Ulishawahi kupendwa na mpenzi wa rafiki yako?

Ulishawahi kupendwa na mpenzi wa rafiki yako?

Naiona.......Upcoming thread...mithili ya kula tunda kimasihara
 
Yeah,nilipendwa na demu wa rafiki yangu,Rafiki yang niliishi nae ghetto miaka 8,Dem alikua anakuja ghetto nawapisha na wakati mwingine analala kabisa ghetto.
Shemeji yangu huyo ni wale familia za uzungu mwingi.
Alinizoea sana,anaweza nipigia simu hata saa zima tunaongea (enzi za tigo extreme).
Alinitega kwa miaka zaidi ya miwili.
Kama mwanaume nilivumilia ila ilifika sehem nilishindwa,ilibidi nipige.

Cha kushangaza siku niliopewa mchezo uwezi kuamini binti alikua ni "BIKRA".

Najua utakua unajiuliza ilikuaje nawapisha ghetto hata saa ingine wanalala mpaka asubuh na jamaa hajatoboa.

All in all jamaa aliwahi kutufumania.Alilia kama mtoto.

Kuhusu kupendwa nashukuru hio bahat ninayo sana sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha enzi niko secondary, mazee tulikuwa tunajipenda sana, enzi hizo naingia gym za vichochoroni mkono umejaa chest imegawanyika, kichwan nna afro kama shorwe bwenz,,, ukiingia skul nanukia balaa, basi hapo unapewa na a.k.a kabisa kwamba jamaa "brother man" japo nlikuwa mtu wa kukaa back bench lakini nlikuwa naambiwa nasaliti kambi na washkaji wa ngumu kumeza[emoji23],

Basi ile form one kuna mchizi aligombana na shori wake, sasa jamaa akaniomba niwe ktk kamati ya usuluhishi, kumbe yule manzi alikuwa ananielewa, basi ktk kusuluhisha manzi akawa analegeza macho, akaanza kunisifia ooh kush uko sex na body mwili wako umekatika[emoji87], alafu yule mtoto alikuwa halfcast, amechanganya uhindi na african bantu, basi mtoto uzungu mwingi sana, nikalose control mwishowe tukawa [emoji132],

Hapakuwa na usiri tena, nikaingia bifu na jamaa yangu,



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah,nilipendwa na demu wa rafiki yangu,Rafiki yang niliishi nae ghetto miaka 8,Dem alikua anakuja ghetto nawapisha na wakati mwingine analala kabisa ghetto.
Shemeji yangu huyo ni wale familia za uzungu mwingi.
Alinizoea sana,anaweza nipigia simu hata saa zima tunaongea (enzi za tigo extreme).
Alinitega kwa miaka zaidi ya miwili.
Kama mwanaume nilivumilia ila ilifika sehem nilishindwa,ilibidi nipige.

Cha kushangaza siku niliopewa mchezo uwezi kuamini binti alikua ni "BIKRA".

Najua utakua unajiuliza ilikuaje nawapisha ghetto hata saa ingine wanalala mpaka asubuh na jamaa hajatoboa.

All in all jamaa aliwahi kutufumania.Alilia kama mtoto.

Kuhusu kupendwa nashukuru hio bahat ninayo sana sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!...ulimsaliti rafiki yako.
 
😊😊😊😊😊
Ninarafiki yangu (me) nilifahamiana nae 2016 tulikuwa tunaishi compound moja..
Huyu bwana tulizoeana sana mwaka jana tukapiga “game”lisilotarajiwa kabisa.kwa madai yake anasema aliinjoi sana na kutaka tuendelee lakini kwangu ilikuwa tofauti kabisa.Sikuwa nikihitaji kurudiana nae aiseeh

Tukapotezana kwa mda kidogo alienda kuishi sehemu nyingine na huko akaanzisha familia(alioa) mwaka jana mwishoni tukaanza kuwasiliana tena yeye alikuja kwa style ya kupiga game lakini sikuliruhusu hilo 💯.

Tuliendelea kuwasiliana.mwezi wa 12 mwaka jana,nilikuwata nae kwa ferry nikamwambia natakfuta nyumba sehemu fulani kigamboni,,akasema ngoja nikupe namba ya rafiki yangu huyu atakusaidia kupata nyumba huko unakokutaka maana nae anaishi hukohuko nikasema sawa.nikachukua namba nikaanza kuwasiliana nae.(hawa ni marafiki tangu utotoni mwao)

Tukapanga siku ya kwenda kuangalia nyumba(nilijua ni dalali wallah)😂😂😂ok tukaonana nikaiona hiyo nyumba(lets not talk abt nyumba)ingawa sikuipenda.nikaendelea na maisha mengine kama kawaida.siku moja niko nyumbani nimejichokea nikaona siku kama haiendi nikafunga safari kwenda kijiweni kwake nikasema ngoja niende nikamuulizie kama ana nyumba zingine ambazo naweza kuzicheki.

Kufika kijiweni hola!hayupo nikawauliza washkaji zake kuhusiana nae wakaniambia huyo sio dalali(nikaonyeshwa madalali sasa)kumbe alikuwa ameenda kukusanya mizigo ya ofisini kwake.

Aliporudi akanikuta tukasalimiana pale tukajikuta tunakuwa marafiki tangu siku hiyo aisee😊 jamaa anamoyo wa ajabu sijawahi kuona aisee..ni mkaka mzuri lakini yuko rafu saana hajipendi kwenye kuvaa hata kidogo lakini moyo alionao ni tofauti na anavyoonekana anavyoongea,maneno yanayotoka kinywani mwake,malengo aliyonayo 💯tofauti na mwonekano.

Hyu bwana 90 % tunafanana kwa kila kitu aloo.wikend nikiwa nyumbani ni lazima niende kazini kwake atanunua whiskey tutakunywa mdogomdogo mpaka naondoka kurudi kwangu.nikawa nimemjua vitu vingi bila yeye kujua.n i tell you guys napataga furaha sana nikikaa nae huyu bwana yeye halijui hilo😊😊

Wiki kama mbili zimepita yule rafiki yangu aliyeniunganisha na huyu mwingine akanipigia simu uko wapi?nikamwambia niko nyumbn napika!!akasema siko mbali na kwako hapa niko na rafiki yangu naweza kupitia hapo??nikamwambia hakuna shida pita tu so ikabidi niongeze chakula cha watu watatu.

Yes wakaja tukala mwisho rafiki yake akaaga anaenda kumtumia mtu tgopesa atarudi tukasema sawa.😳😳kumbe bwana alikuwa anataka kuamsha dude chaaa..nikamwita “fulani”there’s something i want to tell you..he was like mhm!! “I love your friend”but am sorry to say this.then i stopped.he was shocked.but i ddnt even care aiseh

Mshkaji ninayempenda hajui kama ninampenda kiasi hicho.yes we kissed only once na tena siku hiyo kuna kitu kilinivuruga mno nikajikuta nalia sana.akanibembeleza😊😊 na kunikumbatia ingawa alikuwa ananuka jasho aise🤣🤣🤣mwishowe tukakiss😘😘

Aise ikitokea naikawa nae nitakuwa na kazi kubwa mno ya kum’badilisha vile ninavyotaka maaana😂😂🤪🤪

Kimuonekano kama ndo mara ya kwanza unakutana nae akwambia anakutaka unaweza kukimbia wallah🤣🤣🤣🤣 .ni msomi mzuri tu lakini huo muonekano..🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️ Unaweza toka nduki.

Tunakoelekea tutapiga game tu 😉😉😉😂😂😂.
Rafiki wa mwanzo kanichunia mazima.
Sijali hata kidogo😂😂
 
Chakorii,, wanaume tunaelew kabla hatuja ambiwa,,,Try to buy him pamba kalii na deodorants kama 2times..atajishtukia mwenyewe Kuwa hupendi anavokuwa kama mzoa taka...coz It seems like hana experience ya kutosha kwny Mahusiano
 
Back
Top Bottom