaa! Ulienda Nairobi na mizigo yoote hiyo iliyokuwa kwenye mabegi kutafuta chuo? Chuo kinatafutwa kama unatafuta bidhaa dukani? Acha urongo wewe!
Dah shida inawezekana umezaliwa kipindi cha digitali unasahau kuna kipindi kilikuwa cha magazeti na ma Typewritting ...
Na simu ilikuwa na Wired Za TTCL (Landlines)
 
Labda tungepata tafsiri ya malaika. Ila moja ya story yangu binafsi ilyoniacha na maswali mwaka 2020 nliota ndoto ambayo nilikua nusu nimelala nusu Niko macho nikiongeleshwa na mtu ambaye hakutaka nimuone sura yake" aliniambia "huyu si mtoto wetu' angalia nyusi angalia kucha angalia na lips" Kisha akapotea nikawa Niko macho sielewi ninini kimetokea ni ndoto au ni live. Asubuhi nikapigiwa simu na dada mmoja aliyejitambulisha kuwa ni shangazi wa binti mmoja ambaye kwa muda huo alikua mjamzito( nililea Ile mimba) akaniambia mwenzio amejifungua salama. Nilijiandaa Kwenda kumuona nikanunua na baadhi ya vitu nimefika pale Ile sauti ikajirudia Tena ndio nikakumbuka kilichotokea usiku nikawa makini kumuangalia yule mtoto bila kupepesa macho hakuwa mwanangu. Tukio Hilo nashindwa kuelezea yule aliyekuja kuniambia ndotoni alikua ni nani Hadi Leo sijawahi kupata jibu
Hujawahi kutaka kuyajua majibu ndio maana hujapata majibu. Nisawa na mtu aliyefeli somo na hataki kujua kilichofanya afeli ni nini hasa katika hilo somo
 
Imeandikwa;
Yohana 14:14
[14]Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya.
If ye shall ask any thing in my name, I will do it.
Yakobo 4:3
[3]Hata mwaomba, wala hampati kwa sababu mwaomba vibaya, ili mvitumie kwa tamaa zenu.
Ye ask, and receive not, because ye ask amiss, that ye may consume it upon your lusts.

Zingatia .
Mkuu Ushamaliza kila Kitu Tatizo la Binadamu ni Ego...
Kama yakobo asemavyo
 
Back
Top Bottom