Ulishawahi kupendwa na mpenzi wa rafiki yako?

Ulishawahi kupendwa na mpenzi wa rafiki yako?

Yani mimi naona SAS kama hii ndo kazi yangu sas hv keep kila mwanamke naetembea nae lazma nile yeye na rafk yake inafka hatua naona kama laana shida IPO huku kwa washkaj mademu zao nao napata lawama Nina visa vingi sana nitawaleteen

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh
Usisahau cc ya kila event niisome
 
Hahaha izi mambo banah acha tu.
Miaka flani nikiwa nmemaliza form six kipindi icho form six wengi wanakuwa walimu wa kujitolea. Kuna rafiki angu sana hata kesho n rafiki angu alikuwa na demu wake ambao wote tumesoma xcul moja o level ila demu alikuwa class moja nyuma.
Wote tukiwa walimu (Mimi na rafiki angu) xcul flan jina kapuni yeye akifundisha history & language huku miki nikifundisha chemistry & biology.
Siku moja tumetoka xcul tukiwa mm na huyo rafiki angu ,njiani akakutana n huyo demu wake ikabid aombe game demu wake akakubali. Sasa home kwetu palikuwa karibu na tulipokutania na huyo demu wake, ikabid amuache demu wake pale home kwetu aende home kwao fasta kuweka mazngra vizur ya kumla demu wake. Ebana kipindi icho siku za ijumaa huwa zinapigwa bongo fleva za hatariii pale RFA, ile nawasha radio tu getho nikiwa mm na huyo demu wa rafiki angu nakutana na wimbo wenye maneno haya " Sindano mbona waishika wewe wakati pa kuchoma napajua mie, dr acha uoga uoga"
Mara demu akasema acha huo huo wimbo nakupenda, nikamtania mie huwa sijui maana ya huo wimbo, ebana eeeh nae akaamini kweliii nilikuwa sijui. Akasema leo sitafanya mapenz na rafiki ako Y, ili kesho nije nikueleze kwa vitendo maana wa wimbo huo.
Ka masihara, jamaa ile kurud demu akazingua kwenda kuvuliwa chupi banah mara ooohh tumbo la MP limenianza gafla. Kesho yake ka alivyoniahid Huyu hapa., nikajichapia mzigo vizuri tu kwa ustaarbu wa hali ya juu. Nikaja mpiga chini alivyoanza story za kunipenda mara tuwe na mahusiano serious for marriage ukizingatia nilikuwa kwenye process za kujiunga chuo kikuu.

Ebana ndo ivo ila ninazo nyingiii sana ntakuja na nyingne ya mtoto V., daaah nakutafuta sikupatiiiiii jua mie D nakutafuta sana .

Hayo makusudi sasa sio kwa visa hivi mpagausho
 
Mimi nilimtongoza best friend wa mama mtoto wangu na kumtoa out moja ya kibabe sana kama unavyojua wanawake wana uwezo wa kutunza siri masaa 48 tu hata hayakufika ujumbe ukamfikia mama watoto ikabidi niwe mkali kama pilipili kichaa hadi leo hatuongei Siasa mbaya sana


Sent using IPhone X
😅😅48 hours
 
Hii story ninayoileta kwenu ni ya kweli na nshawahi kuitolea shuhuda Kwa baadhi ya nyuzi za watu kuna ambao washaiona comment yake
Ni hivi kupunguza maneno sana ntaongelea kiufupi nilikuwa na rafiki angu wa kushibana lake langu.. langu lake alinisaidia Sana kwa kila kitu kuanzia elimu yangu na life langu kiujumla. well kwao walikuwa wanajiweza tofauti na Mimi mtoto wa kitaa msosi Mara mbili home mm nlisoma shule za kawaida haha japo nlkuwa msumbufu sipend shule ila kupitia Msaada wake na wazaz waliweza ni save


Yeye alisoma shule nzuri tu na wote tulimaliza na kufaulu alifurahi Sana advance tulienda shule tofaut still alikuwa msaada mkubwa kwangu
Baada ya miaka kadhaa alitokea binti kiufupi alikuwa rafiki yetu wote wawili naeza nikasema hvyo. Nakumbuka alikuwa rafiki yetu mkubwa Sana tulizunguka nae sana, tulishiriki shughuli mbalimbali pamoja mara nyingi alikuwa pamoja na mimi nlkuwa mcheshi kwake, mshauri mzuri in short Ali enjoy kuwa company na Mimi tulikuwa tukichat na kutembeleana Sana



Story inabadilika pale nilipogundua binti alikuwa kasha develop feeling kwangu in short alinipenda sana ila akuniambia alipenda company yangu na Siku nisipomtafuta au kuongea nae alinilaumu sana alikuwa hachoki kunitafuta yaah in short nilianza kumpenda still sikumwambia... Nikapanga nikamwambie


Kabla sijaenda mwambia rafiki angu aliniambia anampenda Sana huyo binti na asingeweza kuwa na amani bila huyo binti nilimuuliza ushamwambia akasema ndio ila kanijibu kuna mtu anampenda na anatamani ajue ila ndo hivyo anijifanya kichwa ngumu Kama amuelewi so hawez kuwa na mm nilimwambia usijal utampata
Niliwaza nikasema kwa nini jamaa, rafiki angu ateseke hivi kwa nini niwe chanzo cha huzuni kwake akati amekuwa mtu wakuniletea furahi, nikasema huu ndo mda wa kulipa fadhila japo nampenda I decided to let her go.. nikapotea kabisa nikawa sipatikani sijibu sms Zake akuchoka kutuma alikuwa akionana na rfk angu tuwe tuna enjoy good times together wote 3 Kama tulivyokuwa mwanzo still skupatikana rfk angu akawa anaulizwa "GH anashida gani" ila akuwa na jibu


Haha nilikuwa namwambia mwambie kahama mji kumbe mdau npo center zangu nachill na wadau nijitahidi kumsahau haha sjui alipajuaje nashaangaa huyo kaniibukia akasema huo ndo mji ulohama mbona unanifanyia hvyo au kwa sababu nakupenda. Nikashtuka nikasema umesema unanipenda akasema ndio usinifanyie hvyo akaondoka huku machoz yakimlenga mm nimekaa nashangaa shangaa tu still hakuacha kunitafuta


Nikaanza ku act Kama vile muhuni don't care Fulani hivi akipiga au kunitafuta namjibu shit nikapanga mchezo na msichana Fulani nikamhadithia kila kitu nilimwambia a act Kama mtu wangu hii plan ilitiki alikuwa akifadhaika Sana aliumia sana rafki angu alizidisha ukaribu nae hatimaye aka win akauteka mtima wake 1 yr later akamuoa alinialika lkn sikwenda


walishangaa kuambiwa nishaondoka kweny mji walisema safari hii kaondoka kweli au masihara
Yule binti nilieigiza nae roho ilimuuma akaenda mwambia ukweli wotee alizingua sanaa. Nimekaa zangu ndichi kijijini Yule binti nilieigiza Nae ananipigia simu ananiambia samahan gh sikutaka kushiriki zambi yako ilibidi nimwambie ukweli in short Amelia sanaa na amejaribu kukutafuta amekukosa nimemwambia namba yako sina ila alisema akifanikiwa kuonana na wewe kuna maswali atataka umjibu?
So amazing! Dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Part 1: huyo demu yeye nilikuwa nae alikuwa ananielewa fresh bila shida yoyote kipind hiko tupo o level sasa hakuwa na simu mm na yeye mpk tukutane school kuna siku kanimiss kaazima simu kwa rafk ake kunichek fresh mazoea ndo yakaanzia hapo na huyo rafk ake ikiwa kama nina zawad nampa huyo rafk ake ndo anapeleka shida ilikuja huyo demu alipoanza nilitea upopoma rafk ake ndipo rafk ake akajirahisisha kwangu mimi nikala mzigo huyu mwingne alivojua ugomv mpka leo ila kwa vile n mapito mm huwa sijal hata kidogo watajuana wenyew huko

End of part 1 ninazo kama 4

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa ni mwana tangu utoto, akaja kuanza date na demu wangu, tulivyokuwa tunapishana mchizi akawa mfariji, demu akajilengesha kwa yule jomba wakawa pamoja. Kinachoniuma zaidi Niliwapoteza wote, mpaka kesho sitakaa niwe na mahusiano na huyu mwana.
 
Ki ukweli Mademu wangu woote wapato 10 walikuwa wapenzi au mademu wa Washikaji labda nilikuwa na nyota ya Chips, hata wife alichumbiwa na Jamaa yangu na akaishia kuwa mke wangu hatari tupu

 
YAH: Kitaani kwetu jiji DSM, alitokea mtoto Mmoja matata sana mwenye mchanaganyiko wa kisukuma na Kinyaturu hatari, kitaani pale Mabishoo na wapenda papuchiiii wooote wakaanza kujipitisha mabifu kama yote Kisa Binti huyo. Sasa Mchizi wangu mmoja Dingi yake alikuwa Hakimu akafakiwa kumnyakua bana, kidume kikajiona mjanja sana ahh ahhh , Basi siku mmoja bana Mchizi kaja na demu uwanjani wana tunakipiga cha Ndimu. kama kaja kutulingishia tuuu hivi, wakwale macho yakatutoka mwana kang'oa dahhh..... huku na huku for the first Time ndo demu ananiona kwa karibu maana sikuwa nampitia karibu yake ni chuma mpaka nilikuwa namuogopa.
Kwenye Stori tukachomekea mambo ya Movie bana, kumbe yeye mpenzi wa movie, stori zikanoga aseee ehhh, Tap kanialika kwao nikachuke movie mmoja hivi ya kimahaba( two Can Play that Game) mchizi akapiga jicho la kikuda na ajawai kualikwa ndani kwa kina demu bana ahh ahh.
kesho yake saa Saba shap mwana geteni Kubonyesha kikengere ahhh ahh ........ nasikia mtu mbio anakimbilia getini ahh ahh huku na kule yeye bana kavaa kipensi na kitop flani wana ehh (Mzee wa shimo kainuka) ehhh.. Mzee nikajisogeza mpaka Subuleni stori mara juice hiyo kidogo korosho za baba mwenye nyumba sijakaa sawa
" A " for apple hiloo pressure akanipanda wallah.
Ya mungu mengi ya shetani mazambi tuu , tukajikuta chumbani kwa demu ehh, bafuni kwake mara kitandani kisha bafuni tena kisha kitandani tena ehh Kiza kimengia saa 1 hiyo mida ya baba na mama kurudi hiyo. Sasa mzee vuta pensi yangu na Jezi yangu ya Arsenal ya Ugenini, wapi sendosi, bibie alipagawa sana siku hiyoo 3 Bila Ugenini na ball possession nimetawala dahh.
Hawa Mademu hawa daahh... siku moja tuu baada ya tukio mchizi akanipitia na Toyota Surf la dingi yake tukampitia demu Ngoma LivingStone kula kone kwa Mzee Said Salim B. nikampisha akae siti ya mbele na mchizi, demu kagoma bana anataka akae Nyuma na mimi ehh mchizi anahalisa za kihaya kamind kilicho endelea huku nyuma mungu nisamehe tuuu
 
YAH: Kitaani kwetu jiji DSM, alitokea mtoto Mmoja matata sana mwenye mchanaganyiko wa kisukuma na Kinyaturu hatari, kitaani pale Mabishoo na wapenda papuchiiii wooote wakaanza kujipitisha mabifu kama yote Kisa Binti huyo. Sasa Mchizi wangu mmoja Dingi yake alikuwa Hakimu akafakiwa kumnyakua bana, kidume kikajiona mjanja sana ahh ahhh , Basi siku mmoja bana Mchizi kaja na demu uwanjani wana tunakipiga cha Ndimu. kama kaja kutulingishia tuuu hivi, wakwale macho yakatutoka mwana kang'oa dahhh..... huku na huku for the first Time ndo demu ananiona kwa karibu maana sikuwa nampitia karibu yake ni chuma mpaka nilikuwa namuogopa.
Kwenye Stori tukachomekea mambo ya Movie bana, kumbe yeye mpenzi wa movie, stori zikanoga aseee ehhh, Tap kanialika kwao nikachuke movie mmoja hivi ya kimahaba( two Can Play that Game) mchizi akapiga jicho la kikuda na ajawai kualikwa ndani kwa kina demu bana ahh ahh.
kesho yake saa Saba shap mwana geteni Kubonyesha kikengere ahhh ahh ........ nasikia mtu mbio anakimbilia getini ahh ahh huku na kule yeye bana kavaa kipensi na kitop flani wana ehh (Mzee wa shimo kainuka) ehhh.. Mzee nikajisogeza mpaka Subuleni stori mara juice hiyo kidogo korosho za baba mwenye nyumba sijakaa sawa
" A " for apple hiloo pressure akanipanda wallah.
Ya mungu mengi ya shetani mazambi tuu , tukajikuta chumbani kwa demu ehh, bafuni kwake mara kitandani kisha bafuni tena kisha kitandani tena ehh Kiza kimengia saa 1 hiyo mida ya baba na mama kurudi hiyo. Sasa mzee vuta pensi yangu na Jezi yangu ya Arsenal ya Ugenini, wapi sendosi, bibie alipagawa sana siku hiyoo 3 Bila Ugenini na ball possession nimetawala dahh.
Hawa Mademu hawa daahh... siku moja tuu baada ya tukio mchizi akanipitia na Toyota Surf la dingi yake tukampitia demu Ngoma LivingStone kula kone kwa Mzee Said Salim B. nikampisha akae siti ya mbele na mchizi, demu kagoma bana anataka akae Nyuma na mimi ehh mchizi anahalisa za kihaya kamind kilicho endelea huku nyuma mungu nisamehe tuuu
ilikuaje,mlikuja kutemana?
 
Yees baada ya kuhitim form six nikaenda mkoani shinyanga kufundisha shule moja ya kata huko sasa kuna jamaa tulikua tunafundisha nae

Ck moja kuna mechi pale shuleni toka shule jirani na ktk ile shule nlikua nafundisha hakukuepo na Mwl wa kike sasa kuna mdada mmoja HV ambae alisomea pale shuleni then akaenda kusoma certificate ya uandish wa habar sasa ck hiyo alikuepo pale kijijin akaombwa na walimu wa pale aje asaidie kuchezesha netball kwa wasichana

Sasa mm nlikua bze kuorganize timu ya wavulana huku so ckua na mda wa kufuatilia yaliyokua yanaendelea upande wa wasichana sasa baada ya mechi zote kuisha ndo nikamchek yule Binti ni Binti Fulani amaizing black beauty halafu amepanda juu mm ckujali kivile coz girls waliopanda juu are not my favourite so ckumtilia maanani kivile ila kuna mshkaj yule tuliekua tunafundisha nae akamuelewa yule dem akafuatilia akapata namba akawa anawasiliana nae na Mara nyng uck yule dem akiongea na mshkaj anauliza village fooler yuko wap nimsalimie

Nikawa naongea nae na ck zngne mshkaj alikua anaazma cm yangu anampgia dem akasave namba zangu akawa Mara ananitext Mara namm namjib kama shemj yangu coz jamaa alikua ashatangaza Nia ya kuchukua jumbo! Akakaa kama week 2 HV yuko pale kijijin na jamaa akashndwa kuchakata papuchi mpaka dem anaondoa kwenda shy town jamaa ameshndwa kbs alikua anakuja mpk ghetto jamaa anashndwa sasa dem akaanza kuhamisha penz kwangu sema mm nlikua cjamuelewa sasa baada ya dem kwenda town akawa ananipgia cm Mara nyng kuliko kawaida.

Sasa ck moja nkapata safar ya ghafla kwenda town ilikua kushughulikia masuala ya application za chuo uck nikamtext dem kesho inakuja town akanijib " jitahd tuonane" nkajib poa kesho yake by SAA 2 nishafka mjin nikamtext dem nkamwambia I'm in town now akajib ukimalza mishe zako niambie nije tuonanane nkajib poa, nkafanya application nkamaliza kwny SAA 7 hv nikamtext nkamuambia nshamalza njoo stnd tuonane ili niwah usafr akajib kwan una haraka gan nkamjib nawai usafr cna mpango wa kulala town bila issue ya kueleweka akajib hata kuonana na mm

Ni ishu ya kueleweka akasema chonde chonde usiondoke bila kuonana namm nkajib poa, nakakaa kama nusu SAA hv hajafka nkapga cm yake hakupokea baada ya muda mfup akatuma text ucwe na haraka chukua room guest upumzike tutalala wote nkasema mambo c ndo haya sasa naenda kula tunda kimasihara hapa.

Nkawa mpole nkaenda nkatafta lodge nkachukua chumba nkaweka mizigo yangu then nkaingia misele mpk SAA 12 akanipgia kuuliza uko wap nkamuelekeza akaja na boda nkaenda kumpokea mpk chumbani nakajilia zangu tunda mpk asubuh na dem alikua mtamu balaaa kuanzia hapo nkaanza kuwapend madem waliopanda hewan Ni watam balaa Mungu awabariki popote pale mlipo!

Ila nlivoondoka kesho yake kufika kule shuleni mshkaj hata hakuhic ktu nkamwambia tu mtandao ulikua unasumbua ckumalza application kwa wakati tukaendelea kuwasiliana nae akihimiza nirudi nimchakate papuchi yake ila ckuwai tena kurudiana nae wala kuonana nae ck zlisonga nkabadili namba za cm ndo ukawa mwanzo wa kupotezana nae mpaka leo ....
Aione rikiboy

komesha korona
 
Hii kitu ni mbaya sana,Ilishawah kutokea mara ya 3,
mara ya kwanza mshikaj ilibid tu nimuambie,Japo msichana ananichukia mpk Kufa hadi leo.

Mara ya pili kwa mshikaj wangu mwingine tena,hii sikumwambia mshikaj ila ilibid nitengeneze distance tu kuepusha kama haya ya mara ya kwanza.

Mara ya tatu hapa mshikaj mwenyew ndo alizingua Dalili za msichana wake kunipenda niliziona mapema ila nkaweka distance kama kawaida,kuna upuuzi mshikaj alinifanyia ndo kabsa akanipa hasira za kupita na mshichana wake(baada ya kugundua kuwa girlfriend wake ananipenda jamaa ndo akaanza kunikandia ileile,akamimina kila kitu mpk mambo ya familia yangu)kwa girlfriend wake,,msichana alinifuata na kuniambia kila kitu na mengine kuniuliza kama ni kweli,Ilinikata kinoma Kwa hasira nkaanza kudate na huyo mshichana wake ndo mpk leo niko nae na nahis anaweza kuwa mke huko mbelen.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kosa la huyo wa tatu ndilo linawaponza wanaume wengi.
 
Yees baada ya kuhitim form six nikaenda mkoani shinyanga kufundisha shule moja ya kata huko sasa kuna jamaa tulikua tunafundisha nae

Ck moja kuna mechi pale shuleni toka shule jirani na ktk ile shule nlikua nafundisha hakukuepo na Mwl wa kike sasa kuna mdada mmoja HV ambae alisomea pale shuleni then akaenda kusoma certificate ya uandish wa habar sasa ck hiyo alikuepo pale kijijin akaombwa na walimu wa pale aje asaidie kuchezesha netball kwa wasichana

Sasa mm nlikua bze kuorganize timu ya wavulana huku so ckua na mda wa kufuatilia yaliyokua yanaendelea upande wa wasichana sasa baada ya mechi zote kuisha ndo nikamchek yule Binti ni Binti Fulani amaizing black beauty halafu amepanda juu mm ckujali kivile coz girls waliopanda juu are not my favourite so ckumtilia maanani kivile ila kuna mshkaj yule tuliekua tunafundisha nae akamuelewa yule dem akafuatilia akapata namba akawa anawasiliana nae na Mara nyng uck yule dem akiongea na mshkaj anauliza village fooler yuko wap nimsalimie

Nikawa naongea nae na ck zngne mshkaj alikua anaazma cm yangu anampgia dem akasave namba zangu akawa Mara ananitext Mara namm namjib kama shemj yangu coz jamaa alikua ashatangaza Nia ya kuchukua jumbo! Akakaa kama week 2 HV yuko pale kijijin na jamaa akashndwa kuchakata papuchi mpaka dem anaondoa kwenda shy town jamaa ameshndwa kbs alikua anakuja mpk ghetto jamaa anashndwa sasa dem akaanza kuhamisha penz kwangu sema mm nlikua cjamuelewa sasa baada ya dem kwenda town akawa ananipgia cm Mara nyng kuliko kawaida.

Sasa ck moja nkapata safar ya ghafla kwenda town ilikua kushughulikia masuala ya application za chuo uck nikamtext dem kesho inakuja town akanijib " jitahd tuonane" nkajib poa kesho yake by SAA 2 nishafka mjin nikamtext dem nkamwambia I'm in town now akajib ukimalza mishe zako niambie nije tuonanane nkajib poa, nkafanya application nkamaliza kwny SAA 7 hv nikamtext nkamuambia nshamalza njoo stnd tuonane ili niwah usafr akajib kwan una haraka gan nkamjib nawai usafr cna mpango wa kulala town bila issue ya kueleweka akajib hata kuonana na mm

Ni ishu ya kueleweka akasema chonde chonde usiondoke bila kuonana namm nkajib poa, nakakaa kama nusu SAA hv hajafka nkapga cm yake hakupokea baada ya muda mfup akatuma text ucwe na haraka chukua room guest upumzike tutalala wote nkasema mambo c ndo haya sasa naenda kula tunda kimasihara hapa.

Nkawa mpole nkaenda nkatafta lodge nkachukua chumba nkaweka mizigo yangu then nkaingia misele mpk SAA 12 akanipgia kuuliza uko wap nkamuelekeza akaja na boda nkaenda kumpokea mpk chumbani nakajilia zangu tunda mpk asubuh na dem alikua mtamu balaaa kuanzia hapo nkaanza kuwapend madem waliopanda hewan Ni watam balaa Mungu awabariki popote pale mlipo!

Ila nlivoondoka kesho yake kufika kule shuleni mshkaj hata hakuhic ktu nkamwambia tu mtandao ulikua unasumbua ckumalza application kwa wakati tukaendelea kuwasiliana nae akihimiza nirudi nimchakate papuchi yake ila ckuwai tena kurudiana nae wala kuonana nae ck zlisonga nkabadili namba za cm ndo ukawa mwanzo wa kupotezana nae mpaka leo ....

Baadhi ya wanawake wako faster mno, hapo hadi kuwa na rafiki yako target ni wewe lakini aliona akiwa na rafiki yako itakuwa rahisi zaidi kukufikia, wao huona ni sahihi kwa wakati bila kujali urafiki wenu.
 
Back
Top Bottom