Ulishawahi kupendwa na mpenzi wa rafiki yako?

Mkuu hii post unonaje ukaipeleka kule kwa masihara?

《Caprichar o teu sorriso》
 
Dahh mselawangu naeishinae kama ndugu geto moja aligharamikia dem ila chalii udhaifuwake niswaga achabana mtoto angukie kwangu kilichofwata nimimikujifanya muhuni mlevi kibaka ilikunusuru usela

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani we si mwanamme wa Dar? Nyie hamueleweki, machoni mnaonekana kuwa malijali kumbe mnashikishwa ukuta na kupakatwa na wanaume wenzenu.
una uhakika??au nawewe umeskia umbea kutoka kwa wamama wenzio.
 
Hongera
 
Nina rafiki yangu kafanana na Korede Bello basi kila goma langu likimjua huyu jamaa tu ujue nitachezea za uso. Kama yupo JF akiona huu uzi atajaza shuhuda hapa..
Hahaha
 
Eeeh
 
Tupe mrejesho it's 5 years now
 
Hongera sana mkuu
 
Vipi mmeoana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…