Ulishawahi kuona malaika?

Ulishawahi kuona malaika?

Sijawahi kuwaona lakini nashangaa nawajua kuliko maelezo na tabia zao! Mambo ya kiroho yana mafunuo! Kama ni msomaji mzuri wa Biblia ni kama unafunuliwa ulimwengu wa roho na kuona uhalisia wake! Mungu anapenda saana kumuendea kwa imani sio kuona! Kwa imani malaika wapo tena wengi wanatuzunguka na kutulinda na kutusaidi/kuwasaidia wamchao! Uking'ang'ana kuwaona malaika Mungu anaweza kukuonyesha lakini katika mizania ya imani utakuwa umepwaya saana! Maumbo ya malaika ni makubwa na ni warefu na wanautukufu wa mwanga kiasi kwamba kama wanataka uwaone kwanza watakushushia upako/divine annointment ya furaha/amani ili hatakama ukiwaona usiogope! Wengine wana mabawa lakini wengine ni kama binadamu! Kutokana na Maumbo ya malaika kuwa makubwa, si rahisi kuonekana kwa macho kibinadamu labda uombe na ujiandae kisaikolojia ukiwaona la sivyo unaweza kuogopa ndo maana wanatanguliza upako wa kujisikia una amani! Kama nilivyosema, walokole vile vile utumwa kama malaika kwasababu tunafanana maumbo sawa! Moja ya sifa ya walokole ni maombi! Anapokuwa anaomba, anaweza kuchukuliwa kutoka mbali akajakwako akatatua tatatizo alafu usimwone tena!
Umenena vyema sana
 
Ulikutana na malaika mlokole alipokuwa anaomba akatumwa kwako kwa maelekezo kama alivyofanya na hutakuja kumuona tena! Uenda labda tuseme ulikuwa Dar, huyo mlokole alitumwa kutoka mbali na mkoa wa Dar labda tuseme kutoka Bukoba! Anaweza kutumwa kutoka nje ya nchi na akaongea lugha ya kwako ukashangaa kwasababu ya kunena kwa lugha!
Wewe umewahi kutumwa
 
Hello natafuta majibu hasa kwa wenye uzoefu, hebu tupe story

Ilikuwaje

Anaonekanaje

Alisema nini

Na mimi nataka kuona nifanye nini nipo kwenye research nataka kuuona ulimwengu mwingine sasa sitaki kukaa kizembe hebu nipeni uzoefu na mimi niwe miongoni mwa watu wanaotafuta ukweli kwa macho yangu

Ikiwa na wewe mpenda story stay tunned tuwasikilize marafiki zetu
Usiwe na shaka, utamuona siku ukiwa katika sakaratul mauti
 
Humu kuna watu wana fikra za kipumbavu sijawahi ona. Kwa hiyo ukisaidiwa na mtu asiyekufahamu wala kumfahamu ugenini ni malaika huyo? Kuota unafanya jambo katika hali ya kustaajabisha unakuwa umetembelewa na malaika? Hivi unafahamu ukitaka milango yako ya fahamu iweze kudetect hatari mbele unaweza na sio kitu cha ajabu!? Hivi unafahamu kuwa nafsi yako inaweza kutangulia mbele ikaangalia hatari au uzuri ulioko mbele uendako ila usipoiheshimu unakuja kumbuka baadae na ndipo mnaanza kusema au ndio maana nilikuwa nasita kufanya jambo fulani.

Hakuna cha malaika wala nini, achaneni na masimulizi yenu ya kipumbavu mliyokaririshwa na wakoloni wa kimishionari. Shirikisha ubongo wako ipasavyo.
 
Ndio. Alinitokea ili kutoa kiburi changu.
Shuleni nilikuwa naonekana kipanga wa somo la Physics, nilijiona kama Mungu duniani.

Sasa usiku wa manane, nikamuona Malaika katika ndoto anawaka sana, nikapelekwa ubaoni, akaandika swali la topic la Heat and Thermodynamics, nikaliangalia nikasema lishaisha, akacheka, aisee nikachukua chaki, nikasolve , aisee nilimaliza ubao bila jibu, baadaye nikaamua kukiri wazi hapa sijui, Malaika akasmile , akachukua chaki akasolve kipande kichache tu na jibu akaliandika, akili yangu ikafunguka na kuona jibu ndo hilo.

Aisee nikaacha kuwa na kiburi kabisa na hata sasa sina kiburi tena.
You are lucky....
 
Hello natafuta majibu hasa kwa wenye uzoefu, hebu tupe story

Ilikuwaje

Anaonekanaje

Alisema nini

Na mimi nataka kuona nifanye nini nipo kwenye research nataka kuuona ulimwengu mwingine sasa sitaki kukaa kizembe hebu nipeni uzoefu na mimi niwe miongoni mwa watu wanaotafuta ukweli kwa macho yangu

Ikiwa na wewe mpenda story stay tunned tuwasikilize marafiki zetu
Mzee kwa mujibu wa Biblia..
MALAIKA WANA MAUMBO YA KUTISHA SANA YAAANU KIFUPI MALAIKA WANATISHA SANA..

BORA HATA PICHA MNAZOMCHORA SHETANI...
WANATISHA SANA...
USITAKE KUWAONA
 
Humu kuna watu wana fikra za kipumbavu sijawahi ona. Kwa hiyo ukisaidiwa na mtu asiyekufahamu wala kumfahamu ugenini ni malaika huyo? Kuota unafanya jambo katika hali ya kustaajabisha unakuwa umetembelewa na malaika? Hivi unafahamu ukitaka milango yako ya fahamu iweze kudetect hatari mbele unaweza na sio kitu cha ajabu!? Hivi unafahamu kuwa nafsi yako inaweza kutangulia mbele ikaangalia hatari au uzuri ulioko mbele uendako ila usipoiheshimu unakuja kumbuka baadae na ndipo mnaanza kusema au ndio maana nilikuwa nasita kufanya jambo fulani.

Hakuna cha malaika wala nini, achaneni na masimulizi yenu ya kipumbavu mliyokaririshwa na wakoloni wa kimishionari. Shirikisha ubongo wako ipasavyo.
Nakubaliana na Wwwle kwa 100% intuition and Insights
 
Mara ya pili ikatokea pale shuleni nilipoamua kuwa Atheist, nikasema kwa mdomo wangu Mungu hayupo na Yesu hayupo, Sayansi ndo imechukua nafasi ya Mungu.

Tena usiku wa manane nikaota ndoto, nilikuwa kwenye hatari ya watu waovu baada ya kujua siri zao , akatokea Malaika akanichukua na kunipeleka sehemu ya paradiso, nikakaa nje, sikuruhusiwa kuingia ndani, sasa mageti yakafunguliwa, nikamuona mtu akismile, akiwa na ndevu, Yesu ambaye nilisema hayupo. Aisee nilipigwa na butwaa.
Karibu hospital ya mirembe:
 
Kwa ufupi malaika ni wajumbe wa Mungu wa Biblia! Kuna malaika wasiokuwa na miili wanaokuja kwa mission maalum na malaika ambao ni Walokole (hapa naongelea walokole wa ukweli sio wale wanaojitafuta) kibiblia wanaitwa "malaika", katika kitabu cha Ufunuo "kwa malaika wa makanisa yale saba", hao malaika wanaotajwa ni "walokole"! Mungu wa Biblia anaweza kuwatumia walokole walioko hapa duniani kufanyakazi kama "malaika" wasiokuwa na miili!
Yaani umenifanya Nicheke Kwa Sauti..
Unajua siku hizi watu hawana elimu kabisa na kwa yule asiyekuwa na elimu wanambeba mazima...
Eti kuna malaika Walokole 🤣🤣🤣🤣🤣

Ndio. Alinitokea ili kutoa kiburi changu.
Shuleni nilikuwa naonekana kipanga wa somo la Physics, nilijiona kama Mungu duniani.

Sasa usiku wa manane, nikamuona Malaika katika ndoto anawaka sana, nikapelekwa ubaoni, akaandika swali la topic la Heat and Thermodynamics, nikaliangalia nikasema lishaisha, akacheka, aisee nikachukua chaki, nikasolve , aisee nilimaliza ubao bila jibu, baadaye nikaamua kukiri wazi hapa sijui, Malaika akasmile , akachukua chaki akasolve kipande kichache tu na jibu akaliandika, akili yangu ikafunguka na kuona jibu ndo hilo.

Aisee nikaacha kuwa na kiburi kabisa na hata sasa sina kiburi tena.

Huyo sio Malaika Huyo ni self you Iliyondani yako (Roho yako) baada ya kuona mbali kuwa Ego yako ingekupoteza na usifike malengo Ulitakiwa kufika kwa kuwa Roho yako inajua kila kitu mpaka Chaguzi zako zote na matokeo yake yote..

Ndo maana ilibidi uonywe ili ubadilike na kama ungekaidi kilichofuata ungetandikwa Tukio moja Usngesahau lingekuwa Funzo lenye uchungu sana huenda ukapata Physics D au F kabisa na usingekuwa sawa...
Nikisema malaika ain't real ni product ya imagination delusions na hallucinations caused by religious or cultural indoctrination nitaambiwa naharibu Uzi..🥺ngoja niache mtoe shuhuda
Uko sawa kabisa hakuna kitu kama malaika ni just Imagination which saved on plexus
 
Mara ya pili ikatokea pale shuleni nilipoamua kuwa Atheist, nikasema kwa mdomo wangu Mungu hayupo na Yesu hayupo, Sayansi ndo imechukua nafasi ya Mungu.

Tena usiku wa manane nikaota ndoto, nilikuwa kwenye hatari ya watu waovu baada ya kujua siri zao , akatokea Malaika akanichukua na kunipeleka sehemu ya paradiso, nikakaa nje, sikuruhusiwa kuingia ndani, sasa mageti yakafunguliwa, nikamuona mtu akismile, akiwa na ndevu, Yesu ambaye nilisema hayupo. Aisee nilipigwa na butwaa.
Kwahyo Mkuu umemuona Yesu akiwa na ndevu 🤣🤣🤣
 
Mkuu haya ndo maumbo na sura za malaika kwa mujibu wa Biblia..
Na kama utabahatika kusoma Angeology Utajua nachomaanisha..

kuna Makerubi ambao ndo malaika ngazi ya kwanza na Malaika wote ambao huitwa Arch Angel wote wapo kwenye group hili Kina Michael(Mikaeli) ,Gabriel, Raphael..
Hawa ndo huwa na uwezo wa kuongea na Mungu moja kwa moja na ukisikia malaika kaasi ujue ni Makerubi...

na kuna Seraphine (Maserafi)Hawa ndo wale walio Levo ya Pili baada ya Makerubi hawa hawana muda wa kuhoji wala Kuuliza maagizo ya Mungu wenye kutenda kama agizo lilivyo...

Na kamwe ukisikia Malaika wameasi au wameanguka Huwezi kuta mmojawapo akawa serafi wana utii wa hali ya juu sana... Kuna Malakh ambao hawa ni wajumbe na mara nyingi huweza kuchukua maumbo ya Vitu ,Wanyama au watu japo wenyewe hawana Umbo....kundi la nne ni Ophanim

Hivi ndivyo wanavyoonekana Kwa Pamoja..kwa Mujibu wa Biblia



Screenshot_20231126-091758.png



Ntafafanua baadae KIMOJA BAADA YA KINGINE
 
Hello natafuta majibu hasa kwa wenye uzoefu, hebu tupe story

Ilikuwaje

Anaonekanaje

Alisema nini

Na mimi nataka kuona nifanye nini nipo kwenye research nataka kuuona ulimwengu mwingine sasa sitaki kukaa kizembe hebu nipeni uzoefu na mimi niwe miongoni mwa watu wanaotafuta ukweli kwa macho yangu

Ikiwa na wewe mpenda story stay tunned tuwasikilize marafiki zetu
Tafuta ukweli kwa moyo na si macho pekee maana macho yanadanganya unaweza kuona mazigazi ukasdhani ni maji na usiiache akili yako nyum pia .
 
Mkuu haya ndo maumbo na sura za malaika kwa mujibu wa Biblia..
Na kama utabahatika kusoma Angeology Utajua nachomaanisha..

kuna Makerubi ambao ndo malaika ngazi ya kwanza na Malaika wote ambao huitwa Arch Angel wote wapo kwenye group hili Kina Michael(Mikaeli) ,Gabriel, Raphael..
Hawa ndo huwa na uwezo wa kuongea na Mungu moja kwa moja na ukisikia malaika kaasi ujue ni Makerubi...

na kuna Seraphine (Maserafi)Hawa ndo wale walio Levo ya Pili baada ya Makerubi hawa hawana muda wa kuhoji wala Kuuliza maagizo ya Mungu wenye kutenda kama agizo lilivyo...

Na kamwe ukisikia Malaika wameasi au wameanguka Huwezi kuta mmojawapo akawa serafi wana utii wa hali ya juu sana... Kuna Malakh ambao hawa ni wajumbe na mara nyingi huweza kuchukua maumbo ya Vitu ,Wanyama au watu japo wenyewe hawana Umbo....kundi la nne ni Ophanim

Hivi ndivyo wanavyoonekana Kwa Pamoja..kwa Mujibu wa Biblia



View attachment 2825413


Ntafafanua baadae KIMOJA BAADA YA KINGINE
Nani aliwaona akaweza kuwachora hivyo?
 
Back
Top Bottom