Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Ni njaa mkuu. Hakuna kitu kibaya Kama njaa. Yaani binti mwenye njaa anaona ni halali kulipwa akishavuliwa nguo.Ila waafrica bhna, haya mambo ya kulipishana hela kama unanunua bidhaa sio poa Kabisa!
Tofauti na binti Kama daktari ama mhandisi anayekula mshahara wake juu ya 3M ,usafiri anao,makazi anayo,pesa anayo,na makazi sio ilimradi makazi.
Huyu atahitaji mwanaume anayempenda amridhishe kimapenzi Ila hawezi omba 50k ili atoe k yake. Jamani njaa ni mbaya sana.
Yaani binti anaona ni halali kulipwa utadhani sie huwa tunawapa miti na huku ni nyama kwa nyama. Naye anamhitaji mwanaume