Ulishawahi kupendwa na mpenzi wa rafiki yako?

Ulishawahi kupendwa na mpenzi wa rafiki yako?

Nilipendwa na roommate wa demu wangu, kipindi icho nikiwa chuo kikuu flan iviii pale morogoro nahic sababu mkubwa ya mate wa demu wangu kunipenda n kutokana na story za demu wangu alikuwa ana hadithia kila rafiki juu ya mm hasa kwenye kumgegeda.
Nakumbuka siku iyo mida ya saa 4 usiku npo room kwako while demu wangu Kalala kitanda cha chini nikiwa mie nmekaa tu, sasa ile nasimama kaaga demi aliekuwa kitanda cha juu akanipa simu nimuandikie namba yangu, kibaharia zaidi nikatekeleza.
Mwisho wa siku nikaanza kuhudumia wote ila yule wa zamani alivyokuja Tambua alimind sana nikamwambia reason n ww kwani kila kitu ulikuwa unakuja waambia rafiki zako juu ya kugegedana kwetu.
Ila mtoto wa Tukuyu nakumiss nakumbuka sana papuchi yako ilivyokuwa inavuta kwa ndani ka urimbo iviii....!

Inavuta kwa ndani [emoji23]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani mimi naona SAS kama hii ndo kazi yangu sas hv keep kila mwanamke naetembea nae lazma nile yeye na rafk yake inafka hatua naona kama laana shida IPO huku kwa washkaj mademu zao nao napata lawama Nina visa vingi sana nitawaleteen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Ninarafiki yangu (me) nilifahamiana nae 2016 tulikuwa tunaishi compound moja..
Huyu bwana tulizoeana sana mwaka jana tukapiga “game”lisilotarajiwa kabisa.kwa madai yake anasema aliinjoi sana na kutaka tuendelee lakini kwangu ilikuwa tofauti kabisa.Sikuwa nikihitaji kurudiana nae aiseeh

Tukapotezana kwa mda kidogo alienda kuishi sehemu nyingine na huko akaanzisha familia(alioa) mwaka jana mwishoni tukaanza kuwasiliana tena yeye alikuja kwa style ya kupiga game lakini sikuliruhusu hilo [emoji817].

Tuliendelea kuwasiliana.mwezi wa 12 mwaka jana,nilikuwata nae kwa ferry nikamwambia natakfuta nyumba sehemu fulani kigamboni,,akasema ngoja nikupe namba ya rafiki yangu huyu atakusaidia kupata nyumba huko unakokutaka maana nae anaishi hukohuko nikasema sawa.nikachukua namba nikaanza kuwasiliana nae.(hawa ni marafiki tangu utotoni mwao)

Tukapanga siku ya kwenda kuangalia nyumba(nilijua ni dalali wallah)[emoji23][emoji23][emoji23]ok tukaonana nikaiona hiyo nyumba(lets not talk abt nyumba)ingawa sikuipenda.nikaendelea na maisha mengine kama kawaida.siku moja niko nyumbani nimejichokea nikaona siku kama haiendi nikafunga safari kwenda kijiweni kwake nikasema ngoja niende nikamuulizie kama ana nyumba zingine ambazo naweza kuzicheki.

Kufika kijiweni hola!hayupo nikawauliza washkaji zake kuhusiana nae wakaniambia huyo sio dalali(nikaonyeshwa madalali sasa)kumbe alikuwa ameenda kukusanya mizigo ya ofisini kwake.

Aliporudi akanikuta tukasalimiana pale tukajikuta tunakuwa marafiki tangu siku hiyo aisee[emoji4] jamaa anamoyo wa ajabu sijawahi kuona aisee..ni mkaka mzuri lakini yuko rafu saana hajipendi kwenye kuvaa hata kidogo lakini moyo alionao ni tofauti na anavyoonekana anavyoongea,maneno yanayotoka kinywani mwake,malengo aliyonayo [emoji817]tofauti na mwonekano.

Hyu bwana 90 % tunafanana kwa kila kitu aloo.wikend nikiwa nyumbani ni lazima niende kazini kwake atanunua whiskey tutakunywa mdogomdogo mpaka naondoka kurudi kwangu.nikawa nimemjua vitu vingi bila yeye kujua.n i tell you guys napataga furaha sana nikikaa nae huyu bwana yeye halijui hilo[emoji4][emoji4]

Wiki kama mbili zimepita yule rafiki yangu aliyeniunganisha na huyu mwingine akanipigia simu uko wapi?nikamwambia niko nyumbn napika!!akasema siko mbali na kwako hapa niko na rafiki yangu naweza kupitia hapo??nikamwambia hakuna shida pita tu so ikabidi niongeze chakula cha watu watatu.

Yes wakaja tukala mwisho rafiki yake akaaga anaenda kumtumia mtu tgopesa atarudi tukasema sawa.[emoji15][emoji15]kumbe bwana alikuwa anataka kuamsha dude chaaa..nikamwita “fulani”there’s something i want to tell you..he was like mhm!! “I love your friend”but am sorry to say this.then i stopped.he was shocked.but i ddnt even care aiseh

Mshkaji ninayempenda hajui kama ninampenda kiasi hicho.yes we kissed only once na tena siku hiyo kuna kitu kilinivuruga mno nikajikuta nalia sana.akanibembeleza[emoji4][emoji4] na kunikumbatia ingawa alikuwa ananuka jasho aise[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mwishowe tukakiss[emoji8][emoji8]

Aise ikitokea naikawa nae nitakuwa na kazi kubwa mno ya kum’badilisha vile ninavyotaka maaana[emoji23][emoji23][emoji2957][emoji2957]

Kimuonekano kama ndo mara ya kwanza unakutana nae akwambia anakutaka unaweza kukimbia wallah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] .ni msomi mzuri tu lakini huo muonekano..[emoji2296][emoji2296][emoji2296] Unaweza toka nduki.

Tunakoelekea tutapiga game tu [emoji6][emoji6][emoji6][emoji23][emoji23][emoji23].
Rafiki wa mwanzo kanichunia mazima.
Sijali hata kidogo[emoji23][emoji23]
Hongera Sana shostieeeeeeh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😊😊😊😊😊
Ninarafiki yangu (me) nilifahamiana nae 2016 tulikuwa tunaishi compound moja..
Huyu bwana tulizoeana sana mwaka jana tukapiga “game”lisilotarajiwa kabisa.kwa madai yake anasema aliinjoi sana na kutaka tuendelee lakini kwangu ilikuwa tofauti kabisa.Sikuwa nikihitaji kurudiana nae aiseeh

Tukapotezana kwa mda kidogo alienda kuishi sehemu nyingine na huko akaanzisha familia(alioa) mwaka jana mwishoni tukaanza kuwasiliana tena yeye alikuja kwa style ya kupiga game lakini sikuliruhusu hilo 💯.

Tuliendelea kuwasiliana.mwezi wa 12 mwaka jana,nilikuwata nae kwa ferry nikamwambia natakfuta nyumba sehemu fulani kigamboni,,akasema ngoja nikupe namba ya rafiki yangu huyu atakusaidia kupata nyumba huko unakokutaka maana nae anaishi hukohuko nikasema sawa.nikachukua namba nikaanza kuwasiliana nae.(hawa ni marafiki tangu utotoni mwao)

Tukapanga siku ya kwenda kuangalia nyumba(nilijua ni dalali wallah)😂😂😂ok tukaonana nikaiona hiyo nyumba(lets not talk abt nyumba)ingawa sikuipenda.nikaendelea na maisha mengine kama kawaida.siku moja niko nyumbani nimejichokea nikaona siku kama haiendi nikafunga safari kwenda kijiweni kwake nikasema ngoja niende nikamuulizie kama ana nyumba zingine ambazo naweza kuzicheki.

Kufika kijiweni hola!hayupo nikawauliza washkaji zake kuhusiana nae wakaniambia huyo sio dalali(nikaonyeshwa madalali sasa)kumbe alikuwa ameenda kukusanya mizigo ya ofisini kwake.

Aliporudi akanikuta tukasalimiana pale tukajikuta tunakuwa marafiki tangu siku hiyo aisee😊 jamaa anamoyo wa ajabu sijawahi kuona aisee..ni mkaka mzuri lakini yuko rafu saana hajipendi kwenye kuvaa hata kidogo lakini moyo alionao ni tofauti na anavyoonekana anavyoongea,maneno yanayotoka kinywani mwake,malengo aliyonayo 💯tofauti na mwonekano.

Hyu bwana 90 % tunafanana kwa kila kitu aloo.wikend nikiwa nyumbani ni lazima niende kazini kwake atanunua whiskey tutakunywa mdogomdogo mpaka naondoka kurudi kwangu.nikawa nimemjua vitu vingi bila yeye kujua.n i tell you guys napataga furaha sana nikikaa nae huyu bwana yeye halijui hilo😊😊

Wiki kama mbili zimepita yule rafiki yangu aliyeniunganisha na huyu mwingine akanipigia simu uko wapi?nikamwambia niko nyumbn napika!!akasema siko mbali na kwako hapa niko na rafiki yangu naweza kupitia hapo??nikamwambia hakuna shida pita tu so ikabidi niongeze chakula cha watu watatu.

Yes wakaja tukala mwisho rafiki yake akaaga anaenda kumtumia mtu tgopesa atarudi tukasema sawa.😳😳kumbe bwana alikuwa anataka kuamsha dude chaaa..nikamwita “fulani”there’s something i want to tell you..he was like mhm!! “I love your friend”but am sorry to say this.then i stopped.he was shocked.but i ddnt even care aiseh

Mshkaji ninayempenda hajui kama ninampenda kiasi hicho.yes we kissed only once na tena siku hiyo kuna kitu kilinivuruga mno nikajikuta nalia sana.akanibembeleza😊😊 na kunikumbatia ingawa alikuwa ananuka jasho aise🤣🤣🤣mwishowe tukakiss😘😘

Aise ikitokea naikawa nae nitakuwa na kazi kubwa mno ya kum’badilisha vile ninavyotaka maaana😂😂🤪🤪

Kimuonekano kama ndo mara ya kwanza unakutana nae akwambia anakutaka unaweza kukimbia wallah🤣🤣🤣🤣 .ni msomi mzuri tu lakini huo muonekano..🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️ Unaweza toka nduki.

Tunakoelekea tutapiga game tu 😉😉😉😂😂😂.
Rafiki wa mwanzo kanichunia mazima.
Sijali hata kidogo😂😂
hongera
 
Ndio mimi nilipendwa na demu wa rafiki yangu ambae alikuwa shangazi wa mjomba wangu aliekuwa na ukoo wa bibi kizaa babu yake na shangazi wa mjomba aliekuwa binamu wa Bibi yake babu kizaa mama yake na shangazi wa kaka yake...

Naomba niishie hapo nakuja kuendelea..
Hahahahaha...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha izi mambo banah acha tu.
Miaka flani nikiwa nmemaliza form six kipindi icho form six wengi wanakuwa walimu wa kujitolea. Kuna rafiki angu sana hata kesho n rafiki angu alikuwa na demu wake ambao wote tumesoma xcul moja o level ila demu alikuwa class moja nyuma.
Wote tukiwa walimu (Mimi na rafiki angu) xcul flan jina kapuni yeye akifundisha history & language huku miki nikifundisha chemistry & biology.
Siku moja tumetoka xcul tukiwa mm na huyo rafiki angu ,njiani akakutana n huyo demu wake ikabid aombe game demu wake akakubali. Sasa home kwetu palikuwa karibu na tulipokutania na huyo demu wake, ikabid amuache demu wake pale home kwetu aende home kwao fasta kuweka mazngra vizur ya kumla demu wake. Ebana kipindi icho siku za ijumaa huwa zinapigwa bongo fleva za hatariii pale RFA, ile nawasha radio tu getho nikiwa mm na huyo demu wa rafiki angu nakutana na wimbo wenye maneno haya " Sindano mbona waishika wewe wakati pa kuchoma napajua mie, dr acha uoga uoga"
Mara demu akasema acha huo huo wimbo nakupenda, nikamtania mie huwa sijui maana ya huo wimbo, ebana eeeh nae akaamini kweliii nilikuwa sijui. Akasema leo sitafanya mapenz na rafiki ako Y, ili kesho nije nikueleze kwa vitendo maana wa wimbo huo.
Ka masihara, jamaa ile kurud demu akazingua kwenda kuvuliwa chupi banah mara ooohh tumbo la MP limenianza gafla. Kesho yake ka alivyoniahid Huyu hapa., nikajichapia mzigo vizuri tu kwa ustaarbu wa hali ya juu. Nikaja mpiga chini alivyoanza story za kunipenda mara tuwe na mahusiano serious for marriage ukizingatia nilikuwa kwenye process za kujiunga chuo kikuu.

Ebana ndo ivo ila ninazo nyingiii sana ntakuja na nyingne ya mtoto V., daaah nakutafuta sikupatiiiiii jua mie D nakutafuta sana .
 
Mimi ilinitokea zamani hizo. Rafiki yangu tulisoma naye O level. Tukiwa chuo akanitambulisha girlfriend wake ambaye tulikuja kuzoeana sana, alikuwa mwanafunzi mwenzetu. Kisha binti akaanza mambo ambayo niliona kama mitego. Enzi hizo hakukuwa na mobile phones kwa hiyo akitaka kuniona anakuja room kwangu. Jamaa yake alikuwa anapenda disko, msichana hapendi. Ijumaa jamaa akienda disco msichana wake anakuja kukaa kwangu kupiga soga tu na kunisimulia novel alizosoma hadi usiku wa manane. Ndipo siku moja yakatushinda tukajikuta tumefanya ziada. Na ikaendelea for some months. Baadaye alipata mimba akasema ni ya yule mshikaji. Tulipomaliza masomo sote watatu kila mmoja akashika hamsini zake, binti akamlea mwanaye ni mkubwa sasa nimeambiwa ameshamaliza chuo, inawezekana hata huku JF yupo. Mshikaji alioa mwanamke mwingine aliyempata baadaye kazini huko. Mwisho wa kisa.
 
Binafsi sijawahi kupendwa na demu wa rafiki yangu.

Kama wewe ulishawahi kupendwa na demu wa rafiki yako tuelezee ilikuaje kuaje.


Siasa mbaya sana.


Nina mademu kama watatu wa rafiki zangu wananipenda ila siwezi kusimulia kiundani kivile kwani jamaa watajuwa na kuniwinda. Kuna mmoja anataka sana kuzaa na mimi ila nimemwambia anipe muda nifikirie. Mwingine alikuja mwenyewe nyumbani kunifuata na kuniambia anavyojisikia ila nisimwambie mshikaji wangu, ila huyu ipo siku tu. Huyu wa mwisho yeye alinivulia kabisa nguo na kuanza kulia ghetoni kwangu kwamba ana hamu nami, sikumlazia damu nikampa kichapo na mpaka leo bado nakula naye sahani moja yaani ni kama vile demu wangu.
 
Nina mademu kama watatu wa rafiki zangu wananipenda ila siwezi kusimulia kiundani kivile kwani jamaa watajuwa na kuniwinda. Kuna mmoja anataka sana kuzaa na mimi ila nimemwambia anipe muda nifikirie. Mwingine alikuja mwenyewe nyumbani kunifuata na kuniambia anavyojisikia ila nisimwambie mshikaji wangu, ila huyu ipo siku tu. Huyu wa mwisho yeye alinivulia kabisa nguo na kuanza kulia ghetoni kwangu kwamba ana hamu nami, sikumlazia damu nikampa kichapo na mpaka leo bado nakula naye sahani moja yaani ni kama vile demu wangu.
mjomba una dawa Nini.
 
Back
Top Bottom