Ulishawahi kuona malaika?

Ulishawahi kuona malaika?

Uking'ang'ana kuwaona malaika Mungu anaweza kukuonyesha lakini katika mizania ya imani utakuwa umepwaya saana! Maumbo ya malaika ni makubwa na ni warefu na wanautukufu wa mwanga kiasi kwamba kama wanataka uwaone kwanza watakushushia upako/divine annointment ya furaha/amani ili hatakama ukiwaona usiogope! Wengine wana mabawa lakini wengine ni kama binadamu! Kutokana na Maumbo ya malaika kuwa makubwa,
Wewe hizi habar umezipata wapi , Je ni wewe mwenyewe umewaona, AU ni Hadithi umeha dithiwa,

Mimi binafsi siogopi kumuona Malaika hata kama ana umbo kubwa kiasi Gani,
Kwanza nikimuona kwa umbile lake ndio nitafurahi Zaidi.
 
Wewe hizi habar umezipata wapi , Je ni wewe mwenyewe umewaona, AU ni Hadithi umeha dithiwa,

Mimi binafsi siogopi kumuona Malaika hata kama ana umbo kubwa kiasi Gani,
Kwanza nikimuona kwa umbile lake ndio nitafurahi Zaidi.
Nyie mnaoshobokea kuwaona malaika mtaishia kuona mashetani! Malaika kikawaida hawataki kuonekana kwa wanadamu labda kwasababu maalum! Mashetani yangependa hata yaishi kama wanadamu na yako tayari kuonekana ukifuata taratibu za mashekhe mbona unawaona faster?
 
Inauwezekano lakini Kwa nyakati hizi ni nadra sana ,though huwezi kuwaona Kwa haya macho yako ya damu na nyama,wanaishi kwenye spiritual realm.lazima roho yako iwe regenerated ndio unaweza kuanza kuona spiritual entities,na SI malaika peke yake hata Pepo,wachawi n.k
 
Wee jamaa! Biblia hipi unasoma yenye picha! Utakuwa mkatoliki wewe!
huo hapo mstari unaelezea maserafi
{A952390E-E1A5-41B4-944D-CE7A248CB7D7}.png.jpg
 
Inauwezekano lakini Kwa nyakati hizi ni nadra sana ,though huwezi kuwaona Kwa haya macho yako ya damu na nyama,wanaishi kwenye spiritual realm.lazima roho yako iwe regenerated ndio unaweza kuanza kuona spiritual entities,na SI malaika peke yake hata Pepo,wachawi n.k
Kama mtu anaona wachawi iweje Malaika wasionekane..Roho huyohuyo anayemfunulia mtu wachawi wanapoenda kumuwangia ana uwezo pia wa kumfunulia mtu aone malaika
 
Wee jamaa! Biblia hipi unasoma yenye picha! Utakuwa mkatoliki wewe!
Mkuu kwanza mimi sio mkatoliki wala dini yoyote..
Tatizo la walokole mara nyingi huwa hawasomi vitabu vyao (Biblia) huwa wanafundishwa vitabu vinne tu vya injili na Nyaraka bhasi..

Ok kwa kuwa umetaka kujua Ngoja nikuelekeze kitu...

Ukiwa marekani ikatokea umefanyiwa uhalifu wowote na mtu unao uwezo wa kueleza Kwa maandishi mtu huyo anafananaje na wakachora Picha na ikaendana kama mtu huyo....
Sasa tuachane na hayo...

Cherub (Makerubi,)
Ezekieli 1:5-14

Kukatokea katikati yake mfano wa viumbe hai vinne. Kuonekana kwao kulikuwa hivi; walikuwa na sura ya mwanadamu.
Na kila mmoja alikuwa na nyuso nne
, na kila mmoja alikuwa na mabawa manne.
Na miguu yao ilikuwa miguu iliyonyoka; na nyayo za miguu yao zilikuwa kama nyayo za miguu ya ndama; zikimetameta kama rangi ya shaba iliyosuguliwa sana.

Nao walikuwa na mikono ya mwanadamu chini ya mabawa yao, pande zote nne; na wote wanne walikuwa na nyuso zao na mabawa yao hivi;
Mabawa yao yaliungana, hili na hili; nao hawakugeuka walipokwenda, walikwenda kila mmoja kuelekea mbele.

Kwa habari za mfano wa nyuso zao; walikuwa na uso wa mwanadamu; na walikuwa na uso wa simba upande wa kuume; na uso wa ng’ombe upande wa kushoto;
walikuwa na uso wa tai pia.

Na nyuso zao na mabawa yao yalikuwa yametengana kwa juu; mabawa mawili ya kila mmoja yaliungana, hili na hili, na mawili yalifunika miili yao.

Nao walikwenda kuelekea mbele, kila mmoja wao; roho ilikotaka kwenda ndiko walikokwenda; hawakugeuka walipokwenda.

Kwa habari za kuonekana kwao vile viumbe hai; kuonekana kwao kulikuwa kama makaa ya moto yawakayo, kama kuonekana kwa vinga vya moto; moto ule ulikuwa ukienda juu na kushuka chini, katikati ya vile viumbe hai; na ule moto ulikuwa na mwangaza mwingi, na katika ule moto ulitoka umeme.

Na vile viumbe hai walipiga mbio, kwenda na kurudi, kama kuonekana kwa kumulika kama Radi..



Sasa mkuu kwa maelezo hayo hapo juu Huwezi kuchora Picha Kama hii?????
Screenshot_20231126-160711.png



Au hivi..
images - 2023-11-26T160859.129.jpeg


Au huyu naye ni shetani analeta ujumbe Kwa manabii wa Mungu 😅😅
 
Mhhh

Duuh point sana mimi sitaomba tena milele yote niwaone ila sasa nataka njia yake tu, hivi tofauti ya binadamu na malaika ni ipi?
Nani Mkuu nani anamtumikia mwenzie
Malaika ni mdogo baada ya Mungu ni binadamu kisha malaika then shetani

Malaika wapo kumtumikia Mungu na sisi
Nikitulia nitakuonyesha maandiko ndani ya biblia

4 Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, Na binadamu hata umwangalie?
5 Umemfanya mdogo punde kuliko Mungu; Umemvika taji ya utukufu na heshima;
6 Umemtawaza juu ya kazi za mikono yako; Umevitia vitu vyote chini ya miguu yake.
 
Malaika ni mdogo baada ya Mungu ni binadamu kisha malaika then shetani

Malaika wapo kumtumikia Mungu na sisi
Nikitulia nitakuonyesha maandiko ndani ya biblia

4 Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, Na binadamu hata umwangalie?
5 Umemfanya mdogo punde kuliko Mungu; Umemvika taji ya utukufu na heshima;
6 Umemtawaza juu ya kazi za mikono yako; Umevitia vitu vyote chini ya miguu yake.
eti malaika n mdogo kuliko binadamu....duuh...hayo n mafundisho ya kiquruani labda
 
Kwa ufupi malaika ni wajumbe wa Mungu wa Biblia! Kuna malaika wasiokuwa na miili wanaokuja kwa mission maalum na malaika ambao ni Walokole (hapa naongelea walokole wa ukweli sio wale wanaojitafuta) kibiblia wanaitwa "malaika", katika kitabu cha Ufunuo "kwa malaika wa makanisa yale saba", hao malaika wanaotajwa ni "walokole"! Mungu wa Biblia anaweza kuwatumia walokole walioko hapa duniani kufanyakazi kama "malaika" wasiokuwa na miili!
hakuna malaika walokole narudia tena hakunaaaaaaaa
 
Ili umuone malaika utakatifu unahitajika. Malaika ni watakatifu mtu mchafu hawezi kumuona
Sauli baadae Paulo akiwa muovu aliisikia sauti ya Yesu Kristo

Ni Neema tu , kama umeitwa,umeitwa tu hata ukiwa mwenye dhambi Utaona siku ikifika ya kutumika au kupewa maono.
 
Back
Top Bottom